Ni lini msimamo huu wa Kanisa Katoliki umebadilika?

Njaare

JF-Expert Member
Sep 26, 2010
1,081
275
Wana JF,

Kwa mujibu wa vyombo vya habari leo, kanisa katoliki kupitia kwa makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa hilo limewataka ukawa warudi bungeni bila masharti yeyote.

Mojawapo ya masharti yaliyowekwa na ukawa ni kutaka ijadiliwe rasmu ya tume ya Warioba na si rasimu nyingine ambayo haijajadiliwa na wananchi. Pia inataka bunge liache matusi na liache kupoteza muda kumjadili Warioba lijadili rasimu iliyopo mezani.

Wakat wa pasaka kanisa katoliki lilitoa waraka wa kulitaka bunge lijadili mapendekezo ya wananchi na maaskofu 32 akiwemo Niwemugizi walisaini.
https://www.jamiiforums.com/katiba-...himiwe.html?highlight=msimamo+kanisa+katoliki

Kauli aliyotoa Niwemugizi kwenye jubilei ya miaka 25 ya Rais wake inawashauri UKAWA warudi bungeni kupoteza kodi ya wananchi kumjadili Warioba na kutukanana kwani si rais wala mwenyekiti wa bunge hilo aliyesema kuwa sasa wako tayari kujadili rasimu ya wananchi.

Je, Kanisa katoliki limebadili msimamo au ni msimamo binafsi wa Niwemugizi?
 
Mwanzo waliwaona UKAWA wana malengo mazuri. Sasa wanaona kuwa wanaelekea kuvuruga amani ya nchi ndo maana wamewabadilikia. Wamepewa maono na Mungu Muumba ndo maana wamelazimika kubadili msimamo wa awali
 
Wamekaa, kutafakari na kuona nani mkweli kati UKAWA na wabunge waliobaki bungeni. Watakuwa wamegundua UKAWA ni wasanii tu.
 
Mwanzo waliwaona UKAWA wana malengo mazuri. Sasa wanaona kuwa wanaelekea kuvuruga amani ya nchi ndo maana wamewabadilikia. Wamepewa maono na Mungu Muumba ndo maana wamelazimika kubadili msimamo wa awali

Mungu mkubwa sana. Watanzania wapenda amani hatuna budikumshukuru Mungu kwa kuwafungulia maono viongozi wetu wa dini.
 
Wamekaa, kutafakari na kuona nani mkweli kati UKAWA na wabunge waliobaki bungeni. Watakuwa wamegundua UKAWA ni wasanii tu.
Hakika Mkuu. Hawa UKAWA wanaonekana ni mawakala wa Shetani
 
UKAWA kususia bunge ilikuwa ni mipango ya mungu, ili hila zao zifahamike, sasa yametimia, Viongozi wa dini wamegundua siyo watu wazuri kwa mstakabali wa amani ya nchi yetu.
 
Mungu mkubwa sana. Watanzania wapenda amani hatuna budikumshukuru Mungu kwa kuwafungulia maono viongozi wetu wa dini.
Hakika Mkuu. Mungu ana mapenzi mema sana na nchi hii. Ni Mungu ndiye aliyemfunulia Jaji Mutungi kuwa Mbowe na Dr Slaa wamebadili katiba kinyemela. Kwa kuwa kuna baadhi ya watanzania wanawaamini, ndo maana Mungu kamjaza hekima jaji Mutungi na ndipo usanii wa akina Mbowe ulipodhihirika
 
Hakika Mkuu. Mungu ana mapenzi mema sana na nchi hii. Ni Mungu ndiye aliyemfunulia Jaji Mutungi kuwa Mbowe na Dr Slaa wamebadili katiba kinyemela. Kwa kuwa kuna baadhi ya watanzania wanawaamini, ndo maana Mungu kamjaza hekima jaji Mutungi na ndipo usanii wa akina Mbowe ulipodhihirika

Hakika.
 
Wana JF,

Kwa mujibu wa vyombo vya habari leo, kanisa katoliki kupitia kwa makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa hilo limewataka ukawa warudi bungeni bila masharti yeyote.

Mojawapo ya masharti yaliyowekwa na ukawa ni kutaka ijadiliwe rasmu ya tume ya Warioba na si rasimu nyingine ambayo haijajadiliwa na wananchi. Pia inataka bunge liache matusi na liache kupoteza muda kumjadili Warioba lijadili rasimu iliyopo mezani.

Wakat wa pasaka kanisa katoliki lilitoa waraka wa kulitaka bunge lijadili mapendekezo ya wananchi na maaskofu 32 akiwemo Niwemugizi walisaini.
https://www.jamiiforums.com/katiba-...himiwe.html?highlight=msimamo+kanisa+katoliki

Kauli aliyotoa Niwemugizi kwenye jubilei ya miaka 25 ya Rais wake inawashauri UKAWA warudi bungeni kupoteza kodi ya wananchi kumjadili Warioba na kutukanana kwani si rais wala mwenyekiti wa bunge hilo aliyesema kuwa sasa wako tayari kujadili rasimu ya wananchi.

Je, Kanisa katoliki limebadili msimamo au ni msimamo binafsi wa Niwemugizi?

Well done Njaare; hebu jaribu jinsi ya kuifikisha hii link kwa Askofu Niwemugizi na baraza la maaskofu; labda amesahau alichokisema huko nyuma au ni kweli alikuwa najipendekeza kwa watawala tumuelewe hivyo.
hakuna mtu mzima mwenye akili na haswa haswa Askofu mchungaji wa kiroho anayeweza kutoa kauli za kutaka bunge la katiba liendelee kwa aina ile ile.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yaani nukuu za magazeti ya CCM zinawaumiza kichwa na kuzipa topic hizo uchwara umaarufu wa bure..........
 
Well done Njaare; hebu jaribu jinsi ya kuifikisha hii link kwa Askofu Niwemugizi na baraza la maaskofu; labda amesahau alichokisema huko nyuma au ni kweli alikuwa najipendekeza kwa watawala tumuelewe hivyo.
hakuna mtu mzima mwenye akili na haswa haswa Askofu mchungaji wa kiroho anayeweza kutoa kauli za kutaka bunge la katiba liendelee kwa aina ile ile.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kaka cha ajabu nini hapo mpaka ushabikie uzi wa Njaare. Kama nakumbuka vivuri na Njaare amesema wazi ni kuwa, maaskofu walitaka ijadiliwe rasimu ya warioba, hakuna mahali waliwasupport UKAWA kutoka nje. Na sasa wanawataka UKAWA warudi bungeni wakapambane kwa hoja. Tatizo liko wapi? Hadi hapo sijaona kosa lao
 
Wakristo,ccm wanataka nchi waiingize kwenye machafuko,yasikuwa na ulazima,kwa uchu tu wa matumbu yao ni wanafiki wakubwa hawa,poa kwakuwa wao ndiyo waliyoshika mpini,tunasubiri tuone mwisho wake.
 
Kama habari hii itakuwa imenukuliwa na gazeti la Uhuru, Habari Leo na kutangazwa na TBC na kujadiliwa na Lizaboni na kundi lake hapa hakuna ukweli
Wana JF,

Kwa mujibu wa vyombo vya habari leo, kanisa katoliki kupitia kwa makamu wa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa hilo limewataka ukawa warudi bungeni bila masharti yeyote.

Mojawapo ya masharti yaliyowekwa na ukawa ni kutaka ijadiliwe rasmu ya tume ya Warioba na si rasimu nyingine ambayo haijajadiliwa na wananchi. Pia inataka bunge liache matusi na liache kupoteza muda kumjadili Warioba lijadili rasimu iliyopo mezani.

