Ni kweli mbunge wa Geita kapata kashfa?

Mulangila Mukuru

JF-Expert Member
Feb 24, 2010
1,945
724
Wadau kwa siku mbili zilizopitz nilikuwa katika mji wa Geita Mwanza habari zilizoenea ni kwamba mbunge wao Reonard Max amezuiwa kuhudhuria vikao vya bunge kutokana na kashfa ya kufumaniwa na mke wa mtu je kuna ukweli katika hili au ndo si hasa?
 
fatilia nahisi sio kweli maana jamaa ni mlokole wa ukweli hajawahi kunywa hata tone la pombe tangu az
aliwe
 
Walokole ndiyo wanaongoza kwa mambo ya uzinzi, ushirikina, umbeya, masengenyo na kupenda utajirisho wa haraka haraka. Ulokole ni kama kichaka cha kujificha wanapofaya uovu wao
 
nadhani mnahama kwenye mada! Ulokole na ubunge na uzinzi kuna connection gani? Kama kazini ahukumiwe kama mtumwinginesio kama mlokole au mbunge! I mean mjadala hapauwe ni kweli ama si kweli kuwa amefumaniwa na mke wamtu
 
Shetani huwa anawaibia mpaka makaratasi ya kupeleka tume ya maadili, labda hata huyu bwana shetani alimletea mzigo wa mtu akiwa amelala.
 
fatilia nahisi sio kweli maana jamaa ni mlokole wa ukweli hajawahi kunywa hata tone la pombe tangu azaliwe
Hata mimi namjua ni mlokole wa kanisa linaloitwa bar,divai anayotumia ni aina ya whisk na mkate wake siku zote akiwa kanisani ni totoz,CCM OYEEEEH.
 
Shetani huwa anawaibia mpaka makaratasi ya kupeleka tume ya maadili, labda hata huyu bwana shetani alimletea mzigo wa mtu akiwa amelala.

Sijui kwanini viongozi wetu hawakumbuki kuwa hii ni miaka ya media, wao wako kama vitambaa vyeupe kwa sasa, lakini sababu ni watu waliozoea mambo mambo basi inakua karaha tupu!
 
Kuzini si crominal na haiwezi kumzuia MP kuhudhuria vikao vya bunge. Mtoa hoja bado hajaingia jando la great thinkers hivyo anataka watu wajadili kisichofaa kujadiliwa.
 
Naamini mhe. anatusoma,mm naomba ajitetee mwenyewe kukaa kimya kunaashiria amekubaliana na kashfa hiyo
 
fatilia nahisi sio kweli maana jamaa ni mlokole wa ukweli hajawahi kunywa hata tone la pombe tangu az
aliwe
Wewe unamfahamu Max kweli? Wilaya ya Geita hakuna mnywaji mashuhuri kama huyo Mbunge!! Hilo la ugoni sijui lakini la unywaji nakuomba usidanganye hapa jamvini tafadhali.
 
Wadau m npo geita now,huyu jamaa n mlevi sana,na kuwadhalilisha wanawake kwake ilikuwa n kitendo cha kawaida bar hasa ambassador club sehemu ambapo alikuwa anapenda sana kunywa kabla hajawa mbunge,alitumia kibuli chake hicho kuwachoma vidole wanawake mbele za watu kisa tu kajenga public toilet mjini,na kufanya marekebisho Geita sec.kuhusu hili swala la kufumaniwa tetesi hizi zipo hapa mjini sana but cjaprove sana,i promise 2 give u reality tomorow,lkn kitu kingne n kwamba inaweza kuwa kweli coz jamaa daily namuona hapa mjini wakati wenzie wanajadil bajeti.
 
Stori ina mashaka! Hakuna kanuni inayomzuia mbunge kuhudhuria vikao vya Bunge kwa kosa la kufumania.
 
Kutembea na mke wa mtu si jambo jema na ikithibitika mahakama inakuhukumu
Kuzini si crominal na haiwezi kumzuia MP kuhudhuria vikao vya bunge. Mtoa hoja bado hajaingia jando la great thinkers hivyo anataka watu wajadili kisichofaa kujadiliwa.
 
Who is Mary Mwanjelwa?I remember one female singer by the name Tabia Mwanjelwa! I do not know where she disappeared after the song that I used to like alot in earlier 80's

She disappeared in Germany. Mary is an MP who was recently caught stealing hotel material in arusha. Her case appears to have been hushed
 
Back
Top Bottom