GE2025 Ni kweli maiti zimebebwa na canter. Pia nyingine zimepelekwa Twiga

GE2025 Ni kweli maiti zimebebwa na canter. Pia nyingine zimepelekwa Twiga

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Lusungo wewe ni mkongwe, pamoja na mapenzi yako kwa chama na serikali kwenye hizi nyuzi ungekausha tu mzee baba...

Trauma ambayo watu wamepitia haswa watoto wadogo kwa siku 4 mfululizo sio ya kuibeza na kuleta ushabiki wa kisiasa...

Risasi zimepigwa mitaani huku ndani ya majumba kukiwa na watoto wadogo waliokuwa traumatized na kuamini kifo kimewasogelea...

Kuna mitaa haswa ile iliyokuwa kitovu cha waandamanaji, milio ya risasi ilikuwa ikisikika hadi usiku wa manane, kwa akili za kawaida hakukuwa na waandamanaji mida hiyo, je hizo risasi zilikuwa zinaelekezwa kwa nani?

Watu wamepoteza maisha mzee, acha kabisa...
swali hili nilikuwa najiuliza Unasikia DIRISHANI risasi zinapigwa NJE ukicheck ni saa 6 usiku unajiuliza nani anaandamana saa 6 usiku
nikawa nawaza mbna kma ASKARIndio wanaleta TAHARUKI zaidi
ooh leo ndio nimejua zile RISASI watu ndio walikuwa wanauliwa huko NJE dah !!!
 
Walisomba maiti kwa malori, wamezipeleka kule Wazi...Twiga Cement kwenda kuziteketeza kwenye yale matanuri ya kuchomea , aliyewaana kuyayushia mawe.
Mkifuatilia pale Twiga lazima mtaambiwa kuwa siku mbili tatu hizi watu hawakutakiwa kwenda kufanya kazi lakin mitambo iliwashwa

Naongea ninachojua


Britanicca
watu walimbiwa wasiandamamne wakashupaza shingo , aliyewashawishi anawacheka vijana yeye keshavuta chake kitamuuuuu na wanae wazima nakesho wanaenda shule
 
Kwa majonzi niliyo nayo kama Kuna anaweza nisogezea huduma ya KIFO kwa koment zangu namkaribisha.

Nilicho shuhudia ni crime against humanity..

Watu wapo barabara wanaenda majumbani mwao askari Wana wafyatulia risasi za moto usawa wa tumbo na KICHWANI.

Alafu watu wanataka kunyamazisha / damu za watanganyika wasio na hatia
Acha na huyo ambaye alikuwa barabarani, hao washenzi wanaweza kujitetea kuwa alikuwa anaandamana...

...mimi nimeshuudia mtu yuko kibarazani kwake apigwa shaba, yaan acha kabisa.

Hawa walitumwa kuja kuua watu wasiokuwa na hatia, sio kuzuia maandamano.
 
..kwani wananchi wakiandamana ni lazima kuwauwa?

..kwanini Mama Abduli hakutekeleza 4R ili kuepusha maandamano wakati wa uchaguzi?
uliona ule mtiti wa kuchoma choma vitu na kuharibu majengo ungekuwa wewe ungeakuwa wewe ungefanyaje?
..kwani wananchi wakiandamana ni lazima kuwauwa?

..kwanini Mama Abduli hakutekeleza 4R ili kuepusha maandamano wakati wa uchaguzi?
risasi kwanza ili watu waheshimu utawala
 
Acha na huyo ambaye alikuwa barabarani, hao washenzi wanaweza kujitetea kuwa alikuwa anaandamana...

...mimi nimeshuudia mtu yuko kibarazani kwake apigwa shaba, yaan acha kabisa.

Hawa walitumwa kuja kuua watu wasiokuwa na hatia, sio kuzuia maandamano.
Very true Mimi pia na jamaa tumerushiwa risasi tukiwa kwenye premises the same...

Up to now sina Imani na jeshi la polisiii huwezi turushia risasi za moto usawa wa tumbo na KICHWANI tukiwa ARMLESS
 
Moyo wangu unaugua sana, nashindwa kupata usingizi sijui nifanye nini jamani
Hauko peke yako dada, tupo wengi sana tunaopitia kipindi kigumu.

