Ni kosa kubwa sana kumpa mwanamke uongozi kwani atategemea akili za wanaume kwa kila kitu

Ni kosa kubwa sana kumpa mwanamke uongozi kwani atategemea akili za wanaume kwa kila kitu

maandamano

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2025
Posts
652
Reaction score
1,388
Mimi naamini hivyo,ukimpa uongozi mwanamke kwani atategemea kila kitu aamuliwe na mwanaume au wanaume.

Kibaya zaidi watamuamulia kwa maslahi yao kwanza hawatajali kama huyu mwanamke ataaibika,maana wanajua kwa kila aibu itajulikana aliyeamua ni huyo mwanamke


Kizuri mwanaume anapoamua jambo lake huwa hapendi kufanya vibaya kwa anayotaka kuyaamua ndiyo maana kabla ya kuamua hufikilia kwanza madhara na faida ya hilo jambo

Lakini mwanamke ni mtu wa kukurupuka huwa anaangalia kwa mda ule tu,na pindi jambo likishaharibika tu nafsi yake humuuma sana yuko radhi ajifungie ndani na asitoke inje


Hebu jiulize hivi Magufuli angekubali aruhusu yale yaliyotokea tarehe 29? Mimi naamini kuna watu walimshauri Hangaya ili yafanyike kwa maslai yao


Unajua Tanzania ilikuwa haijulikani kidunia kivile lakini imejulikana sababu ya yale mauwaji ya kutisha

Sijui mlioko madarakani mtaliponya vipi taifa maana badala ya kutafuta muafaka kwanza ndiyo mnazidi kuharibu

Ukitaka kujua watu wamezira angalia jinsi tume ya jaji Chande inavyokataliwa kupewa ushirikiano, vilevile kutokupewa sapoti kwa jambo lolote la kitaifa

Wazo langu kwa viongozi mtoeni Tundu Lisssu gerezani pamoja na wote wale wanaoshikiliwa

Na wasiojulikana itisheni mjadala wa kitaifa, wawajibishwe wote waliofanya mauaji, paitishwe serikali ya mpito au mama jiuzuru ili uponye nafsi yako.

Naamini Tanzania itarudi kwenye mstari wake bila hivyo tusubirie anguko jingine baya kabisa linalokuja mbele yetu
 
Mimi naamini hivyo,ukimpa uongozi mwanamke kwani atategemea kila kitu aamuliwe na mwanaume au wanaume,kibaya zaidi watamuamuliya kwa maslai yao kwanza hawatajali kama huyu mwanamke ataaibika,maana wanajua kwa kila aibu itajulikana aliyeamua ni huyo mwanamke,
Kizuri mwanaume anapoamua jambo lake huwa hapendi kufanya vibaya kwa anayotaka kuyaamua ndiyo maana kabla ya kuamua hufikilia kwanza madhara na faida ya hilo jambo,lakini mwanamke ni mtu wa kukulupuka huwa anaangalia kwa mda ule tu,na pindi jambo likishaharibika tu nafsi yake humuuma sana yuko radhi ajifungie ndani na asitoke inje
Hebu jiulize hivi Magufuri angekubali aruhusu yale yaliyotokea tarehe 29? Mimi naamini kuna watu walimshauri hagaya ili yafanyike kwa maslai yao,
Unajua Tanzania ilikuwa haijulika kidunia kivile,lakini imejulikana sababu ya yale mauwaji ya kutisha,Sijui mliyoko madarakani mtaliponya vipi Taifa maana badala ya kutafuta muafaka kwanza ndiyo mnazidi kuharibu,ukitaka kujua watu wamezira angalia jinsi tume ya jaji chande inavyokataliwa kupewa ushirikiano, vilevile kutokupewa sapoti kwa jambo lolote la kitaifa
Wazo langu kwa viongozi mtoeni Tundu Lisssu gerezani pamoja na wote wale wanaoshikiliwa na wasiojulika itishene mjadala wa kitaifa,wawajibishwe wote waliofanya mauaji paitishwe serikali ya mpito au mama jiuzuru ili uponye nafsi yako namini Tanzani italudi kwenye mstari wake bila hivyo tusubilie anguko jingine baya kabisa linalokuja mbele yetu
Unajitahidi sana kumchafua Rais SSH lakini kuna mahali hoja yako inaanza kuwa nyepesi.

Kumbuka ile hotuba aliyoitoa hayati JPM kuhusiana na maandamano alipowapiga mkwara kina Mbowe kwamba wasiandamane. Akiwaambia watangulie kwanza wao.

Maana yake ni kwamba wangeandamana wangekutana na kipigo cha aina ile ile ya tarehe 29 October bila kujali uanamme wake au uanamke wa SSH.

Kumbukeni urais ni taasisi sio shughuli ya mtu mmoja, pale ikulu kuna wasaidizi wengi kwenye fani mbalimbali, ukiona anaongea mbele ya kamera ujue ni maamuzi ya taasisi sio ya mtu mmoja.

Mnaongozwa na dhana ya chuki yenye ubaguzi ndani yake kwamba JK ndiye anayemuongoza Samia, JK hutoa ushauri pale inapobidi haswa Samia awe yeye mwenyewe anataka ushauri wa JK ndio atamfuata na kumuomba.

Kuna wasomi wengi wenye uwezo mkubwa wapo nyuma ya Samia, huwezi kulinganisha anayoyafanya kiuchumi na yale waliyoyafanya marais waliopita.
 
Unajitahidi sana kumchafua Rais SSH lakini kuna mahali hoja yako inaanza kuwa nyepesi.

Kumbuka ile hotuba aliyoitoa hayati JPM kuhusiana na maandamano alipowapiga mkwara kina Mbowe kwamba wasiandamane. Akiwaambia watangulie kwanza wao.

Maana yake ni kwamba wangeandamana wangekutana na kipigo cha aina ile ile ya tarehe 29 October bila kujali uanamme wake au uanamke wa SSH.

Kumbukeni urais ni taasisi sio shughuli ya mtu mmoja, pale ikulu kuna wasaidizi wengi kwenye fani mbalimbali, ukiona anaongea mbele ya kamera ujue ni maamuzi ya taasisi sio ya mtu mmoja.

Mnaongozwa na dhana ya chuki yenye ubaguzi ndani yake kwamba JK ndiye anayemuongoza Samia, JK hutoa ushauri pale inapobidi haswa Samia awe yeye mwenyewe anataka ushauri wa JK ndio atamfuata na kumuomba.

Kuna wasomi wengi wenye uwezo mkubwa wapo nyuma ya Samia, huwezi kulinganisha anayoyafanya kiuchumi na yale waliyoyafanya marais waliopita.
Basi kama ndiyo hivyo hatu wasomi ila elimu yao haiwasaidi kitu ndiyo maana waliosoma walihoji inawezekana vipi Rais aliyeshinda kwa kura asilimia 98 tena kwa inchi ya kidemokrasi halafu yatokea machafuka kama yale yaliyoghalimu vifo vya watu wengi vile
Kumbuka kijembe cha Obama,nimeamini kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti lakini uroho wa madaraka huwatoa ufahamu viongozi wa kiafrika wakawa kama wanyama hii inasababishwa na kutostarabika ndiyo maana mpaka leo mvua ikinyesha mafuriko jua likiwaka uhaba wa maji, hivi kuna watu bado wanajiita wasomi ndani ya inchi hii
 
