Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,406
- 5,031
Madai ya rafikiyangu msabato kuwa Kanisa Katoliki wanatunza akiba ya Fedha kutekeleza sheria ya jumapili yana ukweli? Wadau hamjamboni nyote?
Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law
Anadai kwamba Kanisa hilo limepunguza misaada kwa makanisa yake mbalimbali duniani. Kwamba huo ni mpango mkakati kuweka akiba ya kutosha. Kwamba linaweka akiba siyo kwakuwa limeishiwa Fedha ila ni mpango mkakati kuelekea utekelezaji wa amri ya jumapili
Kwamba Fedha husika pamoja na rasilimali nyinginezo zitatumika kuwashughulikia kikamilifu watakaopinga amri ya kuabudu jumapili yaani Sunday Law. Kwamba walengwa wakuu wa sheria hiyo ya Jumapili itakayotungwa na Catholic Kwa kishirikina na Marekani na Umoja wa Mataifa ni Wasabato ambao wanaabudu siku ya jumamosi.
Nimeshindwa kuelewa, kuamini na nimeshangaa sana huku nikikosa hata swali la kumuuliza.
Kwamba baada ya mateso hayo kupitia ndiyo Yesu Kristo atarejea na kuwachukua kwenda mbinguni.
Naombeni maoni yenu wasomi wa theolojia.
Karibuni.
Ni Madai ya rafiki yangu mmoja wa kisabato kuhusu maandalizi yanayofanywa na kanisa Katoliki kuelekea utekelezaji wa sheria ya jumapili - Sunday Law
Anadai kwamba Kanisa hilo limepunguza misaada kwa makanisa yake mbalimbali duniani. Kwamba huo ni mpango mkakati kuweka akiba ya kutosha. Kwamba linaweka akiba siyo kwakuwa limeishiwa Fedha ila ni mpango mkakati kuelekea utekelezaji wa amri ya jumapili
Kwamba Fedha husika pamoja na rasilimali nyinginezo zitatumika kuwashughulikia kikamilifu watakaopinga amri ya kuabudu jumapili yaani Sunday Law. Kwamba walengwa wakuu wa sheria hiyo ya Jumapili itakayotungwa na Catholic Kwa kishirikina na Marekani na Umoja wa Mataifa ni Wasabato ambao wanaabudu siku ya jumamosi.
Nimeshindwa kuelewa, kuamini na nimeshangaa sana huku nikikosa hata swali la kumuuliza.
Kwamba baada ya mateso hayo kupitia ndiyo Yesu Kristo atarejea na kuwachukua kwenda mbinguni.
Naombeni maoni yenu wasomi wa theolojia.
Karibuni.