Ni lini Serikali ya Tanzania iliwahi kufanya kitu kwa Ufanisi?

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,566
41,082
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio.

Uzalishaji wa umeme ni teknolojia ya chini kabisa ambayo hata vijana wenye akili ya kawaida wanaoweza kusikiliza maelekezo wana uwezo wa kufanya.

Kikubwa unachohitaji ni nguvu ya kuzungusha turbine, na kitu cha kubadilisha ule mzunguko ambao unatoa mechanical energy, kupeleka kwenye electrical energy.

Nguvu ya kuzungusha turbine, unaweza kuipata kutoka kwenye maji yenye mporomoko, pressure ya mvuke uliotokana na kuchemsha maji kwa kutumia gas au kuchemsha kwa kutumia nuclear energy.

Ukishauzalisha umeme, kuna mambo machache hapo katikati kama transformer kwaajili ya kuongeza au kupunguza. Lakini kilicho kikubwa ni kuusafirisha tu kwa kutumia wire ili uende ukamfikie mtumiaji.

Kama tunashindwa hata kuzalisha tu umeme, tukizalishwa tunashindwa hata kuusafirisha, hivi sisi ni kitu gani tutakiweza hapa Duniani? Wizi tu wa kura?

Siamini kuwa Watanzania wote wameshindwa kuihakikishia jamii umeme wa kutosha. Fikiria shirika la TANESCO linashindwa hata kusimika tu nguzo kwa umakini. Sasa hivi maeneo mengi yanakosa umeme kwa sababu nguzo zinadondoka hovyo.

Tunakosa umeme kwa sababu TANESCO ni shirika la Serikali. Kama lingekuwa shirika binafsi, tungekuwa na umeme mpaka wa ziada. Kitu chochote kikiwa chini ya Serikali tegemea uhovyo na ufanisi duni kabisa.

TBL ilipokuwa chini ya serikali, wanywaji kupata bia ilikuwa tatizo kubwa. Leo wanywaji wanabembelezwa.

TCC ilipokuwa chini ya setikali, wavutaji sigara ilikuwa ni kwa mwendo wa kuruka.

Huduma za simu zilipokuwa chini TTCL ya Serikali, kuunganishiwa simu kwa haraka ukitaka kupiga simu mpaka uwe unampa rushwa station master. Leo watu wanabembelezwa kupiga simu.

Maadam TANESCO bado ipo chini ya Serikali iliyofeli kwenye masuala yote ya uchumi na biashara, tusitarajie muujiza.

Wakati wa usafiri wa mabasi ya Railway, kupata ticket ni lazima ukamhonge station master au mfanyakazi wa Railway, leo abiria anakimbiliwa na wapiga debe kumbembeleza.

TANESCO ifutwe. Makampuni yenye uwezo wa kuzalisha umeme hata kama ni kwa kijiji kimoja, Wilaya au mkoa, yapewe uhuru wote wa kutoa huduma hiyo bila ya kuingiliwa na Serikali au ukiritimba wa TANESCO. Tunaweza kuamza na mikoa michache, huku tukipima mafanikio. Nima hakika yakipewa makampuni binafsi, kuna siku wananchi watakuja kubembelezwa kutumia sana umeme.

Kuanzia jana nipo mkoani Tabora. Jana yote mchana hakuna umeme. Leo mchana yote mpaka usiku huu, hakuna umeme.
 
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio.

Uzalishaji wa umeme ni teknolojia ya chini kabisa ambayo hata vijana wenye akili ya kawaida wanaoweza kusikiliza maelekezo wana uwezo wa kufanya.

Kikubwa unachohitaji ni nguvu ya kuzungusha turbine, na kitu cha kubadilisha ule mzunguko ambao unatoa mechanical energy, kupeleka kwenye electrical energy.

Nguvu ya kuzungusha turbine, unaweza kuipata kutoka kwenye maji yenye mporomoko, pressure ya mvuke uliotokana na kuchemsha maji kwa kutumia gas au kuchemsha kwa kutumia nuclear energy.

Ukishauzalisha umeme, kuna mambo machache hapo katikati kama transformer kwaajili ya kuongeza au kupunguza. Lakini kilicho kikubwa ni kuusafirisha tu kwa kutumia wire ili uende ukamfikie mtumiaji.

