Ni kweli jogoo huwa anataga?

Ni kweli jogoo huwa anataga?

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,397
Reaction score
17,783
Wakati nikiwa mdogo nilikuwa nasikia watu wakisema eti jogoo akizeeka anataga kila wiki mara moja. Leo nikiwa mahali nimewasikia tena watu wakisema kuhusu jogoo kutaga. Je kuna ukweli wowote?
 
Duuuh... So ukiambiwa ni kweli utaamini? Haya kweli mang'ana!
 
Baadhi ya majogoo wanataga yai, tena inakuwa yai moja pale wanapo-mature (tena yai lenyewe linakuwa dogo sana) baada ya hapo hawatagi tena. Na hii sio kawaida
 
Haya sasa haya ndo matokeo ya secondary za kata... yaaani vijana wetu hoi taabani kabisa!
 
Ndallo na papason fuatilieni vizuri, wale wafugaji wa kuku wa kienyeji hii kitu siyo ya kushangaa.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni kweli,jogoo anataga but mayai yake hayaliwi, source-mfugaji maarufu-Makuku Rey
 
Wakati nikiwa mdogo nilikuwa nasikia watu wakisema eti jogoo akizeeka anataga kila wiki mara moja. Leo nikiwa mahali nimewasikia tena watu wakisema kuhusu jogoo kutaga. Je kuna ukweli wowote?

Ni kweli mkuu jogoo akizeeka huwa anatoa kitu km yai lakini ni korodani haiwi na ganda gumu km la yai la kawaida na maximum ni mara mbili tu, na akiishatoa hizo korodani uwezo wake wa kuzalisha ndo unakuwa umeishia hapo. Mimi nimewahi kushuhudia hilo
 
Tulikuwa tuna Jogoo wetu, Siku moja akataga yai DOGOOOO nkamwambia mama akasema yapo majogoo yanayotaga....nlishangaaa mnoooo.
 
Ndallo na papason fuatilieni vizuri, wale wafugaji wa kuku wa kienyeji hii kitu siyo ya kushangaa.
a
Kamanda chakushangaza ni kua Jogoo langu lilipigana na Jogoo la jirani halafu likapandandwa na likatoa mzigo na baada ya muda likataga! Hapa unasemaje??
 
Lema sio shoga wewe! Tengua hiyo kauli!

Unajuaje kama anamzungumzia lema baba yake jee? Kwamba yeye anaitwa Tony Gwanco lema


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom