Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Penye ukweli uongo hujitenga..........
Naomba mods musiifute hii post kwani hata serikali inaruhusu udini kujadiliwa ndiyo maana, al huuda,al nuur, habari leo au rai hawawezi kuchukuliwa hatua zozote kwa uchochezi wanaofanya.rai la leo wameandika "slaa hafai kuwa rais,anampango wa kuigawa nchi kwa udini na ukabila"
kikwete ndiyo kiongozi mdini ambaye hajawahi kutokea ktk historia ya tz na ni mtu hatari sana kwani yeye ni mdini kwa vitendo ila slaa ni mdini kwa maneno.......km ifuatavyo
1. Kikwete aliweka kwenye ilani ya ccm mahakama ya kadhi na kuinadi ......je,yupo tayari kuweka mahakama ya kikristo ktk ilani ya ccm na kuinadi?!
2. Kikwete kiongozi wa kitaifa aliyeapa kuilinda katiba anaacha wabunge wapoteze muda wa kujadili mambo muhimu kwa mustakabali wa taifa letu kuwaacha wanajadili upumbavu wa mahama za kikdini?!
3. Waislamu walitamka wazi kuwa hawataichagua ccm na kikwete kwa kuwa alikuwa bado kutimiza matakwa yao ya mahakama ya kadhi,kuna habari za uhakika kuwa amewahakikishia waislamu kwa siri kuwa watulivu ili apate kwanza kura za wakristo alafu atakufa nao akishaingia madarakani na ndiyo maana waislamu wamekaa kimya na kumkashifu dr.slaa
4. Angalia timu ya kampeni ya kikwete.....kikwete muislamu, gharib bilal muislamu, abdulahman kinana muislamu, salma kikwete muislamu, riziwani kikwete muislam wako wapi akina pinda na msekwa kweneye kampeni km sio udini ni nini?
tujiulize, kwa vitendo nani mdini kati ya kikwete na slaa?
tujadili ukweli na kwa statistics km nilivyofanya mimi tusaidie kujenga nchi ambayo
Naomba mods musiifute hii post kwani hata serikali inaruhusu udini kujadiliwa ndiyo maana, al huuda,al nuur, habari leo au rai hawawezi kuchukuliwa hatua zozote kwa uchochezi wanaofanya.rai la leo wameandika "slaa hafai kuwa rais,anampango wa kuigawa nchi kwa udini na ukabila"
kikwete ndiyo kiongozi mdini ambaye hajawahi kutokea ktk historia ya tz na ni mtu hatari sana kwani yeye ni mdini kwa vitendo ila slaa ni mdini kwa maneno.......km ifuatavyo
1. Kikwete aliweka kwenye ilani ya ccm mahakama ya kadhi na kuinadi ......je,yupo tayari kuweka mahakama ya kikristo ktk ilani ya ccm na kuinadi?!
2. Kikwete kiongozi wa kitaifa aliyeapa kuilinda katiba anaacha wabunge wapoteze muda wa kujadili mambo muhimu kwa mustakabali wa taifa letu kuwaacha wanajadili upumbavu wa mahama za kikdini?!
3. Waislamu walitamka wazi kuwa hawataichagua ccm na kikwete kwa kuwa alikuwa bado kutimiza matakwa yao ya mahakama ya kadhi,kuna habari za uhakika kuwa amewahakikishia waislamu kwa siri kuwa watulivu ili apate kwanza kura za wakristo alafu atakufa nao akishaingia madarakani na ndiyo maana waislamu wamekaa kimya na kumkashifu dr.slaa
4. Angalia timu ya kampeni ya kikwete.....kikwete muislamu, gharib bilal muislamu, abdulahman kinana muislamu, salma kikwete muislamu, riziwani kikwete muislam wako wapi akina pinda na msekwa kweneye kampeni km sio udini ni nini?
tujiulize, kwa vitendo nani mdini kati ya kikwete na slaa?
tujadili ukweli na kwa statistics km nilivyofanya mimi tusaidie kujenga nchi ambayo