Kisingizio hakiwezi kuwa mbuga kwani kuna mbuga nyingine zenye barabara za lami kama Mikumi.
Kisingizio si lazima kuwa ikolojia au kusema mbuga ni urithi wa dunia, ingawa hayo ni kweli. Hata hivyo, Watanzania wanahitaji usafiri wa haraka na wa gharama nafuu, huku wakifurahia mandhari ya kipekee. Ikiwa Mikumi imefanikiwa, hakuna sababu Serengeti isiwezekane,
safari ya Mwanza - Arusha ina abiria wengi sana, vivyo hivyo na ile ya Arusha - Mara. Magari mengi huzunguka mikoa mingi ya pembeni jambo linaloongeza gharama ya nauli, muda wa safari na uchovu wakati mikoa hii ipo kwa umbali mfupi na ingeweza kuwa na huduma bora zaidi za usafiri kama barabara ya lami ingejengwa.
Kisingizio si lazima kuwa ikolojia au kusema mbuga ni urithi wa dunia, ingawa hayo ni kweli. Hata hivyo, Watanzania wanahitaji usafiri wa haraka na wa gharama nafuu, huku wakifurahia mandhari ya kipekee. Ikiwa Mikumi imefanikiwa, hakuna sababu Serengeti isiwezekane,
safari ya Mwanza - Arusha ina abiria wengi sana, vivyo hivyo na ile ya Arusha - Mara. Magari mengi huzunguka mikoa mingi ya pembeni jambo linaloongeza gharama ya nauli, muda wa safari na uchovu wakati mikoa hii ipo kwa umbali mfupi na ingeweza kuwa na huduma bora zaidi za usafiri kama barabara ya lami ingejengwa.