Ni kweli wembamba ni bora zaidi katika mahaba?

Ni kweli wembamba ni bora zaidi katika mahaba?

Wazaramo mm wameshaniroga Cjui nawakubali wale wenye chura kidgo

Kingne kinachonifurahi kutoka kunye hili kabila
Hawazingui kbsa kwenye suala la kutoa mchezo

Ukishtua game chapu kwa haraka una osha rungu fresh

Hitimisho
Wembamba mhimu ila chura iwepo nayo sio mwanamke anakuwa na makalio badala ya matako
watu wa pwani ni wazuri kitandani, tatizo ni wachafu sana, na zimetumika sana kila utakayekutana naye, hata kwa sura zinaonyesha kabisa kwasababu wanaanza mapema sana tangu wakitoka tu unyago. pia kitendo chao cha kutoa nyuma huwa kinanifanya niwaone sio wanawake material kwa chochote, ukiongeza uvivu na kutopeleka watoto shule. mapenzi ni mjumuisho wa vitu vingi sana.
 
watu wa pwani ni wazuri kitandani, tatizo ni wachafu sana, na zimetumika sana kila utakayekutana naye, hata kwa sura zinaonyesha kabisa kwasababu wanaanza mapema sana tangu wakitoka tu unyago. pia kitendo chao cha kutoa nyuma huwa kinanifanya niwaone sio wanawake material kwa chochote, ukiongeza uvivu na kutopeleka watoto shule. mapenzi ni mjumuisho wa vitu vingi sana.
Mkuu hapa inategemeana kwa mimi niliokutana nao mbona wapo poa
 
inategemeana. wakati mwingine hata kuona ile minyamanyama ya mbele au ya nyuma huwa inaongeza munkari, sio kuona tu viashiria vya mifupa na vikalio kama vya mwanaume mwenzio? hapana. sikosoi uumbaji ila kuna wengine wembamba wanajitakia tu hawajazaliwa nao.

however, kwa experience, mwanamke mwembamba mashine yake inakuwa reachable zaidi hivyo kama ni kupenetrate unapenetrate upendavyo hadi uone kitu kinagusa nyuma ya kizazi, jambo ambalo kwa wanaume wengi wa kibongo hatuwawezi wanawake wanene kwasababu kalio tu limeshazuia distance fulani, minyamanyama ya mbele hadi upekenyue ukaikute tayari distance imeshapungua wakati mwembamba unamwona tu na shimo hili hapa. one the other side, wanawake wanene wanakuwa na maji mengi hivyo inawezekana wanafurahia zaidi tendo hasa kwa wale wanaowanaopenda katerero.
Maji ni matamu ila yawe kwa kiasi na njia iwe ibana aiseee hatari mtu anapiga mpk anafumba macho, km muwa uliwavyo vile unafumba macho huku unauvuta mchuzi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wa pwani ni wazuri kitandani, tatizo ni wachafu sana, na zimetumika sana kila utakayekutana naye, hata kwa sura zinaonyesha kabisa kwasababu wanaanza mapema sana tangu wakitoka tu unyago. pia kitendo chao cha kutoa nyuma huwa kinanifanya niwaone sio wanawake material kwa chochote, ukiongeza uvivu na kutopeleka watoto shule. mapenzi ni mjumuisho wa vitu vingi sana.
Ndyo sikatai uvivu na uchafu na umalaya pia
Lakn kutozingua kwao ndiko kunakonifanya niwakubari
Sio wachaga hawajui chochote
Kwenye tasnia ya mapenzi

Shortly kabsa mkuu binafsi mm huwa sipenzi mapenzi ya uongo baby baby za kijinga kama watoto Wa secondary sipendi

Ndyo maana nawakubali hao kazi kazi
 
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusiana na kama ni kweli kwamba watu ambao ni wembamba ni bora zaidi ya watu wanene. Nimelazimika kufanya utafiti kwa kushirikiana na wataalamu mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania ili kujua ukweli kwenye hilo.

Jibu nililopata ni kwamba kwa asilimia kubwa kuna ukweli; kwamba walio na wembamba wana uwezo wa kukimbia masafa marefu zaidi ya wale ambao ni wanene. Japo wanaweza kujitetea, siyo wanene wengi wenye uwezo wa kukimbia masafa marefu.

Suala la mahaba linahitaji kutumia akili zaidi ya kufikiri kwamba utamridhisha mwenzi wako kwa sababu wewe ni mwembamba au mnene.

Ni wanawake wa aina gani wanavutia zaidi katika suala la mahaba? Utafiti unaonyesha kuwa walio wembamba wana raha yake kwa sababu furaha ya wanaume wengi ni kudumu katika mahaba kwa muda mrefu, kwa hiyo walio wembamba wengi huwa hawachoki kwa haraka; miili yao haina mafuta mengi ya kuwachosha.

Walio wembamba wanaweza kukuruka huku na kule, wakati kwa wanene, kuna baadhi ya mambo hawawezi kwa sababu ya namna walivyo. Japo wapo wanene, na wana uwezo wa kwenda huku na kule, siyo wengi, kama walivyo watu wembamba.

Ni vigumu kuandika kwa kina, lakini kuna baadhi ya miondoko, watu wanene hawawezi. Kauli kama nimechoka huwa ni nyingi ukilinganisha na walivyo watu wembamba.

Hata hivyo ninapozungumzia watu wanene nazungumzia wale ambao hata kutembea kwao ni shida, kwamba wana unene wa kupitiliza. Kitaalamu huwa inashauriwa kuwa na ‘nyama’….godoro linalobonyaa-bonyaa huwa ni zuri kuliko lile ambalo gumu sana…si ndiyo jamani?

Mwanamke kwa mwanaume, unapaswa usiwe mkavu sana, maana kama ukiwa mkavu sana inasababisha maumivu, maana unaguswa na mifupa hadi inatia maumivu badala ya raha. Ninachotaka kusema ni kwamba wanandoa wanapaswa kuhakikisha wanakula, wanaondoa msongo wa mawazo nk ili wawe na miili inayonawiri….kuwa na mwenzi ambaye mwili umebaki mifupa…Mhh mnakuwa mnasababishia maumivu jamani…!

Ndiyo ukweli wenyewe

Wanawake wengi wembamba ni watalamu wa mapenzi kuzidi wanawake wanene, hii inatokana na tafiti mbalimbali zilizofanya na watalamu wa masuala ya mapenzi kama wakina Leticia Jackson wa Marekani, Prof. Benjamin James wa Ufaransa, Dk. Edward Hulow wa Uingereza.

Wataalamu hawa katika tafiti zao walizofanya katika nchi mbalimbali zinaonyesha kuwa asilimia 85 ya wanawake wembamba wanajua miundo mingi wakati wa chakula cha usiku. Hawa walio wengi, kabla ya kukutana nao inabidi ule ugali na nyama kavu…ukila chips kavu unaweza kujikuta unaanza kudanganya aaah unajua kazini kuna kitu nimesahau….aaah nahisi kiuno kinauma nk.

Utafiti unaonyesha asilimia 15 ya wanawake wanene ndio wanaojua kushiriki vizuri katika mahaba. Sababu inayofanya wanawake wembamba kuwa wataalamu sana ni kutoka na wepesi walionao.

Ni kutokana na wepesi wao, wanaweza kujikunja na kukaa namna yoyote.Japo siyo kila mwanamke anaweza kufanya hivyo katika mapenzi wengine hawataki hata kutoa ushikiano katika mapenzi. Kuna wengine ni wembamba lakini mizigo, kila unachomwambia anakwambia siwezi.

Kama mpenzi wako anafanya hivyo na huipendi hiyo tabia ni bora umwambie au umfundishe, kwa sababu siyo kila mtu anajua kila kitu japo kuwa kila mwanaume ana uchaguzi wake ila uchaguzi wako isiwe sababu ya kuwanyanyapaa wanawake ambao siyo chaguo lako.
Mie kwangu sungura tope mtamu sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
awe wa wastani si mwembamba si mnene
si mrefu si mfupi.
si mweupe si mweusi!
lakini akiwa mwembamba sana nae ukiingiza dudu linaweza kuchomwa mfupa!
manene nayo ndo shida tu kupakana majasho na kuwa na maji mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah aisee mi uwa nagonga tu ili mradi nikute kati pale panaingilika mambo ya kuchagua siyawezi
 
Haya sawaaa...Japo mapenzi yanashamirisha na hisia zaidi... wapo wa wembamba, bongezz, fupizz, ndefuzzz, weupezz, weusizzz nk...hivyo ni kuheshimiana tu ktk hii idara....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom