The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Ni vizuri kukawepo na ukweli zinapoandikwa historia za Viongozi wetu na historia ya nchi yetu Kwa ujumla..
Nimesikia mara kadhaa watu wakisema Rais Magufuli kajenga daraja la Kigambon na nabaki na maswali mengi..
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
Nimemsikia mara kadhaa Rais mstaafu Kikwete akisema aliunda TRA alipokuwa waziri wa fedha wakati Rais ni Mwinyi..
Na alisema alienda Uganda nafikiri kupata uzoefu wao WA URA..na wapo waliokuwa wanamshauri vinginenevyo..
Ifahamike wakati Rais Mwinyi anamteua Kikwete kuwa waziri wa Fedha hata uchaguzi wa ndani wa CCM wa mgombea ulikuwa bado na hakuna aliekuwa anajua kama Mkapa au anyone atakuja kuwa Rais wa Tanzania miezi michache baadae...
Binafsi nafikiri kuna 'watu wanaostahili' credit za kuunda TRA lakini hawatajwi..
Hata Kikwete probably alikuta 'process' IPO tayari akafanya kuiongeza nguvu..
Na Mkapa alipokuwa Rais miezi michache later 'ikawa rasmi'...
Kusema Mkapa aliunda TRA sio sawa..
Na hata Kusema Kikwete aliunda TRA pia sio Sahihi..labda tuseme Mwinyi? Au
'wataaalam wetu wa wizara ya Fedha'
Ambao hawatajwi na kuacha wanasiasa kubeba credits ambazo sio zao?..
Ni Sawa na kusema Mkapa alianzisha DSE
Au UTT wakati nimewahi msikia Mtaalam mbobezi na first CEO wa DSE na first CEO wa UTT akisema alikuwa anaenda waeleza
Viongozi kuhusu UTT hawaelewi kitu..wanamshangaa..hata DSE walikuwa wanasema nchi bado haipo tayari...
Sijui Yuko wapi Hamis Kibola Leo hii na kama kuna mtu hata anamtaja kama
'The brain behind DSE na UTT....
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?
Nimesikia mara kadhaa watu wakisema Rais Magufuli kajenga daraja la Kigambon na nabaki na maswali mengi..
Sasa hili la Mkapa kuunda TRA pia linanitatiza sana ..kivipi?
Nimemsikia mara kadhaa Rais mstaafu Kikwete akisema aliunda TRA alipokuwa waziri wa fedha wakati Rais ni Mwinyi..
Na alisema alienda Uganda nafikiri kupata uzoefu wao WA URA..na wapo waliokuwa wanamshauri vinginenevyo..
Ifahamike wakati Rais Mwinyi anamteua Kikwete kuwa waziri wa Fedha hata uchaguzi wa ndani wa CCM wa mgombea ulikuwa bado na hakuna aliekuwa anajua kama Mkapa au anyone atakuja kuwa Rais wa Tanzania miezi michache baadae...
Binafsi nafikiri kuna 'watu wanaostahili' credit za kuunda TRA lakini hawatajwi..
Hata Kikwete probably alikuta 'process' IPO tayari akafanya kuiongeza nguvu..
Na Mkapa alipokuwa Rais miezi michache later 'ikawa rasmi'...
Kusema Mkapa aliunda TRA sio sawa..
Na hata Kusema Kikwete aliunda TRA pia sio Sahihi..labda tuseme Mwinyi? Au
'wataaalam wetu wa wizara ya Fedha'
Ambao hawatajwi na kuacha wanasiasa kubeba credits ambazo sio zao?..
Ni Sawa na kusema Mkapa alianzisha DSE
Au UTT wakati nimewahi msikia Mtaalam mbobezi na first CEO wa DSE na first CEO wa UTT akisema alikuwa anaenda waeleza
Viongozi kuhusu UTT hawaelewi kitu..wanamshangaa..hata DSE walikuwa wanasema nchi bado haipo tayari...
Sijui Yuko wapi Hamis Kibola Leo hii na kama kuna mtu hata anamtaja kama
'The brain behind DSE na UTT....
Swali linabaki pale pale je Mkapa ndo aliunda TRA?