Mimi naamini hivyo,ukimpa uongozi mwanamke kwani atategemea kila kitu aamuliwe na mwanaume au wanaume,kibaya zaidi watamuamuliya kwa maslai yao kwanza hawatajali kama huyu mwanamke ataaibika,maana wanajua kwa kila aibu itajulikana aliyeamua ni huyo mwanamke,
Kizuri mwanaume anapoamua jambo lake huwa hapendi kufanya vibaya kwa anayotaka kuyaamua ndiyo maana kabla ya kuamua hufikilia kwanza madhara na faida ya hilo jambo,lakini mwanamke ni mtu wa kukulupuka huwa anaangalia kwa mda ule tu,na pindi jambo likishaharibika tu nafsi yake humuuma sana yuko radhi ajifungie ndani na asitoke inje
Hebu jiulize hivi Magufuri angekubali aruhusu yale yaliyotokea tarehe 29? Mimi naamini kuna watu walimshauri hagaya ili yafanyike kwa maslai yao,
Unajua Tanzania ilikuwa haijulika kidunia kivile,lakini imejulikana sababu ya yale mauwaji ya kutisha,Sijui mliyoko madarakani mtaliponya vipi Taifa maana badala ya kutafuta muafaka kwanza ndiyo mnazidi kuharibu,ukitaka kujua watu wamezira angalia jinsi tume ya jaji chande inavyokataliwa kupewa ushirikiano, vilevile kutokupewa sapoti kwa jambo lolote la kitaifa
Wazo langu kwa viongozi mtoeni Tundu Lisssu gerezani pamoja na wote wale wanaoshikiliwa na wasiojulika itishene mjadala wa kitaifa,wawajibishwe wote waliofanya mauaji paitishwe serikali ya mpito au mama jiuzuru ili uponye nafsi yako namini Tanzani italudi kwenye mstari wake bila hivyo tusubilie anguko jingine baya kabisa linalokuja mbele yetu
Uko sahihi ,Nina mifano miwili

1.Kuna Halmashauri Moja Mganga Mkuu wa wilaya alikuwa ni mwanamke ndani ya hiyo ofisi kulikuwa na Katibu ni mwanaume yeye ndiye alikuwa final say .Huyu Mganga Mkuu alikuwa hawezi kufanya maamuzi yoyote mpaka aombe ushauri Kwa huyu Katibu.

2.Wilaya ya Magu ilikuwa na Mkurugenzi mwanamke Kila kitu alikuwa lazima aulize Afisa Utumishi ambaye alikuwa ni mwanaume.Ukitofautiana na huyu Afisa Utumishi ujue chchote kitakupata.
 
Basi kama ndiyo hivyo hatu wasomi ila elimu yao haiwasaidi kitu ndiyo maana waliosoma walihoji inawezekana vipi Rais aliyeshinda kwa kura asilimia 98 tena kwa inchi ya kidemokrasi halafu yatokea machafuka kama yale yaliyoghalimu vifo vya watu wengi vile
Kumbuka kijembe cha Obama,nimeamini kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti lakini uroho wa madaraka huwatoa ufahamu viongozi wa kiafrika wakawa kama wanyama hii inasababishwa na kutostarabika ndiyo maana mpaka leo mvua ikinyesha mafuriko jua likiwaka uhaba wa maji, hivi kuna watu bado wanajiita wasomi ndani ya inchi hii
Afrika inalo tatizo la elimu kuwa duni, halijaanza jana wala juzi. Ukiona mahali wanaamini sana habari za udaku ambazo hazijafanyiwa utafiti ujue hapo mahali elimu ipo chini.

Mange anakuwa maarufu kwa sababu ameshajua vichwa vya vijana wa kitanzania vinafanya vipi kazi, watengenezee udaku kazi ya wao kwa wao kuanza kugombana lazima wataifanya!.

Samia anakubalika sana huko kwa wananchi wa kawaida katimiza ahadi zote alizozirithi kutoka kwa hayati JPM na anaendeleza za kwake mwenyewe, kwanini anachukiwa badala ya kupendwa?.

Wanaomchukia wanacheza muziki ule ule wa kusambaza habari nyingi za kichochezi ambazo huwa hasi lengo tuendelee kuwa na jamii yenye vijana wenye utayari wa kutendeana maovu dakika yoyote ile.

Unaongelea suala la maji hapa Tanzania, unasahau kuwa USA wana miaka 248 ya uhuru wao lakini mpaka muda huu pale White House nje kwenye ukuta wanalala ombaomba kwenye maplastiki, kule Hollywood ambapo kina Tom Cruise wana majumba ya dola milioni 50 kuna watu wengi tu wanalala kwenye maboksi.
 
