Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Wadau salaam,
Hiki kitu kimekuwa nikikisikia kwa marafiki zangu wakisema kuwa wao wanapenda tu maandalizi ya awali na sio tendo lenyewe.
Wanasema kuwa wanaweza kufika hata kileleni kwa kufanya hayo maandalizi pekee.Na wala hata wakifanya lile tendo wanafanya tu ili ma beb zao wafurahi.
Je, ni kweli?
Hiki kitu kimekuwa nikikisikia kwa marafiki zangu wakisema kuwa wao wanapenda tu maandalizi ya awali na sio tendo lenyewe.
Wanasema kuwa wanaweza kufika hata kileleni kwa kufanya hayo maandalizi pekee.Na wala hata wakifanya lile tendo wanafanya tu ili ma beb zao wafurahi.
Je, ni kweli?