Siku niliponyang'anywa demu niliyekuwa nampenda Na afande.
Sigusi tena simu ya mwanamke, hakyanan nmekoma, nakomire.
Niliamua kuacha Na kuendelea Na maisha yangu, maana hata demu mwenyewe hakuonesha ushirikiano wowote. Na hivi sasa wanaishi pamoja.Acha uzembe mkuu pigania unachokipenda utamwachiaje kirahis tu
Hahahahha nikweli mkuuTeh teh teh, ulikua Kilaza.
Mkuu mtoto alikuwa bikra bado na si wajua wahindi wabaguzi.. Hivo nilimpania ntapiga kibaiskeli hadi akiwa anatembea anahisi nipo nahemea.Unaweza kujisikia vibaya sana...lakini unaweza kukuta huo ufirauni wa jamaazako ulikuepusha na balaa kubwa sana kama ungepanda juu ya kiuno cha huyo mtoto
Mhuuuu kweli anastahili sana kukutenda ni hqki yqke kabisaaa.Sintosahau siku nlipomuomba tigo demu mpya kwao mambo swafi!
Alishazoea kuja ghetto namtafuna kiroho safi tangu hiyo siku nilipoomba jicho alichange na hajawahi kunitafuta
Ushawani kutoa kibuti [QUOTE="lady in red10,[/QUOTE]Hahahaha unamchana bcz umekula kibuti
Ila Nimawazo tu pia yanapaswq kuheshimiwa .Siku walipo kuwa ndege wengi wanaingia kanisani kwetu wilaya ya Pangani, kisha ukaja mjadala wa kizuia ndege wasichafue kanisa kwa majani ya mtundu yao.
Ndipo niliposema kwanini tusifunge mapitio yao yote,
Nilionekana sikufikiri kwa kina, kuwa matundu yale yalikuwa na kusudi ya kuingiza hewa kanisani kutokana na wingi wa waumini,
Na mimi nikakazana tuyazibe kwa matofari
acha tu ndugu yangu.kipindi hiko cha chuo boom limekata na kahela kaakiba kameibiwa. Aliyemuhonga akamkataa yaan mweeehahahaha huku ukisubiri baada utapewa surprise kuna watu wanautani mbaya
Mwenzangu acha tu simwamin mtu sàivi natamani na wallet zingekuwa na password.Pole wee! Mi ningemdai pesa na riba lol! Kuna watu wabaya humu dunian dawa yao walipuliwe tu kupigwa hakuwatoshi
asante.Mweeh! Pole
Shemeji yako anakuchabo tuOoh my mic uuu..Nichum bac hata kiduchu
Mwambie hata mimi ni shemeji yake namchabo tuu.Shemeji yako anakuchabo tu