Ni kodi ya Watanzania itakomboa ndege iliyokamatwa, tuendelee kushangilia

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,704
6,499
Huwa sometime naamini wabongo ni watu wasiokuwa na uchungu na rasilimali zao ndio maana wamejaa foregner huku bongo wanajichumia na sisi tuna shangilia tu.

Imekamatwa ndege yetu na ilivyo ni kwamba pesa za kuikomboa hio ndege hazitatoka mfukoni mwa CCM bali ni pesa za kodi na hapa tunashangilia tu, kinacho tupa nguvu ni vijisent vyetu vya kubadili mlo na kuweza kupeleka watoto English medium tunaona hayo mengine hayatuhusu.

Wahuni wana take hizi advantage za ujinga wetu kufanya wafanyalo angalia kulo Ngorongo ni kimya saaa na imebakia tu mwekezaji aanze kazi zake pale kiulianini kabisa.

Hasara imeingizwa na utawala wa CCM na hapa sio kulaumu mtu bali ni Chama kizima na CCM walivyo wajanja wanacho fanya ili kuendelea kuwepo ni wanalera sura mpya ila chupa ile ile.

Tuendelee kuleta utani
 
Kama tulinunua kwa cash hatuwezi shindwa kulipa hilo deni ni suala la muda tu.

"Utii ukizidi huzaa uoga, unafiki na kujipendekeza"
 
Huwa some time naamini wabongo ni watu wasio kiwa na uchungu na rasilimali zao ndio maana wamejaa foregner huku bongo wanajichumia na sisi tuna shangilia tu...
Sasa wewe unashauri nini kwa mfano?

Kama Makamba pekee ametushinda, na tumeufyata kazi ni kugombana na Magufuli!

Then what Next!
 
Katiba hii inawalinda mno hawa wakoloni weusi, siku madaraka yakirudi kwa wananchi itakuwa rahisi sana kukabiliana na jambo lolote au uongozi wowote. Hiki kinachotokea kuhusu ndege wananchi wanaposhangilia bila shaka ni ujumbe kwa Serikali kuwa haifai kuwa pale.
 
Kwanini serekali yetu isi renegotiate swala la uwekezaji wake akapatiwa eneo kwa ajili ya uwekezaji wake?, maana alikuwa na uwekezaji ulikuwa mzuri na usio na shaka.
 
Tumebakiwa na kesi ngapi huko Duniani?

Tujuzane kabisa,ili na hizo zingine nchi ijiandae kibajeti kulipa fidia kabisa kwakuwa wanasheria wetu wanaogooa wenzao wa "macho ya bluu".

Tumechoka kabisa na hii aibu ya ndege zetu kukamatwa nje ya nchi

Ardhi yetu nayo inatuingiza kwenye madeni makubwa kiasi hiki!

Nani walisaini mkataba na kwanini ulivunjwa?

Kwanini hao wahusika tusiwafahamu na vipengele vilivyosababisha mkataba kuvunjwa?

Hizi hasara hadi lini fedha za walipa kodi zinatumika kulipia uzembe wa watu wengine bila wahusika kuwajibishwa?
 
Zikamatwe zote na ikibidi wakamatwe na viongozi wote wakuu wa serikali.
 
Huwa sometime naamini wabongo ni watu wasiokuwa na uchungu na rasilimali zao ndio maana wamejaa foregner huku bongo wanajichumia na sisi tuna shangilia tu.

Imekamatwa ndege yetu na ilivyo ni kwamba pesa za kuikomboa hio ndege hazitatoka mfukoni mwa CCM bali ni pesa za kodi na hapa tunashangilia tu, kinacho tupa nguvu ni vijisent vyetu vya kubadili mlo na kuweza kupeleka watoto English medium tunaona hayo mengine hayatuhusu.

Wahuni wana take hizi advantage za ujinga wetu kufanya wafanyalo angalia kulo Ngorongo ni kimya saaa na imebakia tu mwekezaji aanze kazi zake pale kiulianini kabisa.

Hasara imeingizwa na utawala wa CCM na hapa sio kulaumu mtu bali ni Chama kizima na CCM walivyo wajanja wanacho fanya ili kuendelea kuwepo ni wanalera sura mpya ila chupa ile ile.

Tuendelee kuleta utani
it is pity kwamba ulikuwa hujui kuwa kodi zetu ndiyo zitatumika kuiokomboa. Na inasikitisha zaidi hujui ni kwa nini watu wanalalamika!...watu wanalalamika kwa sababu ya upuuzi uliofanyika pasipo kujali madhara yanayoweza kujitokeza. pengine ungewashauri wanaosaini mikataba watambue madhara ya mikataba na wawe wanasoma na kuelewa kwa undani vipengele vya mikataba.
 
Mama anaupiga mwingi sanaaa. Ikiwezekana kodi ziongezwe tulipe vizuri hili deni.
 
Back
Top Bottom