Ni kweli mapenzi yana nguvu

Ni kweli mapenzi yana nguvu

Hellow members
Nmekua nikiwaza sana ni kweli Mapenzi au kupenda ni hisia ambazo hazichoshi ila kwa nini zinaniumiza??kila muda namuwaza yeye tu hata nashindwa kufanya mambo mengine nikipiga cm akichelewa kupokea naingiwa na wasi wasi labda anachepuka jaman mapenzi yananienyesha mm chlorine gas kuna wakati nafikiria, hv kwa maumivu haya ni bora niwe single tu lakini roho haitaki Mana mwili umechoka kukung'uta punyeto ,jaman naomba kuuliza kuna nguvu gani kwenye mapenzi yaaan nashindwa nifanyeje ukizingatia kidume mm nina wivu balaa.


Usijitese kihivyo.....dozi ya mapenzi ni chloroquine vidonge 30 ukichanganya na Quinine 20, kunywa na beer kisha ulale...ukihamka utajisikia swari tu.
 
...it is very easy,meditation ni dawawa moja nzur sana,inasaidia kujicontrol kihisia .
Kwa maelezo mazur kuhsu hyo ktu muone mshana Jr
Aseee itabdi nitafute nyuzi za hii kitu nianze kufanya mdogo mdogo
 
inaonekana haujawa mzoefu kwenye hayo mambo, ni kawaida hiyo.
na ipo siku utaumia, siki utafurahi sana, hivyo jiandae kwa vyote, mwisho wa siku utajua namna ya kubalance mambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom