katika viongozi wakuu wa tanzania imeonyesha wazi ni nyerere na mwinyi waliokuwa waadilifu tu.nyerere na mawaziri wake 90% walikuwa wanatumikia taifa. Hapa hakuna mjadala,vijiji vya ujamaa elimu kwa wote, matibabu kwa wote nyerere aliwaweka watoto wake kwenye shule za watanzania,walilala kwenye magodoro,na kuliwa na mbu kula maharage kama wengine,wakiwemo watoto wa kawawa,aboud jumbe, sokoine msuya hapa hakuna ubishi.
Ukimuona mzee Mwinyi hakuwa na makuu hakuwa mdini,wala mkabila hakuwadharau maskini.mawaziri wake wakuu wote walikuwa waadilifu na si mafisadi angalia mzee msuya,mzee wariyoba walitumikia taifa kwa moyo mmoja.
Umoja wetu, mshikamano ulikuwa madhubuti pamoja na utendaji wa mawaziri wao wote asilimia kubwa hawakuwa mabinafsi.
Akaingia fisadi MKAPA huyu ni kiongozi aliyekuwa mbabe kwa kujifanya anakusanya kodi na kuwa na salio serikalini, lakini lengo kubwa ilikuwa ni kuzichota zoote kwa kisingizio nilizikusanya mimi, msomi huyu kauza majengo yote ya watumishi wa serikali,walipeana kusudi wasimuhoji akitoka madarakani na mpaka leo hajaulizwa. WAZIRI mkuu wake alijilimbikizia ardhi utafikiri anamiliki mifugo yote nchini,huyu nae angekuwa muadilifu angezuia kabisa kuuza nyumba alizoacha mjerumani kwa ajiri ya serikari,MKAPA na genge lake la wahuni waliuziana rasilimali zote waliokuwa madarakani akawafungua macho mapapa wana mtandao. Hapa serikali yake haikuwa na uadilifu hata kidogo ilikuwa ya majizi yote.
SMILLING BOY alipoingia huyu akaahidi kwa macho na masikio yangu tutazirudisha nyumba za serikari mpaka kesho, tutarekebisha mikataba mibovu ya madini.matokeo yake vinazidi kujengwa viwanja vya ndege kwenye machimbo yote hakuna uhakiki wa hili.
Watanzania wote wamechoka na serikari yao na hata watumishi wite hawaitaki serikali isiyokuwa na kiongozi(eti kuna kiongozi tanzania?)tunashuhudia majengo ya kifahari kama ya spika ili apitishe agenda zao bungeni bila kujali wapiga kura.Kuna wakati makaburu waliapa kuwa mweusi hataongoza nchi ile mpaka wazungu wote wameisha 1985 MANDELA akawa raisi, walimfunga na kuuwa wengine kusudi kuuwa umoja wa weusi.
USA mweusi akawa rais kuna wabaguzi waliombeza Martin Luther King kuwa ana wazimu lakini Obama leo rais.
WOGA waliokuwa nao ccm ni kuhojiwa kwa ufedhuri ufisadi unyama walio nao kwa raia wao. Sheria wanazoziweka kukandamiza upinzani zitawasurubu wao wenyewe.NYERERE alisema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.siku hadi tunashuhudia bendera na wabunge waupinzani ukiongezeka kwa kasi na vijana ambao kwa ccm ni taifa la kesho kwa vyama nya upinzani ni ngao ya leo hakuna tena umoja wa vijana kuna vibaraka wa mafisadi.
Tutakachoshuhudia 2015 ni anguko ambalo hawatategemea sababu wajinga na mbumbu waliokuwa wakiwapa kanga,kofia pilau wamechoka, wanalala gizani wakati wabunge wao wana majereta,wanafia muhimbili wakati wake zao wanaenda ulaya kufanyiwa massage. Enough is Enough. Wakati wa kuendesha mashangingi wakati taifa ni maskini safari za rais kama John walker semina warsha kongamano na upuuzi vifikie mwisho.
GADAF aliondoka,mubarak aliondoka viongozi waliokuwa na mabafu ya dhahabu. Zambia, Senegal, wameweza bila kumwaga damu,Ivory Coast waliamua,KENYA wamebadili katiba. Sasa Tanzania tunataka kiongozi kama akina NYERERE, SALEEM, MWINYI, WARIOBA, KAWAWA, MSUYA NA SOKOINE NA SI MKAPA, SUMAYE, KIKWETE NA PINDA.
