chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,540
- 2,683
- Thread starter
- #21
Kwa nn bro?Bado una utoto mwingi.
Kwa nn bro?Bado una utoto mwingi.
Nenda kwenye mto wa mamba wengi ujitupe humo na hapo utaimaliza Shida kabisa.
bora niende mbudya na mtumbwiKwa nn bro?
Nmpiga chin huyu natafuta kidigidigi kingine cha kutafuna huyu ananitesa tyuuUmependa usipopendwa, feelings zingekuwa mutual ungeinjoy balaa. Hakuna kitu kitamu hapa duniani kama kukutana mnaotoshana.

Sawa nmekuelewa mkuuUkiwa mkubwa.ni kosa kulizwa na mapenzi.maana unao uwezo wa kutafuta mwanamke mwingine.na maisha yakasonga.acha kuwa na mwanamke mmoja.sio asili ya mwanaume.
Nmpiga chin huyu natafuta kidigidigi kingine cha kutafuna huyu ananitesa tyuu![]()
Unatakiwa upitie magumu ili ijifunze,baada ya hapo utakua ni mtu mpya mwenye furaha tele,kila kitu huja na hupita sema jambo likishapita yale makovu ndiyo training progress zenyewe.......nina experience ya kutosha katika mapenzi huwa na adapt mazingiraHellow members
Nmekua nikiwaza sana ni kweli Mapenzi au kupenda ni hisia ambazo hazichoshi ila kwa nini zinaniumiza??kila muda namuwaza yeye tu hata nashindwa kufanya mambo mengine nikipiga cm akichelewa kupokea naingiwa na wasi wasi labda anachepuka![]()
jaman mapenzi yananienyesha mm chlorine gas kuna wakati nafikiria, hv kwa maumivu haya ni bora niwe single tu lakini roho haitaki Mana mwili umechoka kukung'uta punyeto ,jaman naomba kuuliza kuna nguvu gani kwenye mapenzi yaaan nashindwa nifanyeje ukizingatia kidume mm nina wivu balaa.
Kwa nn mkuu?WE UTAKUWA NI MWANAUME SPECIE INAYOPATIKANA DAR
Asante mkuuBe a man and walk away sometime put your own interest first so
Pain is inevitable but suffering is optional