Luqnation Tz
Senior Member
- Jul 1, 2017
- 125
- 56
Wakuu kwa mwenye ufahamu wowote juu ya lini matokeo ya udahili yatatoka na ni lini muda wa masomo utaanza, Tafadhali naomba anifahamishe.
Fungua hiyo PDF kila kitu kipo hapoView attachment Final_Almanac_2018__Public_Notice_-ALK_Track.pdfWakuu kwa mwenye ufahamu wowote juu ya lini matokeo ya udahili yatatoka na ni lini muda wa masomo utaanza, Tafadhali naomba anifahamishe.
Tulia mkuu MBNA wenge subiri utasoma adi uchoke kwanza umeaply vyuo gani na Ni kozi zipi maana Una unaharakaWakuu kwa mwenye ufahamu wowote juu ya lini matokeo ya udahili yatatoka na ni lini muda wa masomo utaanza, Tafadhali naomba anifahamishe.
Upitie tcu.go.tz wameweka ratiba kamili ya udahili mwaka huuWakuu kwa mwenye ufahamu wowote juu ya lini matokeo ya udahili yatatoka na ni lini muda wa masomo utaanza, Tafadhali naomba anifahamishe.
http://www.tcu.go.tz/images/documents/TAARIFA_KWA_UMMA_KUHUSU_UDAHILI_-_14.8.2018_Final.pdfWakuu kwa mwenye ufahamu wowote juu ya lini matokeo ya udahili yatatoka na ni lini muda wa masomo utaanza, Tafadhali naomba anifahamishe.
Ni kuanzia tareha 26/8/2018 - hadi 30/8/2018. Hapa vyuo mbalimbali vitatoa majina ya waliochaguliwa na kuwaomba wahusika wathibitishe kujiunga na vyuo vyao. Wenye multiple selection wathibitishe chuo kimoja tu. Zoezi hili ni la wiki moja ili ikifika 30/8/2018 majina ya waliochaguliwa na kuthibitisha kujiunga na vyuo hivyo yatoke rasmi. Si kwamba hiyo 30/8/2018 ndo watu waanze zoezi la kuthibitisha kujiunga na vyuo kwa wenye multiple selection. Ni kweli kuwa taarifa ya TCU haikuwa wazi sana kuhusu muda wa wenye multiple selection ku-confirm. Chuo kitakachochelewa kuweka majina WAZI MAPEMA na kutoa fursa ya watu kuthibitisha kitaangukia pua!!!. Ni wazi kuwa haiwezi kuwa ni tarehe 15/8 maana siku hiyo ndiyo mwisho wa kupokea application. Lakini haiwezi pia kuwa ni tarehe 30/8 maana ndiyo siku ambayo majina yaliyothibitisha kujiunga na vyuo husika yatatoka. Ni hapo katikati.Tar 30/8 first round selection
Thank youNi kuanzia tareha 26/8/2018 - hadi 30/8/2018. Hapa vyuo mbalimbali vitatoa majina ya waliochaguliwa na kuwaomba wahusika wathibitishe kujiunga na vyuo vyao. Wenye multiple selection wathibitishe chuo kimoja tu. Zoezi hili ni la wiki moja ili ikifika 30/8/2018 majina ya waliochaguliwa na kuthibitisha kujiunga na vyuo hivyo yatoke rasmi. Si kwamba hiyo 30/8/2018 ndo watu waanze zoezi la kuthibitisha kujiunga na vyuo kwa wenye multiple selection. Ni kweli kuwa taarifa ya TCU haikuwa wazi sana kuhusu muda wa wenye multiple selection ku-confirm. Chuo kitakachochelewa kuweka majina WAZI MAPEMA na kutoa fursa ya watu kuthibitisha kitaangukia pua!!!. Ni wazi kuwa haiwezi kuwa ni tarehe 15/8 maana siku hiyo ndiyo mwisho wa kupokea application. Lakini haiwezi pia kuwa ni tarehe 30/8 maana ndiyo siku ambayo majina yaliyothibitisha kujiunga na vyuo husika yatatoka. Ni hapo katikati.
🙌🙌🙌😂😂😂😂Baba tulikuepo na viherehere. Vyetu tunasumbua wakubwa humu JF chuo chuo hatimae tukaenda nloyakuta huko yamenifurahisha nlitaman nifunge chuo hata miaka 100 wafunge tu
Mabuki, Kikulula na Morogoro. Hivi ni vyuo vya mifugo na uvuvi.Tulia mkuu MBNA wenge subiri utasoma adi uchoke kwanza umeaply vyuo gani na Ni kozi zipi maana Una unaharaka
Una maana gani Mkuu?.ye muache hataomba chuo kifungwe
Uliyoyakuta huko yanafurahisha na ukatamani ufunge chuo hata miaka 100, hapa Mkuu una maana gani?.Baba tulikuepo na viherehere. Vyetu tunasumbua wakubwa humu JF chuo chuo hatimae tukaenda nloyakuta huko yamenifurahisha nlitaman nifunge chuo hata miaka 100 wafunge tu
Ahsante Mkuu.Upitie tcu.go.tz wameweka ratiba kamili ya udahili mwaka huu
Shukrani sana Mkuu. Hakika nimependezwa sana na taarifa hii, naweza kusema una moyo mkunjufu sana sijapata kuona.Ni kuanzia tareha 26/8/2018 - hadi 30/8/2018. Hapa vyuo mbalimbali vitatoa majina ya waliochaguliwa na kuwaomba wahusika wathibitishe kujiunga na vyuo vyao. Wenye multiple selection wathibitishe chuo kimoja tu. Zoezi hili ni la wiki moja ili ikifika 30/8/2018 majina ya waliochaguliwa na kuthibitisha kujiunga na vyuo hivyo yatoke rasmi. Si kwamba hiyo 30/8/2018 ndo watu waanze zoezi la kuthibitisha kujiunga na vyuo kwa wenye multiple selection. Ni kweli kuwa taarifa ya TCU haikuwa wazi sana kuhusu muda wa wenye multiple selection ku-confirm. Chuo kitakachochelewa kuweka majina WAZI MAPEMA na kutoa fursa ya watu kuthibitisha kitaangukia pua!!!. Ni wazi kuwa haiwezi kuwa ni tarehe 15/8 maana siku hiyo ndiyo mwisho wa kupokea application. Lakini haiwezi pia kuwa ni tarehe 30/8 maana ndiyo siku ambayo majina yaliyothibitisha kujiunga na vyuo husika yatatoka. Ni hapo katikati.
🙌🙌🙌😂😂😂😂