emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,237
Habari wakuu, hivi ni kweli sisi kwenye hii age ya miaka 25 mpaka 35 wanakua na mawazo sana na pressure.
Naoana na mm kuna frustration na depressions kibao zinaingia kwa kichwa.
Kwa wale mliovuka salama, tupeane uzoefu, pressure ya pesa ndio kubwa sana.
Karibuni kwa maoni wadau.
Naoana na mm kuna frustration na depressions kibao zinaingia kwa kichwa.
Kwa wale mliovuka salama, tupeane uzoefu, pressure ya pesa ndio kubwa sana.
Karibuni kwa maoni wadau.