Wakat wa pasaka kanisa katoliki lilitoa waraka wa kulitaka bunge lijadili mapendekezo ya wananchi na maaskofu 32 akiwemo Niwemugizi walisaini.
https://www.jamiiforums.com/katiba-...himiwe.html?highlight=msimamo+kanisa+katoliki

Kauli aliyotoa Niwemugizi kwenye jubilei ya miaka 25 ya Rais wake inawashauri UKAWA warudi bungeni kupoteza kodi ya wananchi kumjadili Warioba na kutukanana kwani si rais wala mwenyekiti wa bunge hilo aliyesema kuwa sasa wako tayari kujadili rasimu ya wananchi.

Je, Kanisa katoliki limebadili msimamo au ni msimamo binafsi wa Niwemugizi?
 
Kama habari hii itakuwa imenukuliwa na gazeti la Uhuru, Habari Leo na kutangazwa na TBC na kujadiliwa na Lizaboni na kundi lake hapa hakuna ukweli

Hatimaye ukweli umepatikana. Peter Msigwa (naamini alihudhuria na kusikiliza kwa masikio yake) ameandika kwenye ukrasa wake wa facebook, "Magazieti na mitandao mingi imepotosha kilichosemwa Jana na balaza la maaskofu, habari sahihi ni ile iliyoandikwa na gazeti la NIPASHE. BABA ASKOFU ALISEMA NILAZIMA RASIMU YA WARIOBA IHESHIMIWE NA NDIO IJADILIWE. AMESEMA UKAWA WARUDI BUNGENI BILA MASHARTI KUJADILI RASIMU YA WARIOBA. AMESEMA WATAKAO CHAKACHUA MAONI YA WANANCHI WASICHAGULIWE MWAKANI. waziri mkuu alijaribu kujibu hotuba ile lakini ilikuwa ya moto, Alisha kusema tunakubali kukoselewa".
 
MAADAM MUNGU AMERIDHIA UKAWA wakomboe NCHI HII SINA WASIWASI , MAANA HAKUNA WA KUMPINGA .
 
Well done Njaare; hebu jaribu jinsi ya kuifikisha hii link kwa Askofu Niwemugizi na baraza la maaskofu; labda amesahau alichokisema huko nyuma au ni kweli alikuwa najipendekeza kwa watawala tumuelewe hivyo.
hakuna mtu mzima mwenye akili na haswa haswa Askofu mchungaji wa kiroho anayeweza kutoa kauli za kutbungbunge la katiba liendelee kwa aina ile ile.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wajameni msimlaumu, pale alikutana na ccm wenzie kwahiyo ilimpasa ajitoe ufahamu kwanza
 
Hatimaye ukweli umepatikana. Peter Msigwa (naamini alihudhuria na kusikiliza kwa masikio yake) ameandika kwenye ukrasa wake wa facebook, "Magazieti na mitandao mingi imepotosha kilichosemwa Jana na balaza la maaskofu, habari sahihi ni ile iliyoandikwa na gazeti la NIPASHE. BABA ASKOFU ALISEMA NILAZIMA RASIMU YA WARIOBA IHESHIMIWE NA NDIO IJADILIWE. AMESEMA UKAWA WARUDI BUNGENI BILA MASHARTI KUJADILI RASIMU YA WARIOBA. AMESEMA WATAKAO CHAKACHUA MAONI YA WANANCHI WASICHAGULIWE MWAKANI. waziri mkuu alijaribu kujibu hotuba ile lakini ilikuwa ya moto, Alisha kusema tunakubali kukoselewa".
Kwa wale waliokuwa kwenye tukio hii ndio kauli alioitoa askofu si hizo za wahuni walioibuka na kujiandikia wanavojiskia. Hawa si watu wa kukurupuka kama wanaojifanya kujifariji. Kamwe hawana tabia za kufanya mambo kukurupuka. Narudia tena kusema hii ndio kauli halisi si hizi za waganga njaa wengine
 
Back
Top Bottom