Misss Chuga
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 181
- 327
Habari za mda huu!
Naenda kwenye mada moja kwa moja.
Babu zetu walisema umaskini wao waliupata kutokana na wakolon. Wazee wetu umaskini waliupata kutokana na sera za Tanu na Mfumo wa Alioutumia Nyerere wa ujamaa!
Kijana wa leo Tanzania anasema yeye ni maskini pia anamaisha magumu sababu ccm ipo madarakani pia serikali haimwangalii.
Ni kweli umaskini wetu unaletwa na utawala na mfumo wake, au ni mwenendo tu wa maisha ya mtu?
Naenda kwenye mada moja kwa moja.
Babu zetu walisema umaskini wao waliupata kutokana na wakolon. Wazee wetu umaskini waliupata kutokana na sera za Tanu na Mfumo wa Alioutumia Nyerere wa ujamaa!
Kijana wa leo Tanzania anasema yeye ni maskini pia anamaisha magumu sababu ccm ipo madarakani pia serikali haimwangalii.
Ni kweli umaskini wetu unaletwa na utawala na mfumo wake, au ni mwenendo tu wa maisha ya mtu?