Ni kweli Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya fedha kutekeleza Sheria ya Jumapili?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,406
5,031
Madai ya rafikiyangu msabato kuwa Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya Fedha kutekeleza sheria ya jumapili yana ukweli? Wadau hamjamboni nyote?

Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law

Anadai kwamba Kanisa hilo limepunguza misaada kwa makanisa yake mbalimbali duniani. Kwamba huo ni mpango mkakati kuweka akiba ya kutosha. Kwamba linaweka akiba siyo kwakuwa limeishiwa Fedha ila ni mpango mkakati kuelekea utekelezaji wa amri ya jumapili

Kwamba Fedha husika pamoja na rasilimali nyinginezo zitatumika kuwashughulikia kikamilifu watakaopinga amri ya kuabudu jumapili yaani Sunday Law. Kwamba walengwa wakuu wa sheria hiyo ya Jumapili itakayotungwa na Catholic Kwa kishirikina na Marekani na Umoja wa Mataifa ni Wasabato ambao wanaabudu siku ya jumamosi.

Nimeshindwa kuelewa, kuamini na nimeshangaa sana huku nikikosa hata swali la kumuuliza.

Kwamba baada ya mateso hayo kupitia ndiyo Yesu Kristo atarejea na kuwachukua kwenda mbinguni.

Naombeni maoni yenu wasomi wa theolojia.

Karibuni.
 
Achana na wasabato mkuu. Kwa conspiracy theories ndiyo wenyewe. Kutwa kucha ni mapambano dhidi ya Upapa (mnyama wa Ufunuo mwenye namba 666), chapa ya mnyama (kuabudu Jumapili kwa kila mtu na watakaokaidi hawataruhusiwa kuuza wala kununua) na utopolo mwingine. Ila ukiangalia matendo yao sasa maweee!

Wanaamini kuwa wao ndiyo kanisa la kweli la masalia kwa vile wanaishika amri ya 4 (kutunza Sabato) na wengine wote watakwenda motoni. Nabii wao (Ellen G. White) alipoonyeshwa amri kumi za Mungu aliona ile ya 4 ikiwa inang'ara sana - ishara kwamba ina umuhimu wa kipekee maana ndiyo imebeba agano la Mungu la uumbaji kati ya Mungu na mwanadamu. Kwa hiyo kama unasali siku nyingine mbali na Jumamosi basi mbingu utaisikia kwenye tivii tu!

Seventh Day Adventism is a cult!
 
Wasabato wana Identity crissis!

Wasabato wana wivu sana na katoliki kwa sababu wanaona gere kwa jinsi katoliki alivyoweza kujipambanua kutoka kwa wayahudi ambaye ndiye chanzo gha imani. Sasa wao wamebaki wanang'angana kufwata utamaduni wa wayahudi huku wayahudi wenyewe hata yesu hawamtambui.

Apo ndipo wanapofeli
 
Ipo nje ya mada kidogo

Kuna padre mmoja alishikwa na kasidemu kimoja hivi kilikua kinamfanyia usafi na kumpikia na Mambo mengine alikua ni mzungu Mzee

Demu alijenga bar, nyumba na akanunua Hadi gari haieleweki yule demu alimuwekea nini yule padre au alikua anampa Nini

Ni kwamba yule demu alikua akikohoa anashida na Pesa au sometimes alikua anajifanya anaumwa amelazwa padre anapigiwa simu Lazima atatuma Pesa t sijui yule manzi alimfanyia Nini yule padre na manzi mwenyewe alikua malaya wa kutupwa
 
Madai ya rafikiyangu msabato kuwa Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya Fedha kutekeleza sheria ya jumapili yana ukweli? Wadau hamjamboni nyote?

Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law

Anadai kwamba Kanisa hilo limepunguza misaada kwa makanisa yake mbalimbali duniani. Kwamba huo ni mpango mkakati kuweka akiba ya kutosha. Kwamba linaweka akiba siyo kwakuwa limeishiwa Fedha ila ni mpango mkakati kuelekea utekelezaji wa amri ya jumapili

Kwamba Fedha husika pamoja na rasilimali nyinginezo zitatumika kuwashughulikia kikamilifu watakaopinga amri ya kuabudu jumapili yaani Sunday Law. Kwamba walengwa wakuu wa sheria hiyo ya Jumapili itakayotungwa na Catholic Kwa kishirikina na Marekani na Umoja wa Mataifa ni Wasabato ambao wanaabudu siku ya jumamosi.

Nimeshindwa kuelewa, kuamini na nimeshangaa sana huku nikikosa hata swali la kumuuliza.

Kwamba baada ya mateso hayo kupitia ndiyo Yesu Kristo atarejea na kuwachukua kwenda mbinguni.

Naombeni maoni yenu wasomi wa theolojia.

Karibuni.
Huyo muongo. Si lazima tuwe na siku moja special ya kusali. Unaweza kufanya ibadan siku yoyote au kila siku.
 
Madai ya rafikiyangu msabato kuwa Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya Fedha kutekeleza sheria ya jumapili yana ukweli? Wadau hamjamboni nyote?

Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law

Anadai kwamba Kanisa hilo limepunguza misaada kwa makanisa yake mbalimbali duniani. Kwamba huo ni mpango mkakati kuweka akiba ya kutosha. Kwamba linaweka akiba siyo kwakuwa limeishiwa Fedha ila ni mpango mkakati kuelekea utekelezaji wa amri ya jumapili

Kwamba Fedha husika pamoja na rasilimali nyinginezo zitatumika kuwashughulikia kikamilifu watakaopinga amri ya kuabudu jumapili yaani Sunday Law. Kwamba walengwa wakuu wa sheria hiyo ya Jumapili itakayotungwa na Catholic Kwa kishirikina na Marekani na Umoja wa Mataifa ni Wasabato ambao wanaabudu siku ya jumamosi.

Nimeshindwa kuelewa, kuamini na nimeshangaa sana huku nikikosa hata swali la kumuuliza.

Kwamba baada ya mateso hayo kupitia ndiyo Yesu Kristo atarejea na kuwachukua kwenda mbinguni.

Naombeni maoni yenu wasomi wa theolojia.

Karibuni.
Wasabato ni dhehebu la kizushi lilioasisiwa na mama mmoja mazushi na nabii wa uongo. Hawanaga mafundisho mengine zaidi ya kujaribu kuuangusha mbuyu, katoliki, kwa wembe
 
Wasabato ndio waliomuua Yesu
Wakasema anavunja sabato
Wakasema anafanya kazi siku ya sabato
Wakamuua ijumaa halafu wakasema tutapumzika jumamosi bila Yesu
Kama Yesu alifufuka jumapili
Basi siku hiyo inafaa kukumbukwa zaidi maana ndiyo siku ya sabato(Yesu) kutupumzisha

Kwahiyo kama wasabato walimuua Yesu nadhani wao ndio wataleta Saturday law kutuua waabudu jpili tuliosalia(japokuwa Mungu tunamuabudu rohoni kila siku)
 
Wasabato ndio waliomuua Yesu
Wakasema anavunja sabato
Wakasema anafanya kazi siku ya sabato
Wakamuua ijumaa halafu wakasema tutapumzika jumamosi bila Yesu
Kama Yesu alifufuka jumapili
Basi siku hiyo inafaa kukumbukwa zaidi maana ndiyo siku ya sabato(Yesu) kutupumzisha

Kwahiyo kama wasabato walimuua Yesu nadhani wao ndio wataleta Saturday law kutuua waabudu jpili tuliosalia(japokuwa Mungu tunamuabudu rohoni kila siku)
Ndio Mafarisayo ndugu....
 
Back
Top Bottom