Ni Kipanya tena

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Tukiwa bado tunaendelea na kushuhudia songombingo ndani ya lumumba leo tena msanii nguri Kipanya katuletea kikatuni kingine ambacho binafsi nimeshindwa kukielewa.

Naomba tafadhali mwenye uelewa atusaidie kutwambia alikusudia kuwakilisha ujumbe gani haswa!
 
Lowasa karudi halafu kaenda kugawa chama? Kivipi yaani? Kwani katika ambao audio zao zimevuja kuna yeyote ambaye amekua mentored na Lowasa? Nisaidieni jamani
 


Huyo anaewakaribisha anachekelea wanavyoingia kuleta fujo...humo ndani hapatoshi.
 
ndiyo mgombea wa 2020 huyo.

Wakolomije will never know what has hit them!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…