Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 3,103
- 5,142
Fumua weka virakaKuvaa nguo zilizochanwachanwa
Fumua weka virakaKuvaa nguo zilizochanwachanwa
Hili Mimi siliwezi kabisa namshangaa Mavoko anawezaje na vile vipensiDaah hili siliwezi kabisa,hata mtaani ni traki tu.......ila kutembea na ugoko hapana
Tangu nianze kutumia WhatsApp sijawahi kuweka status na sinaga habari nayo Ila kuna washenzi hawawezi kupitisha siku bila kupost statusKupost picha mitandaoni....
Hii ngumu sana, Ila wengine wamezoeaHili Mimi siliwezi kabisa namshangaa Mavoko anawezaje na vile vipensi
I jus wish to hug youVingi....
Mojawapo ni zile salamu za kupeana hugs na marafiki
Rafiki zangu naona kwao ni kawaida ku-hug na mtu yoyote lakini mie ni ngumu mno na wananishangaa kama mie navyowashangaa yani wanawezaje?
Kuna watu kila anachofanya anapost. Yaani kil kitu kuhusu yy mnakuwa mnajua 24hrs 7days.🙌Tangu nianze kutumia WhatsApp sijawahi kuweka status na sinaga habari nayo Ila kuna washenzi hawawezi kupitisha siku bila kupost status
mimi.huyoKukaa bila bando. Kuna mtu unakuta siku nzima hana MB!
Uwa naweka nyingi nyingi, ikitokea zimekata saa 1 kamili, saa 1 na dk 3 nishaunga 🥹
Nunua protector ya karatasi gumu gumu hivi elf 60 nadhaniCha kunifanya niwe desperate ni kipi sasa hapo??
Simu siweki protector sbb linakuwa lizito
Sisuki sbb short hair looks cute more than misuko
Siwezi kukaa bila bando
Sivai long dresses
Simu kuitumia muda mrefu naichoka.
So hapo cha kufanya niwe desperate ni kipi hapo? Au mkuu huijui huo msamiati unamaanisha nini?
Daily routine na sio kwamba anapost biashara la hasha anapost Maisha yakeKuna watu kila anachofanya anapost. Yaani kil kitu kuhusu yy mnakuwa mnajua 24hrs 7days.🙌
Yaani akiachwa akipokea mshahara kila kitu anapost.
Kila mtu na hulka yake, ila kwa sasa imekuwa fasheni ikiambatana na ulimbukeniSijui wengine huwa wanawezaje aisee.
Hilo la mwisho hata mie limenishinda kabisa siwezi kujisnap huku naimba sijui naweka maringoKujiremba
Kuwa romantic
Kuishi kwa mashemeji
Kuombaomba hela kwa watu
Kucheza michezo ya hela
Kuvaa nguo zilizochanwachanwa
Kupost status mara kwa mara
Kujirekodi naimba in mashauzi style
Tunafanana hapa alafu protector pia inaua kioo maana inabandikwa na gundi hio ni za ndani nakupaSimu siweki protector sbb linakuwa lizito
Hii nilikua nafanya zamani baadae nikaona ujinga nikaacha mazimaKukaa kaa vijiweni.
Kanywe Pepsi kwa Mangi ntalipa 😂
Majungu ndio yanakuwa mengi na kulishana ujinga (one day yes)Hii nilikua nafanya zamani baadae nikaona ujinga nikaacha mazima