Tunataka wazalendo na si wanafiki na mafisadi.
INSHALAH
Ukimuona mzee Mwinyi hakuwa na makuu hakuwa mdini,wala mkabila hakuwadharau maskini.mawaziri wake wakuu wote walikuwa waadilifu na si mafisadi angalia mzee msuya,mzee wariyoba walitumikia taifa kwa moyo mmoja.
Umoja wetu, mshikamano ulikuwa madhubuti pamoja na utendaji wa mawaziri wao wote asilimia kubwa hawakuwa mabinafsi.
Akaingia fisadi MKAPA huyu ni kiongozi aliyekuwa mbabe kwa kujifanya anakusanya kodi na kuwa na salio serikalini, lakini lengo kubwa ilikuwa ni kuzichota zoote kwa kisingizio nilizikusanya mimi, msomi huyu kauza majengo yote ya watumishi wa serikali,walipeana kusudi wasimuhoji akitoka madarakani na mpaka leo hajaulizwa. WAZIRI mkuu wake alijilimbikizia ardhi utafikiri anamiliki mifugo yote nchini,huyu nae angekuwa muadilifu angezuia kabisa kuuza nyumba alizoacha mjerumani kwa ajiri ya serikari,MKAPA na genge lake la wahuni waliuziana rasilimali zote waliokuwa madarakani akawafungua macho mapapa wana mtandao. Hapa serikali yake haikuwa na uadilifu hata kidogo ilikuwa ya majizi yote.
SMILLING BOY alipoingia huyu akaahidi kwa macho na masikio yangu tutazirudisha nyumba za serikari mpaka kesho, tutarekebisha mikataba mibovu ya madini.matokeo yake vinazidi kujengwa viwanja vya ndege kwenye machimbo yote hakuna uhakiki wa hili.
Watanzania wote wamechoka na serikari yao na hata watumishi wite hawaitaki serikali isiyokuwa na kiongozi(eti kuna kiongozi tanzania?)tunashuhudia majengo ya kifahari kama ya spika ili apitishe agenda zao bungeni bila kujali wapiga kura.Kuna wakati makaburu waliapa kuwa mweusi hataongoza nchi ile mpaka wazungu wote wameisha 1985 MANDELA akawa raisi, walimfunga na kuuwa wengine kusudi kuuwa umoja wa weusi.
USA mweusi akawa rais kuna wabaguzi waliombeza Martin Luther King kuwa ana wazimu lakini Obama leo rais.
WOGA waliokuwa nao ccm ni kuhojiwa kwa ufedhuri ufisadi unyama walio nao kwa raia wao. Sheria wanazoziweka kukandamiza upinzani zitawasurubu wao wenyewe.NYERERE alisema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.siku hadi tunashuhudia bendera na wabunge waupinzani ukiongezeka kwa kasi na vijana ambao kwa ccm ni taifa la kesho kwa vyama nya upinzani ni ngao ya leo hakuna tena umoja wa vijana kuna vibaraka wa mafisadi.
Tutakachoshuhudia 2015 ni anguko ambalo hawatategemea sababu wajinga na mbumbu waliokuwa wakiwapa kanga,kofia pilau wamechoka, wanalala gizani wakati wabunge wao wana majereta,wanafia muhimbili wakati wake zao wanaenda ulaya kufanyiwa massage. Enough is Enough. Wakati wa kuendesha mashangingi wakati taifa ni maskini safari za rais kama John walker semina warsha kongamano na upuuzi vifikie mwisho.
GADAF aliondoka,mubarak aliondoka viongozi waliokuwa na mabafu ya dhahabu. Zambia, Senegal, wameweza bila kumwaga damu,Ivory Coast waliamua,KENYA wamebadili katiba. Sasa Tanzania tunataka kiongozi kama akina NYERERE, SALEEM, MWINYI, WARIOBA, KAWAWA, MSUYA NA SOKOINE NA SI MKAPA, SUMAYE, KIKWETE NA PINDA.
Tunataka wazalendo na si wanafiki na mafisadi.
INSHALAH