Mtoto NAFHATkuna stori za ukweli na za uongo,unawezaje kujua kama nimedanganya.naomba unishauri tafadhali.
kuna stori za ukweli na za uongo,unawezaje kujua kama nimedanganya.naomba unishauri tafadhali.
Kumbe ndio wewe unaetaka kuharibu ndoa yangu..?unapajua zenj...?unamjua adui chongo...?
Ingiza hicho kidude chako kwa mke wangu mpendwa kam utarudi kwenu bara....!
100% non sense!
We jamaa mi naona degree yako haijakusaidia katika swala la dignity. Huwezi kumtaja mtu jina lake kamili, pia na pic yake kuweka kwenye social network kama jf. What if mumewe au ndugu au rafiki wa mumewe apitie hii post yako na kuona uliyoyaanika hapa? Wadhani utakuwa salama?
Kiufupi una hatarisha ndoa ya huyo bidada na maisha yako pia. Nakushauri kama ikiwezekana uifute hii post vinginevyo haya. We fikiria kuwa wanaoingia hapa ndani ni wamakonde na wazaramo tu.
Bara?? atabaki kuiona paa tu, tena mungano ukivunjika unafunga nae ndoa kabisa unamweka na yeye ndani, maana mtoto wa kiume anapenda mteremko
acha upuuzi wako wewe, unaandika ujinga halafu unataka kila mtu akubaliane na wewe, ukiwa hapa ndani kubali mawazo tofauti mshenzi mkubwa wewesawa,basi naomba ukae kimya,uwapishe great thinkers,maana wewe ni kilaza.kwako ni facebook.
kuna stori za ukweli na za uongo,unawezaje kujua kama nimedanganya.naomba unishauri tafadhali.
jee huo nao ni ushauri?.