St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Albert Einstein alipata kusema kuwa "If you want to understand life,look deep into nature" Sasa unapoangalia katika viumbe hai wote hakuna kiumbe jike hata mmoja mwenye wivu. Wivu wa wanawake hawa unatoka wapi. Wanalinda nini? Kimsingi wivu wa mwanaume unasababishwa na asili ya kila mwanaume kutaka kusambaza genes zake na kuzalisha uzao wake. Mwanaume anajawa na hofu kwamba mke wake atakapochepuka kunakuwa na uwezekano wa kulea mtoto asiye wa kwake. Sasa swali nalojiuliza ni kuwa hawa wapinzani wetu wanakuwa na wivu wa nini wakati hawana cha kupoteza?