Ni kosa kubwa kuruhusu mke wako afanye kazi

IKIRIRI

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
2,734
3,017
Mwanamke ni pambo la nyumba yako anatakiwa kukuzalia na kukulelea watoto wako.

Mwanamke hatakiwi kwenda hata sokoni mtimizie mahitaji yake kibinadamu sio mambo makubwa yatamaa.

Nadhani unajua mama zetu wengi wetu walikuwa wamama wa nyumba ni tu na maisha yalikuwa mazuri tu.

Dunia ya Leo mwanaume kazi ana nguvu sana kuliko ndoa ,km unabisha mulize kazi na ndoa anachagua nini.

Wanawake sasa hivi heshima hakuna kabisa kazi kwao ni muhimu kuliko ndoa.

Ukweli utabakia palepale hata kama wengi humu JF mtapinga ni ngumu kuwa na mamlaka kwa mwanamke mwenye kipato.

Na wanawake wanaoongoza kuchepuka ni wale wafanyakazi na wanaojihusisha na biashara.

Ukiruhusu mwanamke afanye kazi ,mwanaume kazi itatawala nyumba,na atakupangia kila kitu hadi udadi ya watoto wa kuzaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke si pambo la nyumba, ni pambo la dunia.

Acha kuwashauri wanaume vibaya, jishauri mwenyewe 😀 maana kwa mwendo huu sitashangaa ukiwashauri wasioe au wasijihusishe kabisa kimapenzi na jinsia ya kike.
 
Mwanamke ni pambo la nyumba yako anatakiwa kukuzalia na kukulelea watoto wako.

Mwanamke hatakiwi kwenda hata sokoni mtimizie mahitaji yake kibinadamu sio mambo makubwa yatamaa.

Nadhani unajua mama zetu wengi wetu walikuwa wamama wa nyumba ni tu na maisha yalikuwa mazuri tu.

Dunia ya Leo mwanaume kazi ana nguvu sana kuliko ndoa ,km unabisha mulize kazi na ndoa anachagua nini.

Wanawake sasa hivi heshima hakuna kabisa kazi kwao ni muhimu kuliko ndoa.

Ukweli utabakia palepale hata kama wengi humu JF mtapinga ni ngumu kuwa na mamlaka kwa mwanamke mwenye kipato.

Na wanawake wanaoongoza kuchepuka ni wale wafanyakazi na wanaojihusisha na biashara.


Sent using Jamii Forums mobile app

Huu ukweli mchungu. Wanatengeneza moja wanaharibu mia moja.

Wanawake hao ....!
 
Hiyo avatar yako tumekuelewa una mawazo ya wakoloni waliokuletea unachokiamini. Kwa tarifa yako mwanamke ni binadamu kama wewe , ana ubongo, anafikiri kama wewe na sio bidhaa, ama mfugo ama mali ambao unaweza kuupangia utakavyo. Hayo yaliwezekana karne zile nyeusi ( medival period) lakini kwa sasa hata hao waliokuletea hizo ideology wamechanganyikiwa kutokana na msukumo wanaoupata kutoka kwa wanawake kudai haki zao zilizokuwa zimekaliwa na watu. Kwa sasa wameanza kuruhusiwa kugombea uongozi, kuendesha gari nk mambo ambayo yalionekana kama hayawezekaniki kabisa. "WORLD IS CONSTANTLY CHANGING"
 
Back
Top Bottom