Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Wakubwa
nimepitisha hoja hii kwenye jukwaa hili,baada ya kutafakari kwa muda mrefuu juu ya mwamko wa mabadiliko ya kidemokrasia hasa kwa nchi kama Tanzania.
Ukisoma mitandao ya niternert,vyombo vya Habari nk utagundua kuwa Jiji hilo ndilo lenye watu wengi wenye uelewa zaidi wa masuala ya demokrasia na kwa ligha nyingine uanzia hapo.
Lakini utashangaa kuona wakati wa uchaguzi majimbo yote yanachukuliwa na CCM na katika maeneo ya vijijini ambako hata magazeti ni shida wanachua vyama mbadala.
Tatizo hapa ni nini,tazama vyama vote vimezinfua kampeini zao hapo jangwani lakini matokeo yatanoesha wana dar wote wameichagua CCM baada ya octoba 31,
Hii imekaaje,au wenzagu hamjagudua kuwa wengi wao wanapiga kelele saaaaana hata kwenye mitandao kumbe hawana hata kadi za mpiga kura.................
nimepitisha hoja hii kwenye jukwaa hili,baada ya kutafakari kwa muda mrefuu juu ya mwamko wa mabadiliko ya kidemokrasia hasa kwa nchi kama Tanzania.
Ukisoma mitandao ya niternert,vyombo vya Habari nk utagundua kuwa Jiji hilo ndilo lenye watu wengi wenye uelewa zaidi wa masuala ya demokrasia na kwa ligha nyingine uanzia hapo.
Lakini utashangaa kuona wakati wa uchaguzi majimbo yote yanachukuliwa na CCM na katika maeneo ya vijijini ambako hata magazeti ni shida wanachua vyama mbadala.
Tatizo hapa ni nini,tazama vyama vote vimezinfua kampeini zao hapo jangwani lakini matokeo yatanoesha wana dar wote wameichagua CCM baada ya octoba 31,
Hii imekaaje,au wenzagu hamjagudua kuwa wengi wao wanapiga kelele saaaaana hata kwenye mitandao kumbe hawana hata kadi za mpiga kura.................