Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,162
Kuna tuhuma nzito sana alizotoa mfanyibiashara maarufu wa Hai, Cuthbert Swai, anayemiliki hoteli ya kitalii ya Wetu Weru River Lodge, kuwa DC huyo wa Hai, Lengeli Ole Sabaya, alimwomba rushwa ya shilingi milioni 8
Mfanyibiashara huyo amedai kuwa ana ushahidi wa kutosga kuthibitisha tuhuma hizo
Ninafahamu vilevile kuwa serikali ya utawala wa awamu ya tano imejipambanua kuwa yenyewe inapambana na ufisadi, ikwemo hiyo ya upokeaji wa rushwa kubwa kubwa
Tunafahamu pia sheria za kazi za nchi, zinavyoelekeza, mtumishi yeyote wa Umma, anayetuhumiwa kwa kosa kama hilo la DC wa Hai, hatua za kuchukua, ambazo ni pamoja na kumsimamisha kazi na kuunda Tume maalum iliyo huru kuchunguza tuhuma hizo
Baada ya kukamilisha uchunguzi wake Tume hiyo itatoa ripoti yake, ambapo kama ataonekana hana hatia, ararudishwa kazini na endapo atathibitika kwa tuhuma zinazomkabili, basi atafikishwa mahakamani mujibu mashitaka yake
Ni jambo la ajabu kwa tuhuma nzito ya aina hii, kuona mtuhumiwa bado anaendelea na kazi, kitendo ambacho kitaendelea kumpa kiburi na kuendelea na manyanyaso yake anayowafanyia wafanyibiashara wa wilaya hiyo, kama alivyodai mfanyibiashara huyo, Cuthbert Swai
Kama hatasimamishwa kazi, tutachukulia kuwa utawala huu wa awamu ya tano umeamua kwa makusudi kabisa, kizovunja sheria, na kuzifanya kuwa na "double standard" kuangalia ni nani anayetuhumiwa nazo
Pia itachukuliwa kuwa kuna baadhi ya wayeule wa Rais, ambao wamekuwa "untouchables" hususani wateule wa Rais, wanaodaiwa kuwa wanawafanyia manyanyaso makubwa sana wapinzani
Tunakuomba Mheshimiwa Magufuli, ili serikali ysko isiendelee kuchafiliwa, msimamishe kazi huyo DC wa Hai, na tume hiru ya uchungizi iundwe, kuchunguza tuhuma hizo nzito
Kama ambavyo mheshimiwa Rais umekuwa ukitamka kuwa MAENDELEO HAYANA CHAMA
Mfanyibiashara huyo amedai kuwa ana ushahidi wa kutosga kuthibitisha tuhuma hizo
Ninafahamu vilevile kuwa serikali ya utawala wa awamu ya tano imejipambanua kuwa yenyewe inapambana na ufisadi, ikwemo hiyo ya upokeaji wa rushwa kubwa kubwa
Tunafahamu pia sheria za kazi za nchi, zinavyoelekeza, mtumishi yeyote wa Umma, anayetuhumiwa kwa kosa kama hilo la DC wa Hai, hatua za kuchukua, ambazo ni pamoja na kumsimamisha kazi na kuunda Tume maalum iliyo huru kuchunguza tuhuma hizo
Baada ya kukamilisha uchunguzi wake Tume hiyo itatoa ripoti yake, ambapo kama ataonekana hana hatia, ararudishwa kazini na endapo atathibitika kwa tuhuma zinazomkabili, basi atafikishwa mahakamani mujibu mashitaka yake
Ni jambo la ajabu kwa tuhuma nzito ya aina hii, kuona mtuhumiwa bado anaendelea na kazi, kitendo ambacho kitaendelea kumpa kiburi na kuendelea na manyanyaso yake anayowafanyia wafanyibiashara wa wilaya hiyo, kama alivyodai mfanyibiashara huyo, Cuthbert Swai
Kama hatasimamishwa kazi, tutachukulia kuwa utawala huu wa awamu ya tano umeamua kwa makusudi kabisa, kizovunja sheria, na kuzifanya kuwa na "double standard" kuangalia ni nani anayetuhumiwa nazo
Pia itachukuliwa kuwa kuna baadhi ya wayeule wa Rais, ambao wamekuwa "untouchables" hususani wateule wa Rais, wanaodaiwa kuwa wanawafanyia manyanyaso makubwa sana wapinzani
Tunakuomba Mheshimiwa Magufuli, ili serikali ysko isiendelee kuchafiliwa, msimamishe kazi huyo DC wa Hai, na tume hiru ya uchungizi iundwe, kuchunguza tuhuma hizo nzito
Kama ambavyo mheshimiwa Rais umekuwa ukitamka kuwa MAENDELEO HAYANA CHAMA