Agresive
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 889
- 1,227
- Thread starter
- #21
Hujuwi kuwa nia asilimia ndogo sana ya wanawake wanaobeba mimba kwa kukusudia iwe ndani ya ndoa au nje ya ndoa.Hivi kwann mnapenda kuhusisha kuoa na kufanya mapenzi as if hiyo ndio sababu namba moja kwetu sisi wanaume...?!
Acheni ujinga watoto wa kike......
Kuna vitu vya msingi sana hamna ndio maana tunaona mtakuwa mzigo katika safari ya maisha ......mapenzi hata mwanamke kichaa anaweza kufanya ila unaweza muweka ndani ukafanya nae mikakati ya maisha na kupanga nae malengo?!
Watu wanakutana kwa lengo la kuenjoy hlf paapu mimba. mke anajifungua miezi 5 mimba nyingine wote wanabakia wanashangaa mke na muwe kuwa imeingiaje.
kuoana lengo siyo sex tu ila bila sex hakuna ndoa pia, sex imeshikilia ndoa kwa asilimia 98..
Ndoa nyingi zinayumba kisa baba netwk inasumbua na muda huo wana watoto,maisha mazuri,
kama ndoa ingekuwa cyo mechi ndoa hizo zisingekuwa zinakufa kisa mechi zimekuwa adimu.
NB.hili jukwaa huru na kila wazo la mtu ni sahihi kwa mtazamo wake so huo pia ni mtazamo wako mkuu..