Ni kosa kubwa kusevu namba ya simu smartphone

Ni kosa kubwa kusevu namba ya simu smartphone

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,161
Reaction score
801
Ni utafiti mdogo tu,

Nilijikuta nagundua kuwa ikiwa simhitahi mtu hata kama namfaham, achilia mbali kama sikujui sina haja kusave namba yako ktk smart yangu kwa sabb haitatoka tena,

Ukiwa simu hiz za kisasa usijaribu kusave kwa sabb mhusika endapo anatumia whatsupp utaendelea kumuona.

Utadelete,kufuta namba yake lkn kwenye whatsupp ataendelea kukaa.
 
Ehee!?... hivi ni kweli?.... mie nilikuwa sijui.... ngoja nijaribu nione.
 
Ilinisumbua sana hiyo mpaka nikadelete account na kufanya upya activation
 
Shida uliyonayo inawezekana hyo namba imekuwa saved kwenye cloud na unasema kwenye smartphones.

Unaponunua smartphone inakulazimu uweke email yako ili uweze kuactivate ili utumie. Kwa iphone wana apple id, windows phone wana live.com kwenye samsung wana gmail account.

Sasa unaponunua smartphone yako na ukaingiza email hizo kila kitu unachokifanya kinakuwa saved kwenye cloud as a backup kuanzia contacts, pictures, sms, applications etc.

Ikitokea umepoteza simu au umenunua nyingine ya aina hiyo au jamii hiyo ukaweka ile email yako ya mwanzo vile vitu vilivyokuwa kule vinarudi kwenye hyo simu yako mpya. Kuanzia contacts a kuendelea.

Nlishawahi kumiliki samsung na account yangu ya gmail ina zile contacts hadi leo. Na nikiingia kwenye email naweza kuziaccess. Vivohivyo kwenye windows phones na iphone. Kote huko nakutana na the same issue.

Ukitaka usikumbane na kadhia hiyo, kabla hujabadili simu hakikisha umefuta zile contacts ambazo huzipendi kwenye simu ya zamani na u back up kwanza ili na kwenye cloud ifutike. Pia kama hupend whattsap ibakishe sms za zamani unaweza ukaondoa option ya backup whattsap contents ili ukihama simu zisitokee kule.

Asante
 
Na pia kwenye whattsap kuna option ya kufuta chats za mtu. Ukidelete number na ukafuta chats za mtu haiwezi kutokea kamwe unless uwe umeback up chats za whattsap. I know this kwasababu natumia kila mara.
 
Inategemea unasave wapi. Hizo google account, apple id na windows id mnazoweka kwenye simu zinatoa access ya kusave hizo namba kwe cloud hasa hasa uki enable cloud backup.
 
Ni utafiti mdogo tu,

Nilijikuta nagundua kuwa ikiwa simhitahi mtu hata kama namfaham, achilia mbali kama sikujui sina haja kusave namba yako ktk smart yangu kwa sabb haitatoka tena,

Ukiwa simu hiz za kisasa usijaribu kusave kwa sabb mhusika endapo anatumia whatsupp utaendelea kumuona.

Utadelete,kufuta namba yake lkn kwenye whatsupp ataendelea kukaa.

una uhakika mkuu??
 
ok mkuu hata mm nilikuwa sijui kumbe mweee bora mmetuambia sasa nitafanyaje mie kuondoa zile namba ambazo sizitaki kwenye smartphone yangu?
 
ok mkuu hata mm nilikuwa sijui kumbe mweee bora mmetuambia sasa nitafanyaje mie kuondoa zile namba ambazo sizitaki kwenye smartphone yangu?

Futa contacts then backup au ingia kwenye account yako ufute contacts manually
 
Shida uliyonayo inawezekana hyo namba imekuwa saved kwenye cloud na unasema kwenye smartphones.

Unaponunua smartphone inakulazimu uweke email yako ili uweze kuactivate ili utumie. Kwa iphone wana apple id, windows phone wana live.com kwenye samsung wana gmail account.

Sasa unaponunua smartphone yako na ukaingiza email hizo kila kitu unachokifanya kinakuwa saved kwenye cloud as a backup kuanzia contacts, pictures, sms, applications etc.

Ikitokea umepoteza simu au umenunua nyingine ya aina hiyo au jamii hiyo ukaweka ile email yako ya mwanzo vile vitu vilivyokuwa kule vinarudi kwenye hyo simu yako mpya. Kuanzia contacts a kuendelea.

Nlishawahi kumiliki samsung na account yangu ya gmail ina zile contacts hadi leo. Na nikiingia kwenye email naweza kuziaccess. Vivohivyo kwenye windows phones na iphone. Kote huko nakutana na the same issue.

Ukitaka usikumbane na kadhia hiyo, kabla hujabadili simu hakikisha umefuta zile contacts ambazo huzipendi kwenye simu ya zamani na u back up kwanza ili na kwenye cloud ifutike. Pia kama hupend whattsap ibakishe sms za zamani unaweza ukaondoa option ya backup whattsap contents ili ukihama simu zisitokee kule.

Asante

Mkuu uko vizuri,maelezo mazuri sana,pokea "like"
 
toa utundu wako kwa hilo mkuu

huez kuiona namba ya mtu ulie ifuta na stila akatomea whatsapp ukiona hvyo basi namba hujafuta au pia chat huku delete kweny whatsapp..
kimsingi save namba zko kweny account moja tu ili usipate shida ya mtu kutokea kweny cm yako ili hali umemfuta..tumia ku save namba kweny gmail kam unatumia android
 
Ni utafiti mdogo tu,

Nilijikuta nagundua kuwa ikiwa simhitahi mtu hata kama namfaham, achilia mbali kama sikujui sina haja kusave namba yako ktk smart yangu kwa sabb haitatoka tena,

Ukiwa simu hiz za kisasa usijaribu kusave kwa sabb mhusika endapo anatumia whatsupp utaendelea kumuona.

Utadelete,kufuta namba yake lkn kwenye whatsupp ataendelea kukaa.

Mkuu nilikua na tatizo la kufuta namba kama ulivyoona but nami nilifanya ka uchunguzi kidogo na kugundua kwa simu za android unapo save namba huwa inakuwa copied kwenye account yako ya gmail kwenye contacts so unapofuta namba kwenye simu hiyo namba inakua sync back kwenye simu. Solution ingia kwenye gmail kwakutumia PC then nend kwenye contacts utaona namba zote zilizo kwenye simu then futa, hapo utakua umemaliza kazi hutaiona tena hiyo namba.
 
mimi nilikutana na tatizo la Yahoo contacts kutokea kwenye contact za kawaida za smartphone na niktaka kuzedelete naambiwa naweza kuhide tu na sio kuzifuta tatizo nikizihide baada ua muda zinarudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom