Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,955
- 122,247
Hii inatwgemeana na majukumu yako.Kubeba Laptop daily… ni either ibaki nyumbani/ ofisini.
Majukumu mengine yanakulazimu uwe karibu na Laptop muda wote ama kazini au nyumbani
Hii inatwgemeana na majukumu yako.Kubeba Laptop daily… ni either ibaki nyumbani/ ofisini.
Ukiangalia zilivyozunguka utadhani shanga.Kupost status nyingi nyingi whatsapp
Inapunguza utamu😂😂kuvaa condom.
Duuh nimezoea Kila siku na begi mgongoni ila angalau imeharibika hii miezi 2 natembea bag without mpaka nimezoea wakati kipindi cha nyuma nilikuwa najiona kama Sina balance nikitembea bila bagKubeba Laptop daily… ni either ibaki nyumbani/ ofisini.
Si ukienda J3 unaiacha huko? Unaibeba ijumaa. Ingawa wapo watumiaji wa 24/7Hii inatwgemeana na majukumu yako.
Majukumu mengine yanakulazimu uwe karibu na Laptop muda wote ama kazini au nyumbani
Kuna theory Fulani nimeigundua nitaianzishia Uzi 😂😂Kwenda kanisani aisee
kula mahindi ya kuchoma ndani ya daladala🐒Kuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda,kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
Spana zitakuwepo ujiandae tuKuna theory Fulani nimeigundua nitaianzishia Uzi 😂😂
Nagonga vizuri km niko na shoga angu au niko na mtu. Alone siwezi 😂kula mahindi ya kuchoma ndani ya daladala🐒
lakin pia siwezi kabisa kama jamaa wengine kunyonya ice cream baridi ya ukwaju, kahawa, maziwa au strobell 🐒
Kula nyamaKuna vitu ambavyo watu wengine wanaona kama trend au kawaida ila Mimi siwezi kufanya au kumiliki.Mfano kuweka na mito mingi kwenye kitanda,kuwa na Snapchat kwenye simu au account ya TikTok n.k! Wadau ni kitu au jambo gani hilo huwezi kufanya au kumiliki?
🤣🤣🙌kula mahindi ya kuchoma ndani ya daladala🐒
lakin pia siwezi kabisa kama jamaa wengine kunyonya ice cream baridi ya ukwaju, kahawa, maziwa au strobell 🐒
Nilipo highlight red hapo yaani hii ni tabia ya Mabinti wengine anaji snap au anatengeneza video TikTok huku anaimba nyimbo za Mbosso au za kuitamani ndoa huwa nawashangaaga sana. Alafu hiyo anayefanya hivyo ni graduate kabisaKupost vijembe whatsapp....mtu akipost vijembe aibu huwa naona mimi, kugombana kidogo wasapu mie siwezi!!!
Kujirekodi rekodi unaimba imba vinyimbo huku unafinya finya na kulamba midomo kisha kupost sijawahi na siwezi na huwa nashangaa wanaoweza wanawezaje
Kusuka pia kwakweli kumenishinda....nilijaribu jaribu lakini waaapiiii #shorthair foreverKusuka 🤣😂
Ndio maana nasema inategemeana na majukumu. Mimi naenda nayo na kurudi nayo nyumbaniSi ukienda J3 unaiacha huko? Unaibeba ijumaa. Ingawa wapo watumiaji wa 24/7
Najua utakuja na negativity nyingi tu najaribu kuunganisha ili nipate wazo lilionyooka Tena huu Uzi wewe unakuhusu sanaSpana zitakuwepo ujiandae tu
Yani mtu analamba lamba mdomo anabinua binua macho anapost.....aseee hata na hela mie hicho kitu hapana, sijawahii siweziiiiNilipo highlight red hapo yaani hii ni tabia ya Mabinti wengine anaji snap au anatengeneza video TikTok huku anaimba nyimbo za Mbosso au za kuitamani ndoa huwa nawashangaaga sana. Alafu hiyo anayefanya hivyo ni graduate kabisa
Hiyo Kali! Bonge la theoryDuuh nimezoea Kila siku na begi mgongoni ila angalau imeharibika hii miezi 2 natembea bag without mpaka nimezoea wakati kipindi cha nyuma nilikuwa najiona kama Sina balance nikitembea bila bag
Poleni sanaNdio maana nasema inategemeana na majukumu. Mimi naenda nayo na kurudi nayo nyumbani
ndio, vipi kwa upande wako?Inapunguza utamu😂😂