GE2025 Ni kweli maiti zimebebwa na canter. Pia nyingine zimepelekwa Twiga

GE2025 Ni kweli maiti zimebebwa na canter. Pia nyingine zimepelekwa Twiga

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Walisomba maiti kwa malori, wamezipeleka kule Wazo...Twiga Cement kwenda kuziteketeza kwenye yale matanuri ya kuchomea na kuyayushia mawe.

Mkifuatilia pale Twiga lazima mtaambiwa kuwa siku mbili tatu hizi watu hawakutakiwa kwenda kufanya kazi lakin mitambo iliwashwa

Naongea ninachojua


Britanicca
 
Walisomba maiti kwa malori, wamezipeleka kule Wazi...Twiga Cement kwenda kuziteketeza kwenye yale matanuri ya kuchomea na kuyayushia mawe.
Mkifuatilia pale Twiga lazima mtaambiwa kuwa siku mbili tatu hizi watu hawakutakiwa kwenda kufanya kazi lakin mitambo iliwashwa

Naongea ninachojua


Britanicca
Hahahahahahahaha stori mnazibadilisha tyuuuuu
 
Leo ana furaha sana kuona watu wameuliwa.
Kwa majonzi niliyo nayo kama Kuna anaweza nisogezea huduma ya KIFO kwa koment zangu namkaribisha.

Nilicho shuhudia ni crime against humanity..

Watu wapo barabara wanaenda majumbani mwao askari Wana wafyatulia risasi za moto usawa wa tumbo na KICHWANI.

Alafu watu wanataka kunyamazisha / damu za watanganyika wasio na hatia
 
Kwa majonzi niliyo nayo kama Kuna anaweza nisogezea huduma ya KIFO kwa koment zangu namkaribisha.

Nilicho shuhudia ni crime against humanity..

Watu wapo barabara wanaenda majumbani mwao askari Wana wafyatulia risasi za moto usawa wa tumbo na KICHWANI.

Alafu watu wanataka kunyamazisha / damu za watanganyika wasio na hatia
Kuna boda kauliwa kitaani kwetu kama masikhara vile
 
Pyeeeeeeeeeeeeee Toto pumbavu

Lusungo wewe ni mkongwe, pamoja na mapenzi yako kwa chama na serikali kwenye hizi nyuzi ungekausha tu mzee baba...

Trauma ambayo watu wamepitia haswa watoto wadogo kwa siku 4 mfululizo sio ya kuibeza na kuleta ushabiki wa kisiasa...

Risasi zimepigwa mitaani huku ndani ya majumba kukiwa na watoto wadogo waliokuwa traumatized na kuamini kifo kimewasogelea...

Kuna mitaa haswa ile iliyokuwa kitovu cha waandamanaji, milio ya risasi ilikuwa ikisikika hadi usiku wa manane, kwa akili za kawaida hakukuwa na waandamanaji mida hiyo, je hizo risasi zilikuwa zinaelekezwa kwa nani?

Watu wamepoteza maisha mzee, acha kabisa...
 
Kuna boda kauliwa kitaani kwetu kama masikhara vile
Kuna bro yupo kwenye harakati zake za maisha karushiwa bomu la machozii kufariki.

Hizi sio hekaya au story za kutunga watu wamepoteza maisha...

Tangu nimevunjika mguu sikuwai Fanya testing ya kukimbia...ila for sure nipo nyumbani napo kaa kwa nje Kuna fremu za biashara hatuna hili Wala lile jamaa wanaturushia risasi za moto almanusra..
 
Back
Top Bottom