Mkuu ulitumia Aina gani kiongozi ni hiyo uloiona hapo au nyingineMimi nilishawai kuitumia na ilinisaidia sana ila inahitaji diet na mazoezi kidogo kuharisha ni kwa sana.
nnisaidie inauzwa wapi plzzslimming tea hii hapa inasaidia kweli kupunguza uzito ama kanjanja??? msaada kwa aliye gunia ama aliens mtu katumiaView attachment 709117
Angalia usivamie products tu bila kufanya uchunguzi wa kutosha. Siku hizi watu wamekuwa wanyama linapofika suala la fedha. Ninachojua mimi uzito hupunguzwa kwa diet sahihi na mazoezi. Vinginevyo hata utumie nini kama umeshindwa kushughulika na diet na mazoezi hutafanikiwa.. sana sana utalishwa madawa yenye sumu. Jaribu kusoma articles online ili upanue mawazo na kufanya uamuzi sahihi. Biashara inayohusisha bidhaa za ''kupungua uzito'' ina wateja wengi sana ambao wako desperate kufanya chochote ili wapungue uzito (kina mama hasa) hivyo matapeli nao wametumia huo mwanya kutengeneza fedha. Soma makala hii:nnisaidie inauzwa wapi plzz