Nguvu waliyotumia ni kubwa ambayo haijawahi kuonekana duniani kote kwa hii miaka ya karibuni.

Halafu mbaya zaidi kuna yule waziri wa mambo ya nje, anahojiwa na Al jazeera anakataa eti hakuna nguvu kubwa iliyotumika na idadi ya watu waliokufa haifiki hata 700..

...alinighafilisha sana kwakweli, kidogo nipasue TV yangu.
 
uliona ule mtiti wa kuchoma choma vitu na kuharibu majengo ungekuwa wewe ungeakuwa wewe ungefanyaje?

risasi kwanza ili watu waheshimu utawala
Hivi wewe una hata chembe ya ubinadamu wewe?

Kwamba hakukuwa na njia nyingine ya kudeal na hizo violences tofauti na kufyatua risasi?

Kwani kazi ya yale magari mapya ya maji yanayowasha ni ipi?

Mabom ya machozi yana kazi gani?

Risasi za bandia(rubber bullets) kazi yake ni nini?

Kwamba Tanzania ndio nchi ya kwanza kukumbwa na violent protesting kama ile ndio maana mkatumia silaha za moto mashetani wakubwa nyie?

Haya mbona bado hizo sheli zimechomwa licha ya kutumia risasi za moto?

Nyie wapumbav kwa akili zenu mmetuharibia taifa kwa kupandikiza mioyo ya visasi, na mwisho wenu utakuwa ni mbaya zaidi hiki mlichokifanya.
 
Very true Mimi pia na jamaa tumerushiwa risasi tukiwa kwenye premises the same...

Up to now sina Imani na jeshi la polisiii huwezi turushia risasi za moto usawa wa tumbo na KICHWANI tukiwa ARMLESS
Inahitaji ubinadamu ukutoke kabisa, kisha uvale roho fulani ya kishetani ndio unaweza kufanya matendo waliofanya hao mahayawani.

Hata akili lazima zikufyatuke kwanza.

Pale kinyerezi kuna dogo walikutana nae njiani alikuwa ametumwa kuemea mboga, walipiga risasi juu.. dogo kwa uoga akatupa boda boda na mizigo yake hapo kisha akakimbia, walichokifanya hao maaskari wakashuka kwenye gari yao...

...kisha wakivunja tenki la mafuta ya ile boda halafu wakaichoma, wakaiacha hapo inaungua.

Sasa hao ni watu ambao wako timamu kweli? Hao ni watu ambao walikuwa wanazuia maandamano kweli?

Hao si ni mashetani tu walioletwa na shetani mkuu wa kizanzibar kuja kuharibu maisha ya watu.
 
Lakini yote kwa yote watanganyika mlikua hamjawahi kukutana na dhahma kma hii tuulizeni ss wazbr ukaidi kma huu umesababisha maafa makubwa lakini mkaambiwa msiandamane hamkusikia mpka limewakuta kma hili natumai jamii ishajifunza sasa vurugu hazina macho alokuwemo na asokuwemo wote ndani ya ulingo.
 
uliona ule mtiti wa kuchoma choma vitu na kuharibu majengo ungekuwa wewe ungeakuwa wewe ungefanyaje?

risasi kwanza ili watu waheshimu utawala

..mabomu ya machozi yangeweza kuwatawanya waandamanaji.

..hivi Ccm wangekuwa wananyanyaswa kama wanavyofanyiwa wapinzani wangekaa kimya?

..Je, Mama angetekeleza 4R, uchaguzi usingemalizika bila vurugu?
 
swali hili nilikuwa najiuliza Unasikia DIRISHANI risasi zinapigwa NJE ukicheck ni saa 6 usiku unajiuliza nani anaandamana saa 6 usiku
nikawa nawaza mbna kma ASKARIndio wanaleta TAHARUKI zaidi
ooh leo ndio nimejua zile RISASI watu ndio walikuwa wanauliwa huko NJE dah !!!
Poleni sana jamani. Poleni sana hii dhahma si ndogo.

Tukiondoe hiki Chama Cha Mauaji.
 
Back
Top Bottom