Ni kusema tu mabaya ya Samia, mazuri aaaaahhh!

Ni kusema tu mabaya ya Samia, mazuri aaaaahhh!

Alex khalifa

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2025
Posts
282
Reaction score
512
Alilipa mabilioni ili mafuta ya petrol yasoipande kuepusha mfumuko wa bei.

Wazalendo wakagoma hela za halmashauri zisitoke, hazirejeshwi akawa mbogo na hela zikarudi kwa wananchi.

Watoto wenu wa kike walipewa pewa ujauzito wakakataliwa kurudi shule ye akawarudisha.

Maghorofa kariakoo na Tanzania nzima yanaota ka uyoga baada ya kusimama kwa muda mrefu

Wanafunzi diploma eti nao wanakula mkopo dah, huyu mama ana pepo yake wallah.

Changamoto yake ni utekaji tu mbona we hujatekwa hivo ukitekwa jiulize umekosea wapi, japo na amini jilo jambo litakoma siku moja ila nasi tuwe na adabu mama kakubali kukosolewa ila kwa staha si kisela hivo,

Nitarudi.....
 
Alilipa mabilioni ili mafuta ya petrol yasopanfe kuepusha mfumuko wa bei.

Wazalendo wakagoma hela za halmashauri zisitoke, hazirejeshwi akawa mbogo na hela zokarudi kwa wananchi.

Watoto wenu wa kike wakalombwa huko wakapewa ujauzito wakaktaliwa kurudi shile ye akawarudisha.

Maghorofa kariakoo na tz nzima yanaota ka uyoga baada ya kusimama kwa muda mrefu

wanafunzi diploma eti nao wanakula mkopo dah, huyu mama ana pepo yake wallah.

Changamoto yake ni utekaji tu mbona we hujatekwa hivo ukitekwa jiulize umekosea wapi, japo na amini jilo jambo litakoma siku moja ila nasi tuwe na adabu mama kakubali kukosolewa ila kwa staha si kisela hivo,

Nitarudi.....
Maghorofa ya Kariakoo yanakusaidia nn !?
 
Maghorofa ya Kariakoo yanakusaidia nn !?
wanakijiji wa kwenu huko wakija mjini huwa wanashanga nini, mbona watu na heshima zao wanaenda kupiga picha kwenye vioo vya ubungo tena kwa foleni,
 
Changamoto yake ni utekaji tu mbona we hujatekwa hivo ukitekwa jiulize umekosea wapi, japo na amini jilo jambo litakoma siku moja ila nasi tuwe na adabu mama kakubali kukosolewa ila kwa staha si kisela hivo,

Nitarudi.....
Nani wanateka na kupoteza watu??
 
wanakijiji wa kwenu huko wakija mjini huwa wanashanga nini, mbona watu na heshima zao wanaenda kupiga picha kwenye vioo vya ubungo tena kwa foleni,
Ww ni mjinga sana,

Kwahiyo kazi ya moghorofa ya Kariakoo na Ubungo ni kwa ajili ya kupiga picha!? Aliyekutuma kupost utumbo wako JF mwambie akupe kwanza elimu
 
Wewe ni pimbi haujui hata sheria za Tanzania. Rais anafunguliwa kesi?
Ameua na majina yapo.
pimbi ni wewe rais kaua au watumishi wake ndo wameua utakuja ufungwe jela kiboya sana hujui kiwasilisha lalamiko je akikutaka utoe ushahidi wa kuua, unao?
 
Msifie ww sema mazuri yake ww na sisi utuache tuseme mabaya hana zuri hata moja hakuna we kama unayo sema kila mtu ashnde mechi zake.
una akili sana kijana utafika mbali hawa wenzako wanalazimisha wote tumchukie rais kosa wamenyimwa teuzi, ukuu wa wilaya nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom