mzibua chemba
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 476
- 412
Huwa nashindwa kuamini kama hili jambo ni kweli au la maana mara nyingi wanaume hubishana kuwa wanawake wa uswazi ni watundu sana katika sekta ya malavidavi toka ku care, mapishi, hata kitandanI huwa wanajituma sana.
Pia husema ni watundu sana ila eti wa kishua huwa huwezi enjoy maana huwa wanapenda mapenzi kuyahamishia mdomoni zaidi pia huwezi fanya rafu gemu, kimoja tuu anatoka hoi.
Je hii ni kweli au sound kati ya wanawake wa kiswazi na wa kishua? Hebu tupate maoni hapa
Pia husema ni watundu sana ila eti wa kishua huwa huwezi enjoy maana huwa wanapenda mapenzi kuyahamishia mdomoni zaidi pia huwezi fanya rafu gemu, kimoja tuu anatoka hoi.
Je hii ni kweli au sound kati ya wanawake wa kiswazi na wa kishua? Hebu tupate maoni hapa