Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,471
- 526
Wadau natafuta mtu anaeuza au animegee kidogo kafomula kakutengeneza chakula cha mbwa. super dog ya supermarket kama inazingia hivi
nenda machinjioni kanunue malapu lapu ndoo kubwa last tym ilikuaga 3000 tu then kachukue na super dogNahitaji sana hiyo formula
Mm nina mbwa sita wakubwa madume manne ma jike mawili kila mbwa na chombo chake cha kula uwa ninawapa chakula cha aina hii kila cku nyama malapu lapu uwa nawapa mara moja moja sana na kwa cku hula mlo mmoja tu na mda wao wa kula wanaujua ni sa 12 jioni kila siku...doma na supu ya dagaa frsh sana kwa dogs.Kuwabadilishia menu supu ya dagaa na unga wa dona
Ninavyojua kulingana na uzoefu wangu :Wadau natafuta mtu anaeuza au animegee kidogo kafomula kakutengeneza chakula cha mbwa. super dog ya supermarket kama inazingia hivi
Wadau natafuta mtu anaeuza au animegee kidogo kafomula kakutengeneza chakula cha mbwa. super dog ya supermarket kama inazingia hivi
Nitaifanyia kazi hii.Saga mahindi debe moja then changanya na original super dog food mfuko mmoja wa kg 5 halafu pika kama uji + nusu kilo ya malapulapu ya nyama na mifupa ambayo ni 500 tu atleast mara 4 kwa wiki, mbwa wako atakuwa na afya bora kabisa.