Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,460
- 78,661
....kuwa Mwanaume anaweza kuwa na Wasichana/wanawake hata wa 3..lakini ukimuuliza kati ya hao..unaoa Yupi ni rahisi kujibu Fulani naoa...ila wale wengine nazuga tu...ila fulani ndio mama mwenyewe
.....Lakini kwa Mwanamke... akiwa na wanaume/ Wavulana wa 3...Tofauti..hawezi kujua ni nani kati ya hao atakaye muoa...sana sana utasikia ..aah mwenzangu wanaume wanahaminika hawa...?
...Nauliza tu kama Ni kweli...?
.....Lakini kwa Mwanamke... akiwa na wanaume/ Wavulana wa 3...Tofauti..hawezi kujua ni nani kati ya hao atakaye muoa...sana sana utasikia ..aah mwenzangu wanaume wanahaminika hawa...?
...Nauliza tu kama Ni kweli...?