Kama tunashindwa hata kuzalisha tu umeme, tukizalishwa tunashindwa hata kuusafirisha, hivi sisi ni kitu gani tutakiweza hapa Duniani? Wizi tu wa kura?

Siamini kuwa Watanzania wote wameshindwa kuihakikishia jamii umeme wa kutosha. Fikiria shirika la TANESCO linashindwa hata kusimika tu nguzo kwa umakini. Sasa hivi maeneo mengi yanakosa umeme kwa sababu nguzo zinadondoka hovyo.

Tunakosa umeme kwa sababu TANESCO ni shirika la Serikali. Kama lingekuwa shirika binafsi, tungekuwa na umeme mpaka wa ziada. Kitu chochote kikiwa chini ya Serikali tegemea uhovyo na ufanisi duni kabisa.

TBL ilipokuwa chini ya serikali, wanywaji kupata bia ilikuwa tatizo kubwa. Leo wanywaji wanabembelezwa.

TCC ilipokuwa chini ya setikali, wavutaji sigara ilikuwa ni kwa mwendo wa kuruka.

Huduma za simu zilipokuwa chini TTCL ya Serikali, kuunganishiwa simu kwa haraka ukitaka kupiga simu mpaka uwe unampa rushwa station master. Leo watu wanabembelezwa kupiga simu.

Maadam TANESCO bado ipo chini ya Serikali iliyofeli kwenye masuala yote ya uchumi na biashara, tusitarajie muujiza.

Wakati wa usafiri wa mabasi ya Railway, kupata ticket ni lazima ukamhonge station master au mfanyakazi wa Railway, leo abiria anakimbiliwa na wapiga debe kumbembeleza.

TANESCO ifutwe. Makampuni yenye uwezo wa kuzalisha umeme hata kama ni kwa kijiji kimoja, Wilaya au mkoa, yapewe uhuru wote wa kutoa huduma hiyo bila ya kuingiliwa na Serikali au ukiritimba wa TANESCO. Tunaweza kuamza na mikoa michache, huku tukipima mafanikio. Nima hakika yakipewa makampuni binafsi, kuna siku wananchi watakuja kubembelezwa kutumia sana umeme.

Kuanzia jana nipo mkoani Tabora. Jana yote mchana hakuna umeme. Leo mchana yote mpaka usiku huu, hakuna umeme!


Mods, tafadhali isomeke NI LINI, na siyo Ni Nini.
Ukiondoa Tanzania mkuu nchi gani ulisha wahi kuishi?..........naomba unijibu
 
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio.

Uzalishaji wa umeme ni teknolojia ya chini kabisa ambayo hata vijana wenye akili ya kawaida wanaoweza kusikiliza maelekezo wana uwezo wa kufanya.

Kikubwa unachohitaji ni nguvu ya kuzungusha turbine, na kitu cha kubadilisha ule mzunguko ambao unatoa mechanical energy, kupeleka kwenye electrical energy.

Nguvu ya kuzungusha turbine, unaweza kuipata kutoka kwenye maji yenye mporomoko, pressure ya mvuke uliotokana na kuchemsha maji kwa kutumia gas au kuchemsha kwa kutumia nuclear energy.

Ukishauzalisha umeme, kuna mambo machache hapo katikati kama transformer kwaajili ya kuongeza au kupunguza. Lakini kilicho kikubwa ni kuusafirisha tu kwa kutumia wire ili uende ukamfikie mtumiaji.

Kama tunashindwa hata kuzalisha tu umeme, tukizalishwa tunashindwa hata kuusafirisha, hivi sisi ni kitu gani tutakiweza hapa Duniani? Wizi tu wa kura?

Siamini kuwa Watanzania wote wameshindwa kuihakikishia jamii umeme wa kutosha. Fikiria shirika la TANESCO linashindwa hata kusimika tu nguzo kwa umakini. Sasa hivi maeneo mengi yanakosa umeme kwa sababu nguzo zinadondoka hovyo.

Tunakosa umeme kwa sababu TANESCO ni shirika la Serikali. Kama lingekuwa shirika binafsi, tungekuwa na umeme mpaka wa ziada. Kitu chochote kikiwa chini ya Serikali tegemea uhovyo na ufanisi duni kabisa.

TBL ilipokuwa chini ya serikali, wanywaji kupata bia ilikuwa tatizo kubwa. Leo wanywaji wanabembelezwa.

TCC ilipokuwa chini ya setikali, wavutaji sigara ilikuwa ni kwa mwendo wa kuruka.

Huduma za simu zilipokuwa chini TTCL ya Serikali, kuunganishiwa simu kwa haraka ukitaka kupiga simu mpaka uwe unampa rushwa station master. Leo watu wanabembelezwa kupiga simu.

Maadam TANESCO bado ipo chini ya Serikali iliyofeli kwenye masuala yote ya uchumi na biashara, tusitarajie muujiza.

Wakati wa usafiri wa mabasi ya Railway, kupata ticket ni lazima ukamhonge station master au mfanyakazi wa Railway, leo abiria anakimbiliwa na wapiga debe kumbembeleza.

TANESCO ifutwe. Makampuni yenye uwezo wa kuzalisha umeme hata kama ni kwa kijiji kimoja, Wilaya au mkoa, yapewe uhuru wote wa kutoa huduma hiyo bila ya kuingiliwa na Serikali au ukiritimba wa TANESCO. Tunaweza kuamza na mikoa michache, huku tukipima mafanikio. Nima hakika yakipewa makampuni binafsi, kuna siku wananchi watakuja kubembelezwa kutumia sana umeme.

Kuanzia jana nipo mkoani Tabora. Jana yote mchana hakuna umeme. Leo mchana yote mpaka usiku huu, hakuna umeme!


Mods, tafadhali isomeke NI LINI, na siyo Ni Nini.
Hata mimi niliwahi kujiuliza kama wewe lakini baada ya kuangalia dunia inavyoendeshwa nimejifunza kuwa tatizo kubwa hapa Bongo ni kudharau jambo moja nalo ni kupuuza ukweli kuwa utawala na uendeshaji ni taaluma. Kila mahali au wakati Utawala na uendeshaji ulikuwa wa kitaaluma mambo yalikuwa afadhali. Shule tulifundishwa kuwa mkulima wa kuganga njaa (peasant) na mkulima wa biashara (farmer) ni watu wawili tofauti! Nadhani inatosha. Tazama uongozi wetu hapa Bongo.
 
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio.

Uzalishaji wa umeme ni teknolojia ya chini kabisa ambayo hata vijana wenye akili ya kawaida wanaoweza kusikiliza maelekezo wana uwezo wa kufanya.

Kikubwa unachohitaji ni nguvu ya kuzungusha turbine, na kitu cha kubadilisha ule mzunguko ambao unatoa mechanical energy, kupeleka kwenye electrical energy.

Nguvu ya kuzungusha turbine, unaweza kuipata kutoka kwenye maji yenye mporomoko, pressure ya mvuke uliotokana na kuchemsha maji kwa kutumia gas au kuchemsha kwa kutumia nuclear energy.

Ukishauzalisha umeme, kuna mambo machache hapo katikati kama transformer kwaajili ya kuongeza au kupunguza. Lakini kilicho kikubwa ni kuusafirisha tu kwa kutumia wire ili uende ukamfikie mtumiaji.

Kama tunashindwa hata kuzalisha tu umeme, tukizalishwa tunashindwa hata kuusafirisha, hivi sisi ni kitu gani tutakiweza hapa Duniani? Wizi tu wa kura?

Siamini kuwa Watanzania wote wameshindwa kuihakikishia jamii umeme wa kutosha. Fikiria shirika la TANESCO linashindwa hata kusimika tu nguzo kwa umakini. Sasa hivi maeneo mengi yanakosa umeme kwa sababu nguzo zinadondoka hovyo.

Tunakosa umeme kwa sababu TANESCO ni shirika la Serikali. Kama lingekuwa shirika binafsi, tungekuwa na umeme mpaka wa ziada. Kitu chochote kikiwa chini ya Serikali tegemea uhovyo na ufanisi duni kabisa.

TBL ilipokuwa chini ya serikali, wanywaji kupata bia ilikuwa tatizo kubwa. Leo wanywaji wanabembelezwa.

TCC ilipokuwa chini ya setikali, wavutaji sigara ilikuwa ni kwa mwendo wa kuruka.

Huduma za simu zilipokuwa chini TTCL ya Serikali, kuunganishiwa simu kwa haraka ukitaka kupiga simu mpaka uwe unampa rushwa station master. Leo watu wanabembelezwa kupiga simu.

Maadam TANESCO bado ipo chini ya Serikali iliyofeli kwenye masuala yote ya uchumi na biashara, tusitarajie muujiza.

Wakati wa usafiri wa mabasi ya Railway, kupata ticket ni lazima ukamhonge station master au mfanyakazi wa Railway, leo abiria anakimbiliwa na wapiga debe kumbembeleza.

TANESCO ifutwe. Makampuni yenye uwezo wa kuzalisha umeme hata kama ni kwa kijiji kimoja, Wilaya au mkoa, yapewe uhuru wote wa kutoa huduma hiyo bila ya kuingiliwa na Serikali au ukiritimba wa TANESCO. Tunaweza kuamza na mikoa michache, huku tukipima mafanikio. Nima hakika yakipewa makampuni binafsi, kuna siku wananchi watakuja kubembelezwa kutumia sana umeme.

Kuanzia jana nipo mkoani Tabora. Jana yote mchana hakuna umeme. Leo mchana yote mpaka usiku huu, hakuna umeme!


Mods, tafadhali isomeke NI LINI, na siyo Ni Nini.
Yule mama pale juu anapakaa foundation kila siku , hilo kwake ni kama mbingu na ardhi yeye anataka wawekezaji kutoka nje si umeona hata bandsri imetushinda

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio.

Uzalishaji wa umeme ni teknolojia ya chini kabisa ambayo hata vijana wenye akili ya kawaida wanaoweza kusikiliza maelekezo wana uwezo wa kufanya.

Kikubwa unachohitaji ni nguvu ya kuzungusha turbine, na kitu cha kubadilisha ule mzunguko ambao unatoa mechanical energy, kupeleka kwenye electrical energy.

Nguvu ya kuzungusha turbine, unaweza kuipata kutoka kwenye maji yenye mporomoko, pressure ya mvuke uliotokana na kuchemsha maji kwa kutumia gas au kuchemsha kwa kutumia nuclear energy.

Ukishauzalisha umeme, kuna mambo machache hapo katikati kama transformer kwaajili ya kuongeza au kupunguza. Lakini kilicho kikubwa ni kuusafirisha tu kwa kutumia wire ili uende ukamfikie mtumiaji.

Kama tunashindwa hata kuzalisha tu umeme, tukizalishwa tunashindwa hata kuusafirisha, hivi sisi ni kitu gani tutakiweza hapa Duniani? Wizi tu wa kura?

Siamini kuwa Watanzania wote wameshindwa kuihakikishia jamii umeme wa kutosha. Fikiria shirika la TANESCO linashindwa hata kusimika tu nguzo kwa umakini. Sasa hivi maeneo mengi yanakosa umeme kwa sababu nguzo zinadondoka hovyo.

Tunakosa umeme kwa sababu TANESCO ni shirika la Serikali. Kama lingekuwa shirika binafsi, tungekuwa na umeme mpaka wa ziada. Kitu chochote kikiwa chini ya Serikali tegemea uhovyo na ufanisi duni kabisa.

TBL ilipokuwa chini ya serikali, wanywaji kupata bia ilikuwa tatizo kubwa. Leo wanywaji wanabembelezwa.

TCC ilipokuwa chini ya setikali, wavutaji sigara ilikuwa ni kwa mwendo wa kuruka.

Huduma za simu zilipokuwa chini TTCL ya Serikali, kuunganishiwa simu kwa haraka ukitaka kupiga simu mpaka uwe unampa rushwa station master. Leo watu wanabembelezwa kupiga simu.

Maadam TANESCO bado ipo chini ya Serikali iliyofeli kwenye masuala yote ya uchumi na biashara, tusitarajie muujiza.

Wakati wa usafiri wa mabasi ya Railway, kupata ticket ni lazima ukamhonge station master au mfanyakazi wa Railway, leo abiria anakimbiliwa na wapiga debe kumbembeleza.

