Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Mbona nyie mnanitusigi mie silalamikiHahahahaha daah mkuu mbona unanitusi, unatusi maumbile yangu
Mbona nyie mnanitusigi mie silalamikiHahahahaha daah mkuu mbona unanitusi, unatusi maumbile yangu
Wewe mwanamke una busara sana. Ana heri aliye na wewe kama mke/mpenzi. Your parent did a great work in your upbringingMahusiano ni kusaidia kwenye kuelewana na kujuana
Kile unachopenda na usichopenda mwambie mwenzio, kama kiko ndani ya uwezo wake na anakupenda atakuelewa na mtadumu.
Yote kwa yote Mungu ayatangulie mahusiano yenu, kama ni waamini. Partner anayemjua Mungu na sheria zake ni partner bora mno
Wabarikiwe sana
Wabarikiwe zaidi wale wanaowasaidia kuishi kwenye uaminifu
Wana sehemu maalumu kwenye maisha baada ya duniani😍😍
Ipo??Tatizo ni wanawake kutumia K kama kumkomoa mwanaume. Imagine umeoa na unaomba K. Hii kitu huwa inafanya wanaume kuanza kufikiria njia ya kumwaga wazungu! Kwa wanawake ambao wanajua wajibu wao, cheating huwa hakuna.
Wabarikiwe sana
Wabarikiwe zaidi wale wanaowasaidia kuishi kwenye uaminifu
Wana sehemu maalumu kwenye maisha baada ya duniani😍😍
Waliosema how would I know naona ni wanaume ila mpaka hapo bado wanawake wanaongozaThis international "scientific" poll might offer you some useful insights. Good luck
View attachment 2482348
Let's we start afreshI just want to know the reality of life,is it true all men cheat???
I have ended my long relationship because of cheating.I cant tolerate continuing with a person after i found evidence he has been cheated,as a result i end up single without relationship,and it is very hard to start new relationship for us loyal women who we dont have multiple partner at the same time.
I am longing to have a serious relationship and settle,the problem is i have developed trust issues,i dnt trust if faithfull and loyal men exist anymore.Alot of people advising,for nowdays society it is better to accept cheating and learn to start cheating too in order to go with the flow and avoiding lonliness,But me and myself we dont want to accept this reality.
So before i give up once and for all about loyal men existence.is it true all men cheat???
Ngoja nitafsiri
Nataka kujua uhalisia wa maisha, je ni kweli wanaume wote wanadanganya???
Nimemaliza uhusiano wangu wa muda mrefu kwa sababu ya kudanganyana.Siwezi kuvumilia kuendelea na mtu baada ya kupata ushahidi kwamba ametapeliwa, matokeo yake naishia single bila mahusiano, na ni ngumu sana kuanzisha uhusiano mpya kwa sisi wanawake waaminifu ambao. hatuna washirika wengi kwa wakati mmoja.
Ninatamani kuwa na uhusiano wa dhati na tusuluhishe, tatizo nimekuwa na masuala ya uaminifu, siamini kama wanaume waaminifu na waaminifu wapo tena. Watu wengi wanashauri, kwa sasa jamii ni bora kukubali kucheat na kujifunza kuanza kudanganya pia ili kwenda na mtiririko na kuepuka upweke, Lakini mimi na mimi mwenyewe hatutaki kukubali ukweli huu.
So before i give up once and for all kuhusu loyal men kuwepo.is it true all men cheat???



Tatizo ni wanawake kutumia K kama kumkomoa mwanaume. Imagine umeoa na unaomba K. Hii kitu huwa inafanya wanaume kuanza kufikiria njia ya kumwaga wazungu! Kwa wanawake ambao wanajua wajibu wao, cheating huwa hakuna.
Wanaume wote si sawa dada.I just want to know the reality of life,is it true all men cheat???
I have ended my long relationship because of cheating.I cant tolerate continuing with a person after i found evidence he has been cheated,as a result i end up single without relationship,and it is very hard to start new relationship for us loyal women who we dont have multiple partner at the same time.
I am longing to have a serious relationship and settle,the problem is i have developed trust issues,i dnt trust if faithfull and loyal men exist anymore.Alot of people advising,for nowdays society it is better to accept cheating and learn to start cheating too in order to go with the flow and avoiding lonliness,But me and myself we dont want to accept this reality.
So before i give up once and for all about loyal men existence.is it true all men cheat???
🙏Wewe mwanamke una busara sana. Ana heri aliye na wewe kama mke/mpenzi. Your parent did a great work in your upbringing
AmenWapo wanaume waaminifu sana
Na ili waendelee kuwa waaminifu, sisi wanawake tunaweza kuwasaidia zaidi kudumu kwenye uaminifu
Sio rahisi sana lakini sio ngumu sana pia
Msinipopoe![]()

Amen![]()
Mimi lini nimekutusi!?Mbona nyie mnanitusigi mie silalamiki
Mama una busara sana, bila shaka utakuwa ni yule mwanamke wa Mithali 30. Mungu akutunze.Mahusiano ni kusaidia kwenye kuelewana na kujuana
Kile unachopenda na usichopenda mwambie mwenzio, kama kiko ndani ya uwezo wake na anakupenda atakuelewa na mtadumu.
Yote kwa yote Mungu ayatangulie mahusiano yenu, kama ni waamini. Partner anayemjua Mungu na sheria zake ni partner bora mno
Waaminifu wapo, na wanao hudumia family zao vizuri wapo pia. Suala la kugongwa huwa ni tamaa na udhaifu wenu tu.Na ukipata anaehudumia shukuru... Yaan wapowapo tu na ndo maana wanagongewa sana
Mama una busara sana, bila shaka utakuwa ni yule mwanamke wa Mithali 30. Mungu akutunze.