Ni kweli vibali vya uhamisho vimetoka kimyakimya?

Ni kweli vibali vya uhamisho vimetoka kimyakimya?

optico

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
267
Reaction score
309
Nimesikia tetesi kuwa vibali vimetoka lakini mkeka haujawekwa hadharani, sasa tamisemi hawaoni hii itatengeneza mwanya wa mabosi wa Halmashauri kuficha barua na kuwanyima watu haki zao?

Ingependeza kama mkeka ungewekwa hadharani ili wahusika wakapambane na maboss waachie.
 
Back
Top Bottom