Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Jamani hivi ni lini Mkuu wetu wa nchi atatulia nchini na kulitumikia taifa...! Hivi sasa yupo huko Geneva, Swiss...! Hivi hizi safari zake zina maslahi yoyote? :sad:
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon jijini Geneva Uswisi. Rais Kikwete yupo nchini humo kwenye Mkutano wa Kwanza wa Tume ya Habari na Uwajibikaji wa Afya na Wanawake na Watoto.