Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,052
- 9,854
Kumiliki Iphone nanunulia ila sio kununua yangu.....
Nimeenda dukani kununua Kinywaji kisha nimegeuka saa 5 kasoro usiku huu,napo imekaaje mkuu hapo maana pia sipendi kutoka na Pensi PublicKuvaa pensi na kutoka kuzurura Public
Haya mambo yanenda na umri na mahitaji. Kama umri wako upo kumi la mwisho huwezi.Hilo la mwisho hata mie limenishinda kabisa siwezi kujisnap huku naimba sijui naweka maringo
Public ni kujiexpose kwa halaiki/watu.Nimeenda dukani kununua Kinywaji kisha nimegeuka saa 5 kasoro usiku huu,napo imekaaje mkuu hapo maana pia sipendi kutoka na Pensi Public
Kuna Mabinti ndio zao lakini wakiolewa au wakizaa hii michezo huwa inakoma. Nadhani wanakofanya hivyo ni dalili ya kuonyesha wanasumbuliwa sana na UpwekeHilo la mwisho hata mie limenishinda kabisa siwezi kujisnap huku naimba sijui naweka maringo
Kupiga picha,simu hii ishavunja Mwaka lakini sikumbuki mara ya mwisho lini kupiga picha kupitia simu yangu ama simu nyengine,Kupost status kitu chochote kile pia na kujikweza.Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
Wapo mpaka 30+ 😅😅😅Haya mambo yanenda na umri na mahitaji. Kama umri wako upo kumi la mwisho huwezi.
SnapchatKuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
Wengine sio upweke ni hobby tu hutofautianaKuna Mabinti ndio zao lakini wakiolewa au wakizaa hii michezo huwa inakoma. Nadhani wanakofanya hivyo ni dalili ya kuonyesha wanasumbuliwa sana na Upweke
Nimefanya utafiti kwa Mabinti kama watatu baada ya kuolewa waliacha KabisaWengine sio upweke ni hobby tu hutofautiana
Ht nilipokuwa kwenye foolish age sikufanya haya....nadhani inategemea na hobby ya mtu kwakweliHaya mambo yanenda na umri na mahitaji. Kama umri wako upo kumi la mwisho huwezi.
Maybe...ila wapo wake za watu wanajisnap na wanapostNimefanya utafiti kwa Mabinti kama watatu baada ya kuolewa waliacha Kabisa
Siwezi kuporomosha matusi hadharani.Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda, kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?