Ni kweli Wachina wamezuia mvua isinyeshe Dar?

Ni kweli Wachina wamezuia mvua isinyeshe Dar?

Jee ni kweli wachina wamezuia mvua isinyeshe Dar kwasababu ya ujenzi unaoendelea?

Haya maneno yanasemwa sana mitaani kuna ukweli hapo?
ni kweli wakaguliwe hawa! maana wanarusha ma chemical usku bila hivyo miradi yao itajaa maji kama pale jangwani

wadhibitiwe hawa
 
Jee ni kweli wachina wamezuia mvua isinyeshe Dar kwasababu ya ujenzi unaoendelea?

Haya maneno yanasemwa sana mitaani kuna ukweli hapo?
Haiwezi kuwa kweli japo nimeshangaa sana , nimeingia Dar tokea mwezi wa kumi mwishoni mpaka sasa sijaona mvua ya kutisha na kubwa hata siku Moja jambo ambalo ni ajabu sana
 
Mvua si inatoka kwa Mungu jamani au siku hizi tunataka kubishana na vitabu?
Ndio inatokana na Mungu , na sidhani kama Kuna teknolojia ya kuzuia.

Ila hoja yako umeweka kwenye mjengo dhaifu maana hata kifo na riziki zinatokana na Mungu ila binadamu anaweza kuwa kisababishi na kufanya asbabu mbalimbali kupelekea jambo hilo
 
Ni kweli kabisa.

January nzima mvua haijawahi nyesha hata kidogo.

Na February inaelekea kuisha bila mvua hata tone.

Science ya kuzuia mvua ipo sana tu.
Mkuu hii sayansi ya kuzuia mvua , tukipata tishio la el nino tunatoboa?
 
Ndio inatokana na Mungu , na sidhani kama Kuna teknolojia ya kuzuia.

Ila hoja yako umeweka kwenye mjengo dhaifu maana hata kifo na riziki zinatokana na Mungu ila binadamu anaweza kuwa kisababishi na kufanya asbabu mbalimbali kupelekea jambo hilo
Kwasababu hauna uhakika na hizo teknolojia ni ngumu sana kupinga madai ya mtoa mada.

Kisababishi gani ambacho wewe unaweza kukitaja ambacho hakina influence na Mungu?
 
Kuzuia mvua kisayans n kupiga fatak na kemikal angan nje ya hapo waroge
 
Ndio inatokana na Mungu , na sidhani kama Kuna teknolojia ya kuzuia.

Ila hoja yako umeweka kwenye mjengo dhaifu maana hata kifo na riziki zinatokana na Mungu ila binadamu anaweza kuwa kisababishi na kufanya asbabu mbalimbali kupelekea jambo hilo
Mvua inatoka kwa Mungu?, wanasayansi wangekuwa na imani mbovu kama hizi sidhan hata hizo simu zenu mngekuwa nazo.

Mvua inaweza kuzuilika technolojia zipo, pia mvua inaweza kutengenezwa technology zipo, mvua haitoki kwa Mungu nyie wapumbavu, shule mlienda kujifunza Qur'an na Biblia pekee??
 
Back
Top Bottom