Gidion Elias Elikunda
Member
- Feb 15, 2019
- 8
- 1
Shukran, what i thought to get from here imekuwa tofautiJumamosi ya kesho, usisahau vyeti vyako original. Hapa chuo cha mwalim nyerere
hata shortlist bado mkuu... subiri kuanzia mwezi wa tatu.
Nashukuru sana mkuu kwa jibu zurhata shortlist bado mkuu... subiri kuanzia mwezi wa tatu.
Ooooh ok hiyo ni sawa nashukuru sanaWanasubiria vyuo vifunge Kwa sababu hy nyomi Kwa sasa HIV hawataweza
Hahaha kaambiwa JF atapata majibu sijuiUmejiunga leo Jamii forums hata salamu hujatoa umefikia kutuuliza maswali
kwa hiki kinge unasubiria nini?
Hahaha, usimvunje moyo mkuu. Atakuambia kinge hakina uhusianokwa hiki kinge unasubiria nini?
😁😁😁Umejiunga leo Jamii forums hata salamu hujatoa umefikia kutuuliza maswali
Kanistua sana...hata shortlist bado mkuu... subiri kuanzia mwezi wa tatu.