Alex khalifa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2025
- 282
- 512
Alilipa mabilioni ili mafuta ya petrol yasoipande kuepusha mfumuko wa bei.
Wazalendo wakagoma hela za halmashauri zisitoke, hazirejeshwi akawa mbogo na hela zikarudi kwa wananchi.
Watoto wenu wa kike walipewa pewa ujauzito wakakataliwa kurudi shule ye akawarudisha.
Maghorofa kariakoo na Tanzania nzima yanaota ka uyoga baada ya kusimama kwa muda mrefu
Wanafunzi diploma eti nao wanakula mkopo dah, huyu mama ana pepo yake wallah.
Changamoto yake ni utekaji tu mbona we hujatekwa hivo ukitekwa jiulize umekosea wapi, japo na amini jilo jambo litakoma siku moja ila nasi tuwe na adabu mama kakubali kukosolewa ila kwa staha si kisela hivo,
Nitarudi.....
Wazalendo wakagoma hela za halmashauri zisitoke, hazirejeshwi akawa mbogo na hela zikarudi kwa wananchi.
Watoto wenu wa kike walipewa pewa ujauzito wakakataliwa kurudi shule ye akawarudisha.
Maghorofa kariakoo na Tanzania nzima yanaota ka uyoga baada ya kusimama kwa muda mrefu
Wanafunzi diploma eti nao wanakula mkopo dah, huyu mama ana pepo yake wallah.
Changamoto yake ni utekaji tu mbona we hujatekwa hivo ukitekwa jiulize umekosea wapi, japo na amini jilo jambo litakoma siku moja ila nasi tuwe na adabu mama kakubali kukosolewa ila kwa staha si kisela hivo,
Nitarudi.....