Ni kweli pesa hainunui kila kitu!

Ni kweli pesa hainunui kila kitu!

Siku hizi watu wataacha kukaribisha wageni

Kuepuka kuchunguzwa

Usiache kukaribisha watu kwako eti kwa kuwa umesoma hii thread jamii forum, hapa tunazungumzia vitu vya msingi, toa mawazo yako juu ya mada.

Haipingiki, wote karibia tunawaza hivyo, tupate pesa Mambo yawe safi, sasa ajabu kuna wenye pesa na mali nyingi lakini huzuni ni upande wao wakati wote!

Hatukatai kuwa maskini pia wapo wenye huzuni, lakini hawa binafsi nilifikiri ni kwa umaskini wao ndio sababu, lakini kwa wenye uwezo na fedha inatoka wapi huzuni na kisirani!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom