FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 132
- 264
Nipo nawaza tu hapa hivi kama umeoa,ni lipi bora pale unapohitaji kuchangamsha mwili na mama watoto yuko mbali na wewe,kuwa na mchepuko au kuishi kununua mbususu (malaya).....?
Wakishafika nishtueWanakuja
Ununue malaya au uwe na mwanamke ambaye si mkeo yote manji ga nyanja..!! Hao wote ni michepuko tu uliowapa hadhi tofauti..!!Nipo nawaza tu hapa hivi kama umeoa,ni lipi bora pale unapohitaji kuchangamsha mwili na mama watoto yuko mbali na wewe,kuwa na mchepuko au kuishi kununua mbususu (malaya).....?
Kama kweli unampenda utashinda vishawishi.Nipo nawaza tu hapa hivi kama umeoa,ni lipi bora pale unapohitaji kuchangamsha mwili na mama watoto yuko mbali na wewe,kuwa na mchepuko au kuishi kununua mbususu (malaya).....?
Unavumilia mpaka mkeo arudi maana hivyo vingine vyote vina madhara yakeNipo nawaza tu hapa hivi kama umeoa,ni lipi bora pale unapohitaji kuchangamsha mwili na mama watoto yuko mbali na wewe,kuwa na mchepuko au kuishi kununua mbususu (malaya).....?
Mwambie akitulize, asinunue magonjwa kwa bei rahisi. Kiapo kinasemaje? Wakati wa shida na raha. Ngalikihinja
Ndrrriiioooo ndrrriiiiiiiioooo!! Anataka Kujitafutia majonjwa ya rejareja tu!!Mwambie alitulize, asinunue magonjwa kwa bei rahisi. Kiapo kinasemaje? Wakati wa shida na raha. Ngalikihinja
Subiri majibu kwa jamaa zako 😁Nipo nawaza tu hapa hivi kama umeoa,ni lipi bora pale unapohitaji kuchangamsha mwili na mama watoto yuko mbali na wewe,kuwa na mchepuko au kuishi kununua mbususu (malaya).....?