Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,412
- 34,935
ChaiMaziwa
Tangu nijitambue sikumbuki kama imepita siku sijanywa maziwa
ChaiMaziwa
Tangu nijitambue sikumbuki kama imepita siku sijanywa maziwa
Unapiga tizi kuondoa hizo fat?
Sasa si ungesema moja kwa moja unataka nijue na hujasema? Vip bado mimba yakupelekesha? 🤣Unajua nakunywa ujazo upi kwa siku?!
sparkiling water lime flavour baridi sanaMimi serengeti lite ndoh unyama wangu nikiona hivi mate inadondoka.hata saiv najipigie tu wadau karibuni.
Kwanini wewe usingeanza kwa kuuliza kiasi nachotumia kabla ya kukurupukia fats na tizi?Sasa si ungesema moja kwa moja unataka nijue na hujasema? Vip bado mimba yakupelekesha? 🤣
Kwa sababu una kunywa maziwa kila sikuKwanini wewe usingeanza kwa kuuliza kiasi nachotumia kabla ya kukurupukia fats na tizi?
🚮Kwa sababu una kunywa maziwa kila siku
Ugoro unauloweka na karafuu kwenye kopo wee acha tuu baada ya muda unakunywa kama majiMimi serengeti lite ndoh unyama wangu nikiona hivi mate inadondoka.hata saiv najipigie tu wadau karibuni.
Kanywe maziwa sumu iishe then kapige mazoezi sawa
Hiyo Serengeti lite ni kinywaji cha marimbukeni ..kama unakunywa bia basi kunywa bia kweli siyo huo ungese wa LITE ni kuchezea pesa tuMimi serengeti lite ndoh unyama wangu nikiona hivi mate inadondoka.hata saiv najipigie tu wadau karibuni.