Ni lini Tanzania itaacha kuomba misaada na kujitegemea yenyewe

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,329
4,852
Kuna usemi unasema mtegemea cha ndugu hufa maskini!!!!

Sasa kwanini tuzidi kuwa omba omba hivi hawa china au nchi zinazoendelea walianza vipi kwanini tuendekeze misaada

Kwanini tusiazie hapa tulipo ni aibu kwa taifa ni aibu sana ona suala la mbolea linavyowa asili wakulima
Sasa hivi je tungekuwa na viwanda vyetu vya maana hivi tusingewauzia hao wa nje

Nauliza tu ni lini kama taifa tutaacha kutegemea misaada hivi hamjui kama ina mwisho ni lini tutaacha kuwa omba omba ?
 
Mfano wewe ni baba unawatoto milioni 36 bajeti yako ya kuwalisha ni Tsh Trilioni 40 mfukoni una trilioni 19
Unaamua kukopa kwa majirani zako wazungu trilioni 21 huku deni ukilipa taratibu watoto wana survive!

Wewe unadhani nini kitatokea endapo utalazimisha itumike bajeti uliyonayo bila kukopa?
 
Kuna usemi unasema mtegemea cha ndugu hufa maskini!!!!

Sasa kwanini tuzidi kuwa omba omba hivi hawa china au nchi zinazoendelea walianza vipi kwanini tuendekeze misaada

Kwanini tusiazie hapa tulipo ni aibu kwa taifa ni aibu sana ona suala la mbolea linavyowa asili wakulima
Sasa hivi je tungekuwa na viwanda vyetu vya maana hivi tusingewauzia hao wa nje

Nauliza tu ni lini kama taifa tutaacha kutegemea misaada hivi hamjui kama ina mwisho ni lini tutaacha kuwa omba omba ?
Lini tuliomba au wivu unakusumbua baada ya kuona Serikali ya Hangaya inaungwa mkono na wadau wa maendeleo?

Umia vizuri hapa chini 👇

Screenshot_20211027-081711.png
 
Kuna usemi unasema mtegemea cha ndugu hufa maskini!!!!

Sasa kwanini tuzidi kuwa omba omba hivi hawa china au nchi zinazoendelea walianza vipi kwanini tuendekeze misaada

Kwanini tusiazie hapa tulipo ni aibu kwa taifa ni aibu sana ona suala la mbolea linavyowa asili wakulima
Sasa hivi je tungekuwa na viwanda vyetu vya maana hivi tusingewauzia hao wa nje

Nauliza tu ni lini kama taifa tutaacha kutegemea misaada hivi hamjui kama ina mwisho ni lini tutaacha kuwa omba omba ?
Tanzania ni NCHI TAJIRI SANA HAINA MKOPO WOWOTE MIRADI YOTE NI FEDHA ZA NDANI hata Misaada hatupokei sisi ndio Tunatoa Uchumi upo juu kabisa
 
Mfano wewe ni baba unawatoto milioni 36 bajeti yako ya kuwalisha ni Tsh Trilioni 40 mfukoni una trilioni 19
Unaamua kukopa kwa majirani zako wazungu trilioni 21 huku deni ukilipa taratibu watoto wana survive!

Wewe unadhani nini kitatokea endapo utalazimisha itumike bajeti uliyonayo bila kukopa?
Kwa nini uruhusu kuwa na watoto 36 wakati unajua kuwa kipato chako hakiwezi kukidhi mahitaji? :oops:
🤔
 
Tunaweza kujitegeema, kwa mfano tukichukua hela yote ya bajeti ya nchi tuliyonayo mfano trilioni 40 tunabet na odds za uhakika, tunaweza kuondoka na trilions 400 ndani ya weekend moja. Hiyo ni bajeti ya angalau miaka 6-10, kutegemea na itakavyokua inaongezeka🐒
 
Mfano wewe ni baba unawatoto milioni 36 bajeti yako ya kuwalisha ni Tsh Trilioni 40 mfukoni una trilioni 19
Unaamua kukopa kwa majirani zako wazungu trilioni 21 huku deni ukilipa taratibu watoto wana survive!

Wewe unadhani nini kitatokea endapo utalazimisha itumike bajeti uliyonayo bila kukopa?
Atadharau hili jibu
 
Tunaweza kujitegeema, kwa mfano tukichukua hela yote ya bajeti ya nchi tuliyonayo mfano trilioni 40 tunabet na odds za uhakika, tunaweza kuondoka na trilions 400 ndani ya weekend moja. Hiyo ni bajeti ya angalau miaka 6-10, kutegemea na itakavyokua inaongezeka🐒
Hahahhahaha kampuni yenye mtaji huo hakuna duniani hapa
 
Kuna usemi unasema mtegemea cha ndugu hufa maskini!!!!

Sasa kwanini tuzidi kuwa omba omba hivi hawa china au nchi zinazoendelea walianza vipi kwanini tuendekeze misaada

Kwanini tusiazie hapa tulipo ni aibu kwa taifa ni aibu sana ona suala la mbolea linavyowa asili wakulima
Sasa hivi je tungekuwa na viwanda vyetu vya maana hivi tusingewauzia hao wa nje

Nauliza tu ni lini kama taifa tutaacha kutegemea misaada hivi hamjui kama ina mwisho ni lini tutaacha kuwa omba omba ?
Siku ambayo haitakuwa na rasilimali za kuweka rehani.
 
Hahahhahaha kampuni yenye mtaji huo hakuna duniani hapa
Tunakuwa strategic, tunatafuta makampuni ya kutosha ya kimataifa...tunaunda jopo la wataalamu wa betting tunawakabidhi pesa taslimu na list ya makampuni. Tukienda na hizi njia za kawaida mara kukopa, kuomba misaada hatutakaa tujitegemee.....lazima tu risk kidogo, ila itokee timu imechana mkeka sasa hapo ndio tutaelewa maana ya kufunga mkanda, wengine wataikimbia nchi🏃🏃🏃
IMG_20211027_230021.jpg
 
Atadharau hili jibu
Kwa hiyo wewe unaona ndio jibu na ww nikuulize swali maana mwenzio kajiona mpuuz kaamua kufuta comment yake hivi hao watoto itakuwa uliwa okota mpaka ushindwe kuwalisha? Maana ccm au nchi haijaanza jana ni kitambo ipo kwann sasa ipende kuwa omba omba
 
Back
Top Bottom