TANESCO ifutwe. Makampuni yenye uwezo wa kuzalisha umeme hata kama ni kwa kijiji kimoja, Wilaya au mkoa, yapewe uhuru wote wa kutoa huduma hiyo bila ya kuingiliwa na Serikali au ukiritimba wa TANESCO. Tunaweza kuamza na mikoa michache, huku tukipima mafanikio. Nima hakika yakipewa makampuni binafsi, kuna siku wananchi watakuja kubembelezwa kutumia sana umeme.

Kuanzia jana nipo mkoani Tabora. Jana yote mchana hakuna umeme. Leo mchana yote mpaka usiku huu, hakuna umeme.
Kabisa! Nina uhakika hata bwana la Nyerere likikamilika mwakani mgao utakuwa palepale!
 
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio.

Uzalishaji wa umeme ni teknolojia ya chini kabisa ambayo hata vijana wenye akili ya kawaida wanaoweza kusikiliza maelekezo wana uwezo wa kufanya.

Kikubwa unachohitaji ni nguvu ya kuzungusha turbine, na kitu cha kubadilisha ule mzunguko ambao unatoa mechanical energy, kupeleka kwenye electrical energy.

Nguvu ya kuzungusha turbine, unaweza kuipata kutoka kwenye maji yenye mporomoko, pressure ya mvuke uliotokana na kuchemsha maji kwa kutumia gas au kuchemsha kwa kutumia nuclear energy.

Ukishauzalisha umeme, kuna mambo machache hapo katikati kama transformer kwaajili ya kuongeza au kupunguza. Lakini kilicho kikubwa ni kuusafirisha tu kwa kutumia wire ili uende ukamfikie mtumiaji.

Kama tunashindwa hata kuzalisha tu umeme, tukizalishwa tunashindwa hata kuusafirisha, hivi sisi ni kitu gani tutakiweza hapa Duniani? Wizi tu wa kura?

Siamini kuwa Watanzania wote wameshindwa kuihakikishia jamii umeme wa kutosha. Fikiria shirika la TANESCO linashindwa hata kusimika tu nguzo kwa umakini. Sasa hivi maeneo mengi yanakosa umeme kwa sababu nguzo zinadondoka hovyo.

Tunakosa umeme kwa sababu TANESCO ni shirika la Serikali. Kama lingekuwa shirika binafsi, tungekuwa na umeme mpaka wa ziada. Kitu chochote kikiwa chini ya Serikali tegemea uhovyo na ufanisi duni kabisa.

TBL ilipokuwa chini ya serikali, wanywaji kupata bia ilikuwa tatizo kubwa. Leo wanywaji wanabembelezwa.

TCC ilipokuwa chini ya setikali, wavutaji sigara ilikuwa ni kwa mwendo wa kuruka.

Huduma za simu zilipokuwa chini TTCL ya Serikali, kuunganishiwa simu kwa haraka ukitaka kupiga simu mpaka uwe unampa rushwa station master. Leo watu wanabembelezwa kupiga simu.

Maadam TANESCO bado ipo chini ya Serikali iliyofeli kwenye masuala yote ya uchumi na biashara, tusitarajie muujiza.

Wakati wa usafiri wa mabasi ya Railway, kupata ticket ni lazima ukamhonge station master au mfanyakazi wa Railway, leo abiria anakimbiliwa na wapiga debe kumbembeleza.

TANESCO ifutwe. Makampuni yenye uwezo wa kuzalisha umeme hata kama ni kwa kijiji kimoja, Wilaya au mkoa, yapewe uhuru wote wa kutoa huduma hiyo bila ya kuingiliwa na Serikali au ukiritimba wa TANESCO. Tunaweza kuamza na mikoa michache, huku tukipima mafanikio. Nima hakika yakipewa makampuni binafsi, kuna siku wananchi watakuja kubembelezwa kutumia sana umeme.

Kuanzia jana nipo mkoani Tabora. Jana yote mchana hakuna umeme. Leo mchana yote mpaka usiku huu, hakuna umeme.
South Africa,Kenya,Nigeria kote huko Kuna shida ya umeme sembuse Tanzania?
 
Ukiondoa Tanzania mkuu nchi gani ulisha wahi kuishi?..........naomba unijibu

Nimefanya kazi karibia mabara yote. Katika Afrika mataifa 9. Ulaya mataifa 2. America ya Kaskazini mataifa 2. America Kusini 3. Na pia Australia. Katika mataifa hayo, kila Taifa nimefanya kazi. Muda mfupi kabisa ukiwa miezi 6, muda mrefu zaidi ukiwa miaka 5.
 
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio.

Uzalishaji wa umeme ni teknolojia ya chini kabisa ambayo hata vijana wenye akili ya kawaida wanaoweza kusikiliza maelekezo wana uwezo wa kufanya.

Kikubwa unachohitaji ni nguvu ya kuzungusha turbine, na kitu cha kubadilisha ule mzunguko ambao unatoa mechanical energy, kupeleka kwenye electrical energy.

Nguvu ya kuzungusha turbine, unaweza kuipata kutoka kwenye maji yenye mporomoko, pressure ya mvuke uliotokana na kuchemsha maji kwa kutumia gas au kuchemsha kwa kutumia nuclear energy.

Ukishauzalisha umeme, kuna mambo machache hapo katikati kama transformer kwaajili ya kuongeza au kupunguza. Lakini kilicho kikubwa ni kuusafirisha tu kwa kutumia wire ili uende ukamfikie mtumiaji.

Kama tunashindwa hata kuzalisha tu umeme, tukizalishwa tunashindwa hata kuusafirisha, hivi sisi ni kitu gani tutakiweza hapa Duniani? Wizi tu wa kura?

Siamini kuwa Watanzania wote wameshindwa kuihakikishia jamii umeme wa kutosha. Fikiria shirika la TANESCO linashindwa hata kusimika tu nguzo kwa umakini. Sasa hivi maeneo mengi yanakosa umeme kwa sababu nguzo zinadondoka hovyo.

Tunakosa umeme kwa sababu TANESCO ni shirika la Serikali. Kama lingekuwa shirika binafsi, tungekuwa na umeme mpaka wa ziada. Kitu chochote kikiwa chini ya Serikali tegemea uhovyo na ufanisi duni kabisa.

TBL ilipokuwa chini ya serikali, wanywaji kupata bia ilikuwa tatizo kubwa. Leo wanywaji wanabembelezwa.

TCC ilipokuwa chini ya setikali, wavutaji sigara ilikuwa ni kwa mwendo wa kuruka.

Huduma za simu zilipokuwa chini TTCL ya Serikali, kuunganishiwa simu kwa haraka ukitaka kupiga simu mpaka uwe unampa rushwa station master. Leo watu wanabembelezwa kupiga simu.

Maadam TANESCO bado ipo chini ya Serikali iliyofeli kwenye masuala yote ya uchumi na biashara, tusitarajie muujiza.

Wakati wa usafiri wa mabasi ya Railway, kupata ticket ni lazima ukamhonge station master au mfanyakazi wa Railway, leo abiria anakimbiliwa na wapiga debe kumbembeleza.

TANESCO ifutwe. Makampuni yenye uwezo wa kuzalisha umeme hata kama ni kwa kijiji kimoja, Wilaya au mkoa, yapewe uhuru wote wa kutoa huduma hiyo bila ya kuingiliwa na Serikali au ukiritimba wa TANESCO. Tunaweza kuamza na mikoa michache, huku tukipima mafanikio. Nima hakika yakipewa makampuni binafsi, kuna siku wananchi watakuja kubembelezwa kutumia sana umeme.

Kuanzia jana nipo mkoani Tabora. Jana yote mchana hakuna umeme. Leo mchana yote mpaka usiku huu, hakuna umeme.
 
Nimefanya kazi karibia mabara yote. Katika Afrika nimekaa kwa miezi kadhaa kwenye mataifa 9. Ulaya mataifa 2. America ya Kaskazini mataifa 2. America Kusini 3. Na pia Australia. Katika mataifa hayo, kila Taifa nimeishi kuanzia miezi 6 mpaka miaka 5.
Mkuu na manisha katika nchi za Africa, sio ulaya au Marikani, kwasbb Tanzania iko Africa, point yangu ni hivi 'Africa is the same' tofauti ni majina na viongozi so Tanzania is not unexceptional
 
Back
Top Bottom