Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
Malipo ni hapajapa dunian
Kumbuka kifo si adhabu, ni ahadi ambayo kila mtu lazima aitimize...
Jiulize ndugu zako wote waliofariki ilikuwa malipo? na watoto wachanga wanaofariki?
Tupunguze ushabiki tusije kukufuru kazi ya Mola...