Ni kweli kitambi kinapunguza perfomance kitandani?

RECYCLER

Senior Member
Jan 14, 2012
104
10
Wazoefu hebu fungukeni kuhusu kitambi
na uwezo wakufanya mapenzi
How does it affect?
 
Wazoefu hebu fungukeni kuhusu kitambi
na uwezo wakufanya mapenzi
How does it affect?

Mara nyingi wenye vitambi wanakua wanene na wazito,na moja ya vitu vinavyochangia performance ni mazoezi,sasa ukiwa na ndambi ya kufa mtu lzm utashindwa kupiga mzigo effectvly.
 
hata kama huna kitambi hy ki2 ina utaalamu wake, kitambi cyo tatizo, kuna sehemu za kona, kuna freekick, kuna mpira wa kurusha, kuna penalt na kuna goli pia vyote hvy hata kama huna kitambi unaweza uc timize na kuonekana hufai kwenye game. Sawaaa
 
ila ndambi ikiwa kubwa inakuwa ngumu kukonekti hata bambi linakuwa slow mo sana......
 
Unene ni biological error, so inategemea muhusika anaathirikaje in relation to ku-do,
 
Kitambi hata kama muhusika anajituma lakini kinakera,kwenye chali ndio kabisaaaaaa mauthi bora style nyengine afadhali.
 
Kitambi ni kweli hupunguza hamu ya kufanya mapenzi kwasababu 1.wasiwasi. Mara nyingi mtu mwenye kitambi huwa na wasiwasi kutokana na umbile lake ,wasiwasi hupunguza circula tion ya damu kwende kwenye penis kwa ajili ya erection na pia huzui contraction ya muscles za testis kwa ajili ya ejaculation 2. Mtu mnene huwa hana nguvu kwa sababu ya uzito wake 3. Fat husabisha magonjwa kama presha (hypentension) ambayo huambata na kuzuia ejaculation
 
Wewe alikudanganya nani kitambi ninacho na mzigo unapigwa kama kawaida
Unajuaje kama unapiga kama kawaida? kwani umewahi kuona mwanaume mwenzaka anavyopiga? yaani ulijicompare na nani?
kama huna comparison unaweza ukadhani una perform vizuri kumbe unamchosha demu wako
 
ukiwa na kitambi unachagua style yakutumia lakini kama huna kitambi utatumia style yoyote sasa hapo ni sawa jamani?
 
hubby wangu anakitambi na ngoma inapigwa sawasawa, inategemea na mtu pamoja na style za kudo ila kiukweli kuna style zingine ngoma huwa inagoma kbs
 
Hii hoja ni lazima tuiweke bayana kama inahusu wanawake pekee au waume pekee au wote kwa pamoja:
1. Kwa wanawake wenye vitambi: hawa watakuwa wanahangaika sana kupata raha ya ile kitu. Atahitaji mwanaume mwenye kitu kirefu kidogo ili kiweze kupenya minyama yote hiyo.
2. Kwa mwanaume: Kitambi kinaleta athari za kisaikolojia na kumfanya aone kuwa uume wake ni mdogo na hivyo kumpunguzia kujiamini. Pia kuna raha kuona kwa macho jinsi kitu kinavyozama na kuibuka .......!!!! ahaha au vipi???????
 
Back
Top Bottom