Ni kitu gani...?!

Mdogo wangu B,<br />
<br />
Haya mambo mara nyingi yanakuja kwa slow but killing or sedating doses...Unachukulia kuwa si mbaya sana na unapokuja kustuka inakuwa too late.<br />
<br />
La muhimu ni kumwomba Mungu akupe nguvu ya ama kuyakabili au kufanya maamuzi magumu. Ila mengi sana yanatukuta kwenye hizi ndoa!
<br />
<br />

Kaka mkubwa kama mengi yanawakuta na bado mpo basi kunavumilika.....yepi ya kuvumilia? Tunarudi pale pale kuwa inategemea mtu na mtu....

hatuko wakamilifu hilo ni wazi, sasa sijui yepi na na nani atavumilia (hilo linabaki kuwa la binafsi)
 
unalalamikia kupigwa? wenzako wanamwagiwa maji ya moto na sku ya pili wanaomba razi wao!

Halaf hizo nyengine ulizotaja zote ndio mahusiano yenyewe, sasa kama huwezi hizo nakushauri uokoke tu Miss Unga Ltd

Niokoke mara ngapi Kloro....?!
 
<br />
<br />

Kaka mkubwa kama mengi yanawakuta na bado mpo basi kunavumilika.....yepi ya kuvumilia? Tunarudi pale pale kuwa inategemea mtu na mtu....

hatuko wakamilifu hilo ni wazi, sasa sijui yepi na na nani atavumilia (hilo linabaki kuwa la binafsi)

mie nimevumilia cheating, na vijimambo vya kucmangiwa kwa kiac napotezea etc..... kama wewe unadhani utavumilia yapi? tushirikishe hapa.
 
mbali na gubu bado kuna mengineyo, binafc ckujuaga kama angeweza ku cheat kwa kiac kile, kwa nilivyokuwa namuamini, (nilichukulia yale mapenzi ya mwanzo ndio yataendelea hata baada ya miaka 5) kumbe hapana....kwa wakati ule ungeniuliza ningesema ctaweza kumsamehe..... amesha cheat na nikajaribu kusamehe na maisha yanaendelea japo inauma but nilikubali ukweli kwamba kimetokea na ckuwa tayari kwa wakati ule tutengane, so my dear Lizzy, ucpokutana na ki2ko hiki utakutana na kile, either cheating/gubu/kupigwa etc.....hakuna mkamilifu.
Nimekupata dearest....
 
mie nimevumilia cheating, na vijimambo vya kucmangiwa kwa kiac napotezea etc..... kama wewe unadhani utavumilia yapi? tushirikishe hapa.
<br />
<br />

Nyamayao, wanasemaga kua uyaone! Nakumbuka viposti vyangu enzi zile humu humu JF....
Huu moyo umekuwa mgumu bila kutaka, lakini mpaka hapo kuchitiwa hapana mpenzi labda unipe siri ya mafanikio....
Nahisi hilo laweza 'kuutoa' uhai wangu

So far navumilia mengi na navumiliwa kwa mengi. Lakini naamini tunajitahidi pamoja
 
<br />
<br />

Nyamayao, wanasemaga kua uyaone! Nakumbuka viposti vyangu enzi zile humu humu JF....
Huu moyo umekuwa mgumu bila kutaka, lakini mpaka hapo kuchitiwa hapana mpenzi labda unipe siri ya mafanikio....
Nahisi hilo laweza 'kuutoa' uhai wangu

So far navumilia mengi na navumiliwa kwa mengi. Lakini naamini tunajitahidi pamoja

b mwana wa h mjukuu wa t,
hapo red ndipo panapobalance equation! ukiona unamvumilia basi ujue na yeye anakuvumilia pia, hakuna perfecto bana katika hii dunia, Dr slaa wenyewe ana makasoro kibao itakuwa sisi bana?
 
b mwana wa h mjukuu wa t, <br />
hapo red ndipo panapobalance equation! ukiona unamvumilia basi ujue na yeye anakuvumilia pia, hakuna perfecto bana katika hii dunia, Dr slaa wenyewe ana makasoro kibao itakuwa sisi bana?
<br />
<br />

Khaaa usiniambia Slaa ni kiwango cha kujipimia.....haya bana!

Klorokwini ndugu yangu.....si tunasomaga upendo huvumilia? Hauhesabu mabaya?
 
<br />
<br />

Nyamayao, wanasemaga kua uyaone! Nakumbuka viposti vyangu enzi zile humu humu JF....
Huu moyo umekuwa mgumu bila kutaka, lakini mpaka hapo kuchitiwa hapana mpenzi labda unipe siri ya mafanikio....
Nahisi hilo laweza 'kuutoa' uhai wangu


So far navumilia mengi na navumiliwa kwa mengi. Lakini naamini tunajitahidi pamoja

nikuombe tu ucjipe imani sana kwenye moyo wa mwenzio, we kaa 50-50......(usiusemee moyo wa mwenzio)...lolote laweza kutokea.....hata mie nilidhanigi" hataweza"...kwamapenzi tuliyokuwa nayo, kilitokea kmfarakano kdgo kila kitu kikawezekana....na cjui cri ya mafanikio mpaka nikamsamehe but nimekuta tu nimesamehe....nadhani linapotokea ndio unajua jinc ya kukabiliana nalo...kwasasa relax mae!
 
mimi naweza kuvumilia mwanamke mvivu,mwenye kupenda umbea,anaejiachia na kunenepanepa,mwenye kununa bila sababu,lol

Mkuu mimi napenda sana mwanamke mwenye vijimaneno vya ajabu ajabu hivi, infakti vinaniturn on kabisa, mimi waifu akinambia "utajijuuu" basi naomba gemu mida hiyo hiyo. sjui niko normal???
 
Kuna kale ka kiapo utamvumilia ,utampenda ,utamtunza sijui na nini tena
Lizzy usinisahau kwa kadi siku utakapotangaza nia maana naona unaelekea ukingoni mwa research yako

Zaidi ni kuomba mungu akupe mme /mke mwema maana hivi vyote hutoka kwake.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom