CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Hii taasisi ya kukopesha watumishi wa Uma Faidika au Letshego inakiuka kanuni na taratibu za utoaji mikopo mathalani kupandisha riba bila taarifa mpaka kupitiliza na hii wameanza mwezi wa 9...
Lakini kama haitoshi pindi unapotaka kufuta mkopo inakulazimu mpaka kuanza kutishiana maisha maana sio kwa usumbufu huo utakaopata...
Nauliza je hii taasisi yenyewe inajitungia Sheria zake ama Kuna mkubwa anayeilinda ifanye hivi?
Lakini kama haitoshi pindi unapotaka kufuta mkopo inakulazimu mpaka kuanza kutishiana maisha maana sio kwa usumbufu huo utakaopata...
Nauliza je hii taasisi yenyewe inajitungia Sheria zake ama Kuna mkubwa anayeilinda ifanye hivi?