Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Unawapata then mnaishi miaka inakatika, mara anashikwa masikio hukowatu wanaofanana wapo
kazi kuwapata
Unawapata then mnaishi miaka inakatika, mara anashikwa masikio hukowatu wanaofanana wapo
kazi kuwapata
<br />Mdogo wangu B,<br />
<br />
Haya mambo mara nyingi yanakuja kwa slow but killing or sedating doses...Unachukulia kuwa si mbaya sana na unapokuja kustuka inakuwa too late.<br />
<br />
La muhimu ni kumwomba Mungu akupe nguvu ya ama kuyakabili au kufanya maamuzi magumu. Ila mengi sana yanatukuta kwenye hizi ndoa!
unalalamikia kupigwa? wenzako wanamwagiwa maji ya moto na sku ya pili wanaomba razi wao!
Halaf hizo nyengine ulizotaja zote ndio mahusiano yenyewe, sasa kama huwezi hizo nakushauri uokoke tu Miss Unga Ltd
<br />
<br />
Kaka mkubwa kama mengi yanawakuta na bado mpo basi kunavumilika.....yepi ya kuvumilia? Tunarudi pale pale kuwa inategemea mtu na mtu....
hatuko wakamilifu hilo ni wazi, sasa sijui yepi na na nani atavumilia (hilo linabaki kuwa la binafsi)
Niokoke mara ngapi Kloro....?!
Nimekupata dearest....mbali na gubu bado kuna mengineyo, binafc ckujuaga kama angeweza ku cheat kwa kiac kile, kwa nilivyokuwa namuamini, (nilichukulia yale mapenzi ya mwanzo ndio yataendelea hata baada ya miaka 5) kumbe hapana....kwa wakati ule ungeniuliza ningesema ctaweza kumsamehe..... amesha cheat na nikajaribu kusamehe na maisha yanaendelea japo inauma but nilikubali ukweli kwamba kimetokea na ckuwa tayari kwa wakati ule tutengane, so my dear Lizzy, ucpokutana na ki2ko hiki utakutana na kile, either cheating/gubu/kupigwa etc.....hakuna mkamilifu.
<br />mie nimevumilia cheating, na vijimambo vya kucmangiwa kwa kiac napotezea etc..... kama wewe unadhani utavumilia yapi? tushirikishe hapa.
Conflicts are the midwives of society/love...
Kwa sifa ulizotaja nadhani mimi peke yangu kwa dunia ya sasa ndio naweza kuwa mume wako! Bisha!
<br />
<br />
Nyamayao, wanasemaga kua uyaone! Nakumbuka viposti vyangu enzi zile humu humu JF....
Huu moyo umekuwa mgumu bila kutaka, lakini mpaka hapo kuchitiwa hapana mpenzi labda unipe siri ya mafanikio....
Nahisi hilo laweza 'kuutoa' uhai wangu
So far navumilia mengi na navumiliwa kwa mengi. Lakini naamini tunajitahidi pamoja
<br />b mwana wa h mjukuu wa t, <br />
hapo red ndipo panapobalance equation! ukiona unamvumilia basi ujue na yeye anakuvumilia pia, hakuna perfecto bana katika hii dunia, Dr slaa wenyewe ana makasoro kibao itakuwa sisi bana?
<br />
<br />
Nyamayao, wanasemaga kua uyaone! Nakumbuka viposti vyangu enzi zile humu humu JF....
Huu moyo umekuwa mgumu bila kutaka, lakini mpaka hapo kuchitiwa hapana mpenzi labda unipe siri ya mafanikio....
Nahisi hilo laweza 'kuutoa' uhai wangu
So far navumilia mengi na navumiliwa kwa mengi. Lakini naamini tunajitahidi pamoja
mimi naweza kuvumilia mwanamke mvivu,mwenye kupenda umbea,anaejiachia na kunenepanepa,mwenye kununa bila sababu,lol
Na usieweza kumvumilia je?!