Mimi naamini hivyo,ukimpa uongozi mwanamke kwani atategemea kila kitu aamuliwe na mwanaume au wanaume,kibaya zaidi watamuamuliya kwa maslai yao kwanza hawatajali kama huyu mwanamke ataaibika,maana wanajua kwa kila aibu itajulikana aliyeamua ni huyo mwanamke,
Kizuri mwanaume anapoamua jambo lake huwa hapendi kufanya vibaya kwa anayotaka kuyaamua ndiyo maana kabla ya kuamua hufikilia kwanza madhara na faida ya hilo jambo,lakini mwanamke ni mtu wa kukulupuka huwa anaangalia kwa mda ule tu,na pindi jambo likishaharibika tu nafsi yake humuuma sana yuko radhi ajifungie ndani na asitoke inje
Hebu jiulize hivi Magufuri angekubali aruhusu yale yaliyotokea tarehe 29? Mimi naamini kuna watu walimshauri hagaya ili yafanyike kwa maslai yao,
Unajua Tanzania ilikuwa haijulika kidunia kivile,lakini imejulikana sababu ya yale mauwaji ya kutisha,Sijui mliyoko madarakani mtaliponya vipi Taifa maana badala ya kutafuta muafaka kwanza ndiyo mnazidi kuharibu,ukitaka kujua watu wamezira angalia jinsi tume ya jaji chande inavyokataliwa kupewa ushirikiano, vilevile kutokupewa sapoti kwa jambo lolote la kitaifa
Wazo langu kwa viongozi mtoeni Tundu Lisssu gerezani pamoja na wote wale wanaoshikiliwa na wasiojulika itishene mjadala wa kitaifa,wawajibishwe wote waliofanya mauaji paitishwe serikali ya mpito au mama jiuzuru ili uponye nafsi yako namini Tanzani italudi kwenye mstari wake bila hivyo tusubilie anguko jingine baya kabisa linalokuja mbele yetu
Kwa hiyo unamaanisha li utopolo limeshindwa?
 
Afrika inalo tatizo la elimu kuwa duni, halijaanza jana wala juzi. Ukiona mahali wanaamini sana habari za udaku ambazo hazijafanyiwa utafiti ujue hapo mahali elimu ipo chini.

Mange anakuwa maarufu kwa sababu ameshajua vichwa vya vijana wa kitanzania vinafanya vipi kazi, watengenezee udaku kazi ya wao kwa wao kuanza kugombana lazima wataifanya!.

Samia anakubalika sana huko kwa wananchi wa kawaida katimiza ahadi zote alizozirithi kutoka kwa hayati JPM na anaendeleza za kwake mwenyewe, kwanini anachukiwa badala ya kupendwa?.

Wanaomchukia wanacheza muziki ule ule wa kusambaza habari nyingi za kichochezi ambazo huwa hasi lengo tuendelee kuwa na jamii yenye vijana wenye utayari wa kutendeana maovu dakika yoyote ile.

Unaongelea suala la maji hapa Tanzania, unasahau kuwa USA wana miaka 248 ya uhuru wao lakini mpaka muda huu pale White House nje kwenye ukuta wanalala ombaomba kwenye maplastiki, kule Hollywood ambapo kina Tom Cruise wana majumba ya dola milioni 50 kuna watu wengi tu wanalala kwenye maboksi.
Alishinda kwa asilimia 98 akaenda kuapishwa kwenye uwanja wa kijeshi na wapiga kura wake hawakuruhusiwa kwenda kumpongeza,mama anakubalika sana zingine ni propaganda za Mangi kimambi
Kizazi cha sasa hivi huwezi kukidanga kiurahisi inawezekana wewe ndiye unayedanganywa
 
Afrika inalo tatizo la elimu kuwa duni, halijaanza jana wala juzi. Ukiona mahali wanaamini sana habari za udaku ambazo hazijafanyiwa utafiti ujue hapo mahali elimu ipo chini.

Mange anakuwa maarufu kwa sababu ameshajua vichwa vya vijana wa kitanzania vinafanya vipi kazi, watengenezee udaku kazi ya wao kwa wao kuanza kugombana lazima wataifanya!.

Samia anakubalika sana huko kwa wananchi wa kawaida katimiza ahadi zote alizozirithi kutoka kwa hayati JPM na anaendeleza za kwake mwenyewe, kwanini anachukiwa badala ya kupendwa?.

Wanaomchukia wanacheza muziki ule ule wa kusambaza habari nyingi za kichochezi ambazo huwa hasi lengo tuendelee kuwa na jamii yenye vijana wenye utayari wa kutendeana maovu dakika yoyote ile.

Unaongelea suala la maji hapa Tanzania, unasahau kuwa USA wana miaka 248 ya uhuru wao lakini mpaka muda huu pale White House nje kwenye ukuta wanalala ombaomba kwenye maplastiki, kule Hollywood ambapo kina Tom Cruise wana majumba ya dola milioni 50 kuna watu wengi tu wanalala kwenye maboksi.
Alishinda kwa asilimia 98 akaenda kuapishwa kwenye uwanja wa kijeshi na wapiga kura wake hawakuruhusiwa kwenda kumpongeza,mama anakubalika sana zingine ni propaganda za Mangi kimambi
Kizazi cha sasa hivi huwezi kukidanga kiurahisi inawezekana wewe ndiye unayedanganywa
 
Alishinda kwa asilimia 98 akaenda kuapishwa kwenye uwanja wa kijeshi na wapiga kura wake hawakuruhusiwa kwenda kumpongeza,mama anakubalika sana zingine ni propaganda za Mangi kimambi
Kizazi cha sasa hivi huwezi kukidanga kiurahisi inawezekana wewe ndiye unayedanganywa
Aliapishwa kwenye viwanja vye jeshi kwa sababu nyinyi mawakala wa vurugu mlitengeneza mazingira ya machafuko nchini, hapakuwa na sababu katika kipindi kile kwenda kumuapisha pale Jamhuri Stadium.

Kumbuka kulikuwa na maiti za vijana zimezagaa mitaani kwa sababu ya vurugu za kipuuzi mlizoziazisha mkidhani kwa kufanya hivyo ndio mtaipata dola ya Tanzania.

Hii ni dola ambayo imekuwepo kabla mimba za Lissu na Heche hazijatungwa kwenye matumbo ya mama zao, sio rahisi kuichukua kwa taharuki za mitandaoni.
 
Mkuu hayo mabichwa yao ambayo nywele zake zina kalikiti huwa wanayatumia kufanya nini au huwa yanawaza kutom*** tu
 
Unajitahidi sana kumchafua Rais SSH lakini kuna mahali hoja yako inaanza kuwa nyepesi.

Kumbuka ile hotuba aliyoitoa hayati JPM kuhusiana na maandamano alipowapiga mkwara kina Mbowe kwamba wasiandamane. Akiwaambia watangulie kwanza wao.

Maana yake ni kwamba wangeandamana wangekutana na kipigo cha aina ile ile ya tarehe 29 October bila kujali uanamme wake au uanamke wa SSH.

Kumbukeni urais ni taasisi sio shughuli ya mtu mmoja, pale ikulu kuna wasaidizi wengi kwenye fani mbalimbali, ukiona anaongea mbele ya kamera ujue ni maamuzi ya taasisi sio ya mtu mmoja.

Mnaongozwa na dhana ya chuki yenye ubaguzi ndani yake kwamba JK ndiye anayemuongoza Samia, JK hutoa ushauri pale inapobidi haswa Samia awe yeye mwenyewe anataka ushauri wa JK ndio atamfuata na kumuomba.

Kuna wasomi wengi wenye uwezo mkubwa wapo nyuma ya Samia, huwezi kulinganisha anayoyafanya kiuchumi na yale waliyoyafanya marais waliopita.
Sio kweli, JPM asingeweza kufanya mauaji ya halaiki kama alofanya SSH.
 
Aliapishwa kwenye viwanja vye jeshi kwa sababu nyinyi mawakala wa vurugu mlitengeneza mazingira ya machafuko nchini, hapakuwa na sababu katika kipindi kile kwenda kumuapisha pale Jamhuri Stadium.

Kumbuka kulikuwa na maiti za vijana zimezagaa mitaani kwa sababu ya vurugu za kipuuzi mlizoziazisha mkidhani kwa kufanya hivyo ndio mtaipata dola ya Tanzania.

Hii ni dola ambayo imekuwepo kabla mimba za Lissu na Heche hazijatungwa kwenye matumbo ya mama zao, sio rahisi kuichukua kwa taharuki za mitandaoni.
Sasa mbona hapiti kutushukhuru wapiga kura wake?
 
Back